Salaam Jamani,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kuna mambo ni mpaka nimeanza kuogopa, wiki 4 zilizopita Trump alimtania Canada Pm kwa kumwita Gavernor wa great state of Canada eti kwamba Canada iwe jimbo la 51 la USA.
Leo karudia tena kwamba Canada kua jimbo la 51 la USA ni idea nzur...