ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania thought experiment - Tundu Lisu &Co. waingie CCM!

    nilikuwa na wazo, kwa nini au kuna ubaya gani kama Tundu Lisu na wenzake wakijiunga na ccm? je, hamuoni kwamba labda wanaweza kuleta mapinduzi chanya zaidi na kufikia malengo yao wakiwa ndani ya system klk nje yake? kwa jinsi mfumo tanzagiza ulivyo ni ngumu kuamini kwamba unaweza kulazimisha...
  2. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Binafsi naona hata Wana CCM wanataka sana reforms labda ni ujasiri tu wa kuziomba au kuzilazimisha

    Binafsi naona hata Wana CCM wanataka sana reforms labda ni ujasiri tu wa kuziomba au kuzilazimisha. Mfano tu mdogo. Mama Samia alikuwa Makamu wa Rais awamu ya tano. Kwa kudra za Mungu akawa Rais. Wengi walidhani anamalizia ile awamu yao ya tano waliyoianza na hayati Magufuli ghafla ikawa ni...
  3. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Karibuni Dodoma wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa CCM Taifa , 29-30 Mei 2025

    Karibuni Dodoma wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa CCM Taifa , 29-30 Mei 2025
  4. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya usalama vinajukumu kuhakikisha wananchi wanakuwa salama na ustawi imara

    Wakati Uganda akiimarisha Jeshi lake ili aje kusogeza mpaka wa Kagera, Malawi akijiweka sawa kuchukua Ziwa Nyasa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vya vinawaza kuwa chawa wa wapuuzi wa CCM na kuua upinzani ili CCM iendelee kuwepo Madarakani. Nchi ikiwa kwenye matishio halisi ya kiusalama wao...
  5. P

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kuzindua mpango wa uhakiki taarifa huku wenyewe wakiwa wapotoshaji wa kwanza, yaani mwizi anaenda kumhakiki mwizi!

    Wakuu, Sijui ni upotoshaji wanaenda kukomesha kama wao ndio wapotoshaji wa kwanza! Tutaona mengi. ==== UVCCM yaindua kampeni ya Kijani Fact Scan kwaajili ya kukomesha upotoshaji Mei 21, 2025, UVCCM Taifa imezindua rasmi kampeni kabambe ya kitaifa ya Kijani Fact Scan katika mkutano maalum...
  6. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ukiondoa CHAUMMA, CCM wenye kujua idadi ya Wabunge wao tayari, Vyama vingine vimeahidiwa Wabunge wangapi na Dola ya CCM ?

    Sisi CHADEMA ,tunamtaka Mabadiliko , hatutaki mbeleko, tunataka tushinde Kwa Haki na tushindwe Kwa Haki.!!. Hivi ACT Wazalendo, SAU, TADEA, ADC, AFP, DP, UPDP, UDP, NCCR? ina maana nyinyi mnaona sawa Wenzenu CHAUMMA wapewe Magari, Helkopita, Fedha, Wasanii ? Kwanini na nyinyi msidai hayo tena...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Kadri CCM wanavyoikandamiza CHADEMA, ndivyo wanavyozidi kuifanya CHADEMA izidi kupiga hatua na kupendwa zaidi na mioyo ya Watanzania

    Dear all.. la pace sia conte. Nimefanya utafiti na kugundua kuwa kipindi hiki Chadema kimepata uungwaji mkono mkubwa saana kutoka kwa wananchi kwa sababu ya political sympathy sambamba na baadhi ya matukio ya sintofahamu yanayojitokeza kwenye nchi yetu. Chawa kunufaika na...
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Bado ni CHADEMA tuu.. CCM inazidi kufutika kwenye siasa za Tanganyika

    Mmekiona CHAUMMA? na vile kinavyopewa push na ccm kwa mlango wa nyuma? 99% ya wanachama wapya wa CHAUMMA ni wana CHADEMA walioondoka CDM kwa njaa zao... LAKINI ndani yao wamepandikizwa mashushushu wa kutosha sana.. Kwahiyo hakuna kinachofanyika CHAUMA, CDM isijue..! Tena mapema kabisa hata...
  9. Fbn

    JamiiForums Tanzania Tukisema sisi labda mtafungia mada zetu sikilizeni huko Kenya wanachokisema

    Wakenya wana uhuru wa kuhoji embu sikilizeni hii video mpaka mwisho.
  10. Replica

    JamiiForums Tanzania Nadharia (Technical): Kilichotokea mpaka akauti nyingi zikadukuliwa

    Jana May 20 ulitokea mshtuko baada ya akaunti nyingi za mitandao ya kijamii kudukuliwa kwa pamoja idadi kubwa ikiwa taasisi za Serikali. Watu hawa wametumia kurasa za mtandao wa X na youtube. 1. Mitandao hii miwili ya X na youtube inarusu third party app kustream. Mfano nataka kuweka tukio...
  11. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Kwanini CCM ilishinda, inashinda na itashinda Chaguzi zijazo zote!

