cars

  1. abaa4all

    JamiiForums Tanzania Diplomatic Cars

    Habari Wanajamvi, Naomba kufahamu magari ya heshima ambayo ukiendesha unaonekana ni diplomats au mtu wa heshima. NB: Kuna gari ukiendesha tu unaonekana muhuni
  2. Billionaire wa Betting

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Naomba kama naweza kupata gari 0 kilometers au kuagiziwa

    Wakuu heshima kwenu, Naomba kufahamu authorized dealers au hata waagizaji wa magari kutoka USA kwa hapa Bongo.
  3. L

    JamiiForums Tanzania Nauza Diagnosis tool ndogo kwa ajili ya European Cars

    Habari wakuu, Nina diagnosis scan tool aina ya LAFOCH ML-168 kwa ajili ya Magari ya Ulaya mf: BMW, Benz, Audi na Volkswagen, au gari yoyote Kama Nissan, Toyota ambayo ni imported from Europe Kifaa hiki kinamfaa mtu kwenye gari lake binafsi ili akipata changamoto aweze kutrace tatizo mwenyewe...
  4. The Tactician

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari ya kukodi

    Habari zenu wakuu, Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam. Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost gari hapa tujadili au anicheki kupitia +255627315218 niione gari, kisha tuanze jadili gharama na...
  5. Valencia_UPV

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya wamiliki wa European cars!

    Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Nilinunua kwa madalali pale Biafra BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga...
  6. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Bolt's notice for operational changes (Category: cars only)

    Most of you are aware that LATRA issued a Tariff Notice Order No. LATRA/01/2022 on 14th March 2022. Despite the unfavourable impact of the tariff and commission cap directives on ride-hailing companies, Bolt has continued offering ride-hailing services to demonstrate goodwill and to allow due...
  7. profesawaaganojipya

    JamiiForums Tanzania Asante sana Toyota Cars

    Nimetoka sehemu na gari yangu, kufika home nacheki tairi ya nyuma kushoto, dah yote imelowa oil Kumwita fundi anasema ni oil ya diff, seal ya ekseli imekufa. Nikicheki mfukoni, mambo yako ovyo vibaya sana, fundi akatoa oil seal, kwenda dukani wananiambia sh 5000/(elfu tano), nilijua labda...
  8. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KQ intends to buy 40 flying taxis from Brazil

    Kenya Airways(KQ) has signed a deal that will see it buy 40 flying taxis from two Brazilian firms as part of the airline’s diversification through its new subsidiary Fahari Aviation. The carrier said on Tuesday it had signed a letter of intent (LOI) with EVE UAM, LLC, a subsidiary of Eve...
  9. ward41

    JamiiForums Tanzania North Korea Cars

    Umaskini wa kujitakia
  10. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya M- Kwenye Auto - Manual Cars. Wengi wanashindwa kufahamu watumie nini na wakati gani?

    Kwenye hizi gari ndogo za Mjapan ambazo nmefanikiwa kumiliki nimekuwa nikipenda kuwa na Gari ambazo ni Auto Manual- Binafsi mimi ni mpenzi sana wa Gari Manual. Ingawa kwa hizi ndogo ni nadra sana kuzipata Manual. kwa hizi ndogo nimekuwa na Toyota Harrier, Toyota Crown, Toyota Rumion na Toyota...
  11. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya to export cars as EAC meets minimum free trade requirement

    Kenya will soon export cars to the rest of the continent after the East African Community met the minimum requirement to allow it to trade under the African Continental Free Trade (AfCTA). The move will see countries like Kenya start selling products out of the bloc. The partner states have...
  12. M

    JamiiForums Tanzania 9 most expensive Presidential Cars in 2022 No 1 costs USD 7.8 Million

    African leaders will go to tremendous lengths to ensure that they travel in armored, top-of-the-line vehicles that make a statement. This is understandable, given the nature of their work and their importance in the country. As a result, they'll opt for a vehicle that can move fast, manage tough...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Tunakodisha magari - Wedding cars rental

    Tunatoa huduma ya kukodisha magari kwaajili ya shughuli mbalimbali. Bei kuanzia 100,000. Call/Watsap 0788457446
  14. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyan firm sets up charging stations as electric cars drive into city

    Kenya is like the rest of the world headed to using electric cars and motorbikes to curb environmental pollution from petroleum fuels and one company is at the forefront of driving the change. Electric cars are already on the Kenyan roads and the infrastructure to support them is gradually...
  15. Mbalamwezi1

    JamiiForums Tanzania Gentlemen Cars in town

    Yaani kwa sasa gentlemen cars in town kwa Tanzania ni Land Rover Discovery kuanzia series 2 na kuendelea. Wanaoendesha haya magari kwanza ni watu fulani hivi wanaonekana ni wastaarabu na wasio na vurugu barabarani. Halafu always utawakuta vioo vipo juu, hii inaonesha ni watu wa kipato cha kati...
  16. Swahili AI

    JamiiForums Tanzania Wapi wana mtumba mkali kati ya hawa?

    Wakuu, Nilikua napita kwenye mtandao wa kuuza magari, kwa wenye uzoefu/ufahamu.... Ni wapi wana gari makini zilizotumika?
  17. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure: Madereva wa private cars tembeeni usiku kama unafanya Safari ndefu

    Imekuwa desturi na mazoea kwa madereva wengi wanaoendesha magari yao binafsi kufanya safari zao ndefu muda wa mchana ingawa ni jambo jema ila kwa mtazamo wangu mimi naona ni shida na usumbufu mwingi njiani. Naongea hivyo kwasababu ndani ya mwezi Machi nilifanya safari ndefu ya kwenda Mwanza na...
  18. babu M

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Apple ina mpango wa kuanza kuunda autonomous electric vehicles (A-EVs) na kuwa barabarani 2027

    Kampuni ya Apple ina mpango wa kuingia ubia na Kampuni ya Hyundai ya South Korea. Kuanza kutengeneza magari ya umeme yanayojiendesha bila dereva. Lakini Apple pia bado ipo kwenye mazungumzo na makampuni mengine ya magari jinsi inaweza kuingia ubia nao! Hii ni big blow kwa kampuni kubwa ya...
  19. Wacha1

    JamiiForums Tanzania Thousands of cars form lines to collect food in Texas

    North Texas Food Bank distributed more than 600,000 pounds of food for about 25,000 people on Saturday, according to spokeswoman Anna Kurian. There were 7,280 turkeys distributed to families, Kurian. "Forty percent of the folks coming through our partners doors are doing so for the first time,"...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Mercedes launches a new Generation of Cars

    German automotive marque and, from late 2019 onwards, a subsidiary (Mercedes-Benz AG) of Daimler AG. Mercedes-Benz is known for producing luxury vehicles and commercial vehicles. The headquarters is in Stuttgart, Baden-Württemberg. I'm the past years Mercedes Benz has been showcasing their new...
Back
Top Bottom