casino

A casino is a facility for certain types of gambling. Casinos are often built near or combined with hotels, resorts, restaurants, retail shopping, cruise ships, and other tourist attractions. Some casinos are also known for hosting live entertainment, such as stand-up comedy, concerts, and sports.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Madubwi mashine za kamari zinazomeza pesa yapigwe marufuku yabaki Casino tu, Watu wazima wanalizwa na sasa watoto wanaiba hela wakacheze

    Hizi machine zipo mpaka vijiji ambavyo hujawai kudhania Mashine zinameza sana coin, ni chipu ya computer imesetiwa kumeza karibia asilimia 70 ya pesa zinazoingizwa na kutema asilimia 30 tu. ukiziona Klugger zina mchina basi kuna asilimia kubwa yupo safarini kuchukua coin zilizomezwa,
  2. V

    Community Discussions Around Casino Jackpots and Crash Games in Tanzania

    Community Discussions Around Casino Jackpots and Crash Games in Tanzania The observation is unmistakable on Tanzanian forums and social groups: casino jackpots and crash games have become regular discussion topics. Football fans in Tanzania now follow betting discussions alongside match reports...
  3. marcoveratti

    Aviator Casino Trick

    ANGALIZO > NJIA HII HAIKUBARI KWENYE AVIATOR ZOTE . Kabla hatujaenda moja kwa moja kwenye mbinu tuanze kwanza kuelewa Algorithm ya mchezo , Michezo mingi kama sio yote ya casino ime designiwa kuhakikisha kuwa casino inapata faida hinyo wanao cheza lazima wapate hasara kwa ujumla wao Mfano...
  4. Mstahiki Mea

    Huu ni uzi maalumu wa kupeana mbinu kwa wachezaji wa macasino ya mtandaoni

    Huu ni uzi maalumu wa kupeana mbinu kwa wachezaji wa macasino ya mtandaoni. Tahadhari hii michezo sio ajira, cheza kwa kiasi ambacho ukipoteza hutaumia , ba jua ni muda upi unatakiwa kumpumzika. Casino maarufu zaidi Tanzania 1. Aviator Hii inawachezaji kila kona ya nchi , kumbuka kila kmpuni...
  5. A

    DOKEZO Mbeya: Wakili aelezea kilichotokea sakata la Mkurugenzi City Casino anayetuhumiwa kumnyanyasa kingono mke wa mtu

    Suala la Mkurugenzi wa Kampuni ya City Casino raia wa Burgalia, Vasil Dosev Dimitrov kudaiwa kuwatishia kuwaua Wanahabari wawili waliokuwa wakifuatilia madai kuwa anatuhumiwa kumfanyia unyanyasaji wa kingono aliyekuwa mtumishi wake wakike ambaye pia ni mke wa mtu, uchunguzi bado unaendelea...
  6. Samia atosha tukutane2030

    Ukizama online slots (casino), wanaobet mpira utawaonea huruma

    Siujui mpira vizuri na betting za mpira sizijui vizuri ila naona wanapigwa tu kila siku. Mtu anachakazwa wiki tatu anapewa siku moja elfu 50 basi hiyo siku mpaka mkewe atajua kuwa baba kapiga pesa kumbe ni elfu 50 tu au laki. Ukipiga hesabu kapata negative kubwa ndani ya mwezi. Online casino...
  7. S

    Technicians Princess Casino

    Wiki iliyopita Jumaanne ilikua ni deadline kwa nafasi za Technicians pale Princess Casino Kuna yeyote humu kashapokea simu ya kuitwa kwenye usaili ? #Wasiwasi ndo akili
  8. figganigga

    BAKWATA yataka CASINO ya Palm Village ifungwe, inaleta Usumbufu kwa Viongozi Wastaafu

    Baraza kuu la Waislam Tanzania, limetaka mfanyabiashara wa Casino Gaming kufunga mara moja kwani wanaleta Uaumbufu kwa makazi ya Viongozi. Casino ipo Palm Village Mikocheni. Tatizo ni kwamba Casino ipo eneo lenye Wananchi wengi na hasa Viongozi Wastaafu kuanzia Familia ya BABA WA TAIFA NA RAIS...
  9. Bata Boy Official

    Natafuta mwekezaji (Investor) wa App yangu ya Online Casino

    Habari wakuu! Mimi ni kijana ambaye ninatamani na ninapambana sana kuwa mjasiriamali upande wa mtandaoni (online au e-entrepreneur). Miaka kadhaa iliyopita nilipata idea ya App ya Online casino (ambayo ni tofauti na online casino zilizoeleka kwa kila kitu),ila kwasababu idea kama idea haitoshi...
  10. Analogia Malenga

    Kaunti ya Nairobi yaandaa Muswada wa kufanya michezo ya kamari isichezwe nje ya hoteli za nyota tano na casino

    Kenya inaandaa muswada wa Sheria wa kufanya michezo ya kubeti na kamari ziwe zinachezwa kwenye hoteli zenye hadhi ya nyota tano na casino tu. Muda wa kucheza michezo hiyo ikiwa nis aa mbili usiku hadi saa 12 alfajiri Muswada umependekeza Kampuni za Mawasiliano kuondoa USSD codes ambazo...
  11. VinJoe

    Kwa Experience yangu ya muda mfupi kwenye "Betting" nimegundua mambo machache

    Jambo la kwanza na kubwa kabisa betting is addictive very addictive hutaamini itakavyo kukamata na kuingia kwenye mishipa ya damu yaani kuna wakati kukaa bila kua na ka mkeka unakokasubiria ka tick ✅ basi unahisi kama kuna kitu hakiko sawa hivi. Jambo lingine ni kwamba utakua na matumizi yasio...
  12. beth

    Zambia yafunga baa na casino kupunguza kasi ya maambukizi ya COVID-19

    Zambia ambayo inakabiliwa na wimbi la tatu la Virusi vya Corona imesema maeneo ya starehe ikiwemo baa na casino zitafungwa kwa siku 14, ili kupunguza kasi ya maambukizi ya Ugonjwa huo. Wiki iliyopita, Shule zilifungwa kwa siku 21 ili kuruhusu Tawala kuchukua tahadhari za kuhakikisha usalama...
  13. Samia atosha tukutane2030

    Kwenye madini na kamari(casino) ukienda na malengo hufanikiwi

    Habari, Hivi unajua kuwa ukienda Machimbo madogo ya dhahabu au madini ya vito unatakiwa kuweka uchu wa mafanikio mbali? Malengo yoyote hupaswi kuweka. Nenda machimbo fanya kazi kama kazi wala kichwani usijijazie mimali. Hii kanuni pia iko kwenye macasino. Ukicheza casino huku unapigia hesabu...
Back
Top Bottom