    Wakuu hizi ni sababu kadhaa za kuaminika na zimefanyiwa kazi kwanini CCM watashinda kila wakati 1. Aina ya wapiga kura. Hii ni sababu mojawapo, vijana wengi na wasomi ambao pengine ndio wangeweza kuitoa CCM madarakani sio Wapiga kura!! Kwahiyo CCM ina mtaji wa watu wengi hususani wazee na...
  12. Kinyungu

    JamiiForums Tanzania Kwanini vyama vilivyoshika madaraka kwa kusaidiwa na CCM vinageuza nchi zilizokuwa na nafuu ya Uchumi kuwa masikini zaidi?

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilihusika moja kwa moja katika kusaidia vyama vya ukombozi kama: 1. ANC ya Afrika Kusini, 2. ZANU-PF ya Zimbabwe, 3. MPLA ya Angola, 4. FRELIMO ya Msumbiji na 5. SWAPO ya Namibia, kwa misaada ya kisiasa, kijeshi na kiitikadi wakati wa harakati za kupigania uhuru...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kuna Mtanzania anayeelewa msingi hasa wa hii CCM ya sasa! Ina simamia nini hasa?

    Kuna Mtanzania anaye elewa msingi hasa wa hii CCM ya sasa! Ina simamia nini hasa? CHADEMA tunajua inasimamia demokrasia, maendeleo, HAKI (Uhuru wa upigaji kura, Tume huru, mikataba ya uwazi, na haki za Watanzania) CCM ya zamani kilikuwa chama cha wakulima, ujamaa na maendeleo. Je, CCM ya sasa...
  14. A

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je, vyama vyote vya siasa Tanzania ni mali ya CCM isipokuwa CHADEMA tu?

    Ukicheki CCM inavyoendesha hii nchi asilimia zaidi ya 90% ni mfumo wa kijamaa hasa ikijiegemeza sana na kukopi CCP ya China. Mara nyingi CCM imekuwa ikiwapiga change la macho mabepari kwa kuwahadaa na kuweka kaubepari kwa mbali kidogo( najua hata wao wanalojua hili). Nchi ina vyama vya...
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kuliko Kufungia Mitandao ya Kijamii Tanzania, Serikali, CCM na Polisi Tanzania jitoeni kwenye hiyo mitandao, Msiitumie, Acheni kuwatesa Wananchi

    Unakereka na Machapisho ya X jiondoe ili Usiwe unayaona, na watu wasikuite uone !!. Kwa mf, Kurasa za Rais Samia, CCM, Jeshi la Polisi, Kurasa zote za Serikali Kuu ,Tamisemi ,Taasisi za Serikali n.k ,Jiondoe kwenye mitandao kijamii !!. Mnashindwa Kuajiri Vijana makini wenye Uwezo katika...
  16. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Haya yatatokea kati ya Juni na Disemba 2025

    JUNI 2025 Matukio yanayotarajiwa: Kutakuwa na majadiliano ya kina kuhusu katiba au mageuzi ya sheria fulani, hasa upande wa haki za kiraia na uhuru wa vyombo vya habari. Kutaibuka mjadala mkubwa kuhusu maadili ya vijana na matumizi ya mitandao ya kijamii. Sekta ya kilimo itaathirika na...
  17. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM ilijikanyaga vibaya kukubali agenda ya dharula kupitisha jina la Rais Samia kuwa mgombea Urais

    Kwanza hakubaliki na kukiwa na tume huru isiyoegemea kwake, atapigwa asubuhi na mapema na wapinzani wake, hana meno kwa mafisadi na wafuja kodi za watanzania na anayoyafanya anayajua mwenyewe na yanamfurahisha yeye pekee, hawezi kudhibiti watekaji wala kukemea uharifu huo Ni mbinu gani ambayo...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Halikuwa chaguo la Mungu wala utabiri, bali kusudi la CCM 2015 kuchanganyikiwa na kusimamisha Makamu wa Rais na Rais sababu hizi hapa

    Wenye kuelewa ndio mtaweza kuelewa hili jambo. Mnakumbuka ndani ya chama cha CCM kulikuwa na upinzani mkali sana na kila mwenye nguvu alitaka kusimamisha mtu wake anayeweza kumfanya remote. Jambo lilotokea CCM kuweka makamo wa raisi mwanamke baada ya kuona kuna mgombea mwanamke raisi kupitia...
  19. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mrema: CHAUMMA inaenda kupambana na CCM kweli kweli na kuwa sauti ya UMMA

    Kwa sababu huijui Katiba ya Chaumma unaweza kujiandikia chochote , Katiba iko wazi kuwa kama Mwenyekiti akitoka upande mmoja wa Muungano,Katibu mkuu lazima atoke upande wa pili wa Muungano ,period . Mmezoea kuishi kwa kutunga sana uongo, acheni kuwa waongo na wazushi . Chaumma next level...
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa sijui ni kwanini Simba SC, Serikali, TFF, CCM na Wanachama wa Simba SC walikuwa wanalazimisha Fainali ya CAFCC ipigwe kwa Mkapa

    Tafadhali anayezijua sababu hizo aniwekee hapa.
Back
Top Bottom