Habari ndugu wanaJF wenzangu mimi ni mgeni humu ndani. Nimejulishwa jukwaa hili na rafiki yangu wa karibu baada ya kumuelezea changamoto nazopitia katika ofisi yangu.
Kiufupi ni kwamba mimi ni msichana umri miaka 25 nimemaliza shahada ya ualimu mwaka juzi. Baada ya kukaa mtaani kwa takrban...
Accessibility is one of the most important issues in the history of Canada. According to Municipal World, they say that the population of disabled people in Canada is increasing. The article says, “Statistics Canada’s 2022 Canadian Survey on Disability found that 27 per cent of Canadians aged 15...
Wakuu naomba msaada, hivi ni mmi pekee ninaye pata changamoto na customercare ya CRDB bank? Shida ipo wapi kwenye bank hii, Nilikjua wamebdirika, mbona malingo mengi sana. Mbona customer ya benki haina tofauti na wahudumu wa mahakani au police.
Wanahitaji uwabembeleze sana ndo wakujibu, Shida...
I salute you kinsmen
Wakuu
Kuna jambo huwa linanishangaza sana
Ninapoishi kuna ukaribu kidogo na day care moja hivi.
Sasa jioni nimerudi nikawa naskia muziki mule
Kumbe wameweka graduation party wazazi wamealikwa jioni hiyo
Yaani kiufupi ni graduation ya watoto kumaliza day care! Hapo...
"Tulifanya kikao hapa tuliwashauri serikali tarehe 30 mwezi wa nne usiku wake ambapo waliamua kuniua mimi, ndiyo tulipitisha yale maazimio na uzuri yamekabidhiwa serikalini mwezi wa nane tarehe 27. Pamoja na kwamba ilikuwa tuyakabidhi siku iliyofuata wakataka kuniua Mungu bariki nikapona, najua...
Hawa viumbe ni wauaji inapokuja kwenye suala la ngono salama hawajali kabisa.
Yaani manzi mnakubaliana ukaichape hata hakukumbushi ubebe ndomu. Usipojiongeza gono au waya linakulamba.
Ni mara chache sana manzi kukaza utumie kinga, na hata akikaza na wewe ukimkazia uende kavu hapingi.
Kuna...
Dkt. Gwajima D
Watoto wadogo ni rahisi kupelekeshwa kwa namna isio sahihi.
Ingawa usalama wa watoto hawa unakuwa jukumu la wamiliki pale watoto wanapokuwa shule ila tunahikkishaje kama wanazuzingatia kisahihi?
Amid kuwepo na ripoti za wafanyakazi wa hizo day care na wapita njia kuwarubuni...
LAW OF RECIPROCITY - what you send out energy, thoughts and actions returns amplified.
LAW OF AUTHORITY - spirits only respect those who knows they are. if you're confused they dominate.
LAW OF RESONANCE - you attract what matches your vibration, purity =clear outcomes.
LAW OF TIMING -...
Habarini ya Muda huu,
Hii Bodi yetu Pendwa ya wahasibu na wakaguzi wa ndani ya TANZANIA (NBAA) Wana changamoto ya Customer Care.
Ukiwapigia simu yao ya Landline hawapokei na hata ukiwatumia E-Mail kwa email address yao ya info@nbaa.go.tz hawazijibu.
Kwa sasa nipo Mpanda - Katavi nimeshatuma...
Unakuta mwanaume pua imejaa mafuta hadi inatoa vinywele vyeupe, kwenye kucha nako ni chafu, tena kam anafanya kazi gerage ndio kabisa. Wengine nyuma ya mikono kumekakamaa sana, hata mafuta hawapaki, hii sio sawa.
Mwanaume unakua na ngozi laini, kucha safi, kama huwezi kwenda saluni basi sugua...
Kwa muda sasa nimekuwa nikitumia mtandao wa Halotel lakini kila ninapohitaji msaada kupitia customer care napata usumbufu mkubwa. Ukipiga simu, unaweza usijibiwe kabisa au ukasubiri hata dakika 10 bila msaada wowote. Ukiandika kupitia mitandao yao ya kijamii wanajibu kwa kuchelewa au kwa ujumbe...
New Vacancies at Platinum Medical Care – May 2025
Platinum Medical Care is seeking to hire professional and dedicated individuals for various positions. Join our team and contribute to providing the best services in patient care. We are currently looking to fill the following vacancies...
Wanachokimaanisha hapa hawa Wanawake si hasa hayo Maneno Manne tajwa hapa katika Kichwa changu cha Habari bali ukitaka kujua / kukijua kile wanachokimaanisha hasa nakuomba chukua kila Herufi za mwanzo za hayo maneno yaani katika Care chukua herufi ya mwanzo ya C, katika Antettion chukua herufi...
Wakuu habari za humu ndani.
Mpaka sasa najiuliza why she don't care. Wakuu nipo na mahusiano lakini hata simwelewi huyu mwenzangu mpaka sasa.
Yupo careless an usipomtafuta sahau kutafutwa. Hana time na wewe.
Kapeace naomba uwe miongoni mwa washauri hapa.
Why she don't care, najitoa sana...
Wakina diddy wamevamia sekta ya day care
Ni mwendo wa kutengeneza mashoga wengi maana mtoto wa kiume atajua kufirw ni kawaida maana alikuwa molested tangu utotoni
Yale ya dereva na mwenzake wa school bus kubaka kaanafunzi ka kike ka-kindergarten.
Kesi za kujirudia rudia za Waalimu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.