Uwongo wao unaonekana wazi wazi mbali ya vitendo vyao hata kauli zao, hawa si wa kuwaamini. Huyu Polepole aliapa na kuwaambia wananchi wasiipe kura CCM au wasiichague CCM na hawa waliofikia hadi kuwa mawaziri na kufika kugombea uraisi wote walisema na kuapa kuiswaga CCM, leo wote wamerudi.
Una sababu gani ya kuwaamini wagombea wao wa uchaguzi? Mwaka huu ni kuwapiga na chini tu.
Jamaa waongo sana na mahodari wa kupangilia. Utawaona wanazungumza kwa makeke kama wanauwa drakula lakini wanayoyasema ni uwongo uliovuka mipaka.
Una sababu gani ya kuwaamini wagombea wao wa uchaguzi? Mwaka huu ni kuwapiga na chini tu.
Jamaa waongo sana na mahodari wa kupangilia. Utawaona wanazungumza kwa makeke kama wanauwa drakula lakini wanayoyasema ni uwongo uliovuka mipaka.