chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. chiembe

    JamiiForums Tanzania Sheria 48 za mamlaka: usionekane sana (use absence) ili uheshimike-ndicho anachofanya gwiji wa siasa za Tanzania-Freeman Mbowe

    Naam.... Ndivyo mchezo wa chess ya madaraka ilivyo..... Kutoonekana kwa Mbowe kumewaacha mahasimu wake wakijiuliza, na wengine wakitaka atoe neno tu au ashiriki kwenye ziara zao ambazo zimedorora ili awape endorsement. Lissu ameamua kuitenga kanda ya kaskazini kwa kuwa anaamini haikumpa kura
  2. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche ashangazwa na wananchi kuwa na shida ya maji kwenye nchi yenye rasilimali nyingi

    Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche akiongea na viongozi pamoja na wananchama wa chama hicho katika kikao cha ndani Kyela mkoani Mbeya. "Mbunge wako akiugua Mungu ametuweka Tanzania nchi yenye neema kuliko nchi nyingi, mimi nimezunguka duniani unakwenda nchi unakuta ina rasimali moja tu...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mnyika: Msajili aseme amempa Siku ngapi Makalla madai ya CHADEMA kununua Virusi vya Ebola

    John Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amemtaka Msajili wa Vyama vya Siasa kusema hatua alizochukua dhidi ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla aliyedai CHADEMA inachangisha fedha kwenda kununua Virusi vya Ebola na Epox...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wote wenye akili na uelewa wa mambo hushabikia CHADEMA?

    Jamani hili ni swali naamini jibu lake unalo mwenyewe, huku mitaani Vijana,Wadada,Kinamama,kinababa,Wazee wote wenye uelewa wa mambo ni washabiki wa Chadema,hata humu jukwaani bila kusahau Viongozi wa dini Lakini ukienda upande wa pili kule ufahamu wa mambo ni mdogo sana,naamini hata nyiye...
  5. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA hawaja-set standard, kama wangekuwa nazo wasingemrudisha Dkt. Slaa

    CHADEMA hawana standard wangekuwa na standard wasingemrudisha Dkt. Slaa, vyama vya upinzani vingi vya afrika havina ideology, na standard, mtu aliyeandika mambo ya uongo na uzindaki dhidi ya chama chake cha zamani leo tena anapewa nafasi ni ajabu sana. Moja ya mambo yanayowafanya baadhi ya...
  6. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt Slaa akanusha kurejea Chadema ili agombee Urais 2025

    Akihojiwa na redio ya Kyela FM, ya wilayani Kyela, ambako anashiriki kampeni Tukufu ya No Reform No Election inayoendelea Nchi nzima, Dkt Slaa amesema kwamba lengo la kujiunga na Makamanda wa Chadema ni kwa faida za vizazi vijavyo, na kwamba kwa umri alionao hana haja ya kugombea Urais. Zaidi...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kama viongozi wenu wanalemba, Nyie Bavicha mnashindwaje kuwaonya hao vijana wenzenu machawa wa Mbowe ndani ya CHADEMA?

    Nimeshaandika mara kibao! Chadema wale vijana wa mbowe wamepewa kazi kuuhujumu uongozi wa lissu. BAVICHA Mnalemba nini kuwaonya hawa vijana wenzenu? Yericko Nyerere, Nchome, Ntobi walitakiwa wawe wameshashika adabu mpaka muda huu! Habari nilizopokea za maagizo ya hao vijana zitakichafua chama...
  8. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchome ahoji uhalali wa John Mnyika kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA

    Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ChademaTz Wilaya ya Mwanga Lembrus Mchome amesema amemuandikia barua Msajili wa Vyama vya Siasa kufanya uchunguzi juu ya uhalali wa Kikao cha Baraza Kuu la chama hicho kilichofanyika tarehe 22, Januari 2025 na kumpitisha John Mnyika kuwa Katibu...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa aipa wiki moja CHADEMA ijibu barua ya Mchome

    Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetoa muda wa wiki moja kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kiwe kimewasilisha maelezo kuhusu malalamiko ya mjumbe wa Baraza Kuu wa chama hicho, Lembrus Mchome. Mchome aliwasilisha malalamiko kwa msajili wa vyama akilalamikia kikao cha Baraza...
  10. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Chadema Ifungue Kesi juu ya kauli ya Makala kwa Shutuma za Ugaidi wa kibaiolojia na mauaji ya halaiki

