profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,134
Nimetoka sehemu na gari yangu, kufika home nacheki tairi ya nyuma kushoto, dah yote imelowa oil
Kumwita fundi anasema ni oil ya diff, seal ya ekseli imekufa.
Nikicheki mfukoni, mambo yako ovyo vibaya sana, fundi akatoa oil seal, kwenda dukani wananiambia sh 5000/(elfu tano), nilijua labda wamekosea bei, kumbe ni sawa, nikampa fundi akafunga, nae nikampoza 5000/=, jumla nimetumia 10 tu,
Kweli kuna gari kali sana duniani, ila mwacheni toyota abaki kuwa toyota.
Kumwita fundi anasema ni oil ya diff, seal ya ekseli imekufa.
Nikicheki mfukoni, mambo yako ovyo vibaya sana, fundi akatoa oil seal, kwenda dukani wananiambia sh 5000/(elfu tano), nilijua labda wamekosea bei, kumbe ni sawa, nikampa fundi akafunga, nae nikampoza 5000/=, jumla nimetumia 10 tu,
Kweli kuna gari kali sana duniani, ila mwacheni toyota abaki kuwa toyota.