Ni sababu gani zimewafanya CCM kukimbilia kwenye vyombo vya ulinzi na usalama? Nini kimewakuta na kuwasibu ? Wanaitegemea Tume ya uchaguzi kuliko Mungu, wamehisi kitu gani?
Sasa niwaulize siku nayo ikifika vyombo hivi vikawageuka na kuwaepuka CCM ,yaani umefikia wakati wa vyombo hivi kuwaambia...