    Nimesikitishwa na Kauli ya Amosi Makala. It is such a shame kuwa na viongozi wa aina hii. CCM ni chaama cha watu wenye intellectual ndogo snaa. Shutuma za kutengeneza Biological Weapons ni global suicide sio tu kwa Tanzania bali duniani kote. Ikumbukwe pia Corona ilitengenezwa maabara from...
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Huenda Uongozi mpya wa CHADEMA unahujumiwa

    Hakuna kilichobadilika, hakuna kipya kilichoanzishwa cha maana, hakuna kinachofanikiwa miongoni mwa wanavyojaribu kuvipush. no reform no elections umepuuzwa na inapingwa mpaka na viongozi waandamizi wa chadema yenyewe. mchongo pesa kidigitali kwa mtindo wa tone tone kitaifa umekgomewa na...
  12. Heparin

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Lissu atangaza changamoto za kiuchumi CHADEMA, akiri kususia kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025

  13. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Hey CHADEMA Central Committee and CHADEMA Members at Large, Every Sin Against God is Potentially Forgivable and So is Every Sin Against CHADEMA

    CHADEMA Central Committee and Esteemed Members of CHADEMA, As you embark on your sacred mission to stop the 2025 general elections from happening without meaningful reforms, it is imperative that you reflect on the values that define you as a party and the principles that will guide you to...
  14. Mkunazi Njiwa

    JamiiForums Tanzania Athari za makundi ndani ya CHADEMA ,ukata ,katiba mbovu inayoelekeza chaguzi zao kufanyika mwaka wa uchaguzi mkuu wa nchi wapelekea "No reform.."

    CCM kuwa MBELE ya wakati kumewafanya CHADEMA kutapatapa na kuja na ajenda mfu ya "no reform no elections"... Katika hotuba yake katibu mkuu John Mnyika alisoma azimio lako la kubadilisha tarehe ya uchaguzi mkuu ndani ya chama kwa kusema kunawafanya washindwe kujipanga vizuri kushindana na CCM...
  15. incognitoTz

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kurudi kwa Dk. Wilibrod Slaa CHADEMA kunaashiria nini katika Siasa za Upinzani Tanzania?

    Mbeya, Tanzania – Machi 23, 2025 – Katika hatua muhimu kwa upinzani wa Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, ambaye aliwahi kuwa katibu mkuu wa Chadema na mgombea urais wa chama hicho mwaka 2010, amejiunga tena na chama. Hafla hiyo, iliyofanyika katika uwanja wa Ruanda Nzovwe huko Mbeya, ilishuhudia...
  16. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche akabidhiwa kusambaza No Reform No Election Kyela, Rungwe na Busokelo

    Hivyo ndivyo Ratiba ya Chadema inavyoonyesha. Taarifa kamili hii hapa
  17. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Habari Leo waondoa taarifa ya Makalla kuwatuhumu CHADEMA kutaka kusambaza Ebola, wasema haikuwasilishwa kwa usahihi

    Wakuu, Hawa walitaka usahihi gani wakati Makalla ametamka hayo loud and clear? Walitaka aelezee nini tena ndio waiweke? Wameiondoa sababu CHADEMA hawajajibu? Kwahiyo CHADEMA wakikaa kimya inaondoa the fact kwamba Makalla ametamka upuuzi huo? Pia soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka...
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wakifanikiwa kuwashawishi ICC kuja kuchunguza kutekwa na Kupotezwa kwa Wanachama wake na Watanzania, Rais, DGIS na IGP jiandaeni kwenda ICC

    Hivi juzi aliyekuwa Rais wa Ufilipino, Bwana Rogrigo Duterte amekamatwa akiwa uwanja wa ndege wa nchi yake kutokana na operesheni zilizofanyika akiwa Rais za kuwaua Watuhumiwa wa Dawa za Kulevya. Bwana Duterte amekamatwa kutokana na Hati ya Kukamatwa iliyotolewa dhidi yake kwa makosa dhidi ya...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu: Tumepokea barua za wabunge wawili kati ya 19 tuliowafukuza uanachama CHADEMA, wanataka kurudi

    Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema wale wabunge 19 wapo 2 wameandika barua za kuomba msamaha warudi, lakini pia wapo wengi wanamtafuta pembeni. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa...
  20. Mr Why

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA wasema kauli ya Makalla kuhusu CHADEMA kuingiza Ebola Tanzania, inafukuza watalii

    CHADEMA inamshutumu Amosi Makala ikidainalieleza Uma kuwa CHADEMA ina mpango wa kununua Virusi vya kuangamiza Wanachama wa CCM. ========== Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeagiza wanasheria wake kuwafungulia mashtaka, waliohusika kusambaza taarifa zilizodai kuwa CHADEMA...
Back
Top Bottom