buhigwe

Buhigwe is an administrative ward in Kasulu District of Kigoma Region of Tanzania.
At the time of the 2012 census, the ward had a total population of 15,224

View More On Wikipedia.org
  1. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wakala alipokea fedha miaka mitatu iliyopita Vijiji vya Kibande na Bweranka (Buhigwe – Kigoma) lakini hakuna umeme

    Katika Vijiji vya Kibande na Bweranka vinavyopatikana Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini alishakula fedha za Wananchi takribani miaka 3 iliyopita. Baadhi ya nyumba zilishapata huduma, ila kuna wengine bado hatujapata hiyo huduma, tukaambiwa kwamba sisi...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Afya tunalazimishwa kuchangia pesa ya Mwenge, Halmashauri ya Wilaya Buhigwe - Kigoma

  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Katika vijiji vya kibande na Bweranka vinavyopatikana Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini alishakula pesa za Wananchi

    Katika vijiji vya kibande na Bweranka vinavyopatikana Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini alishakula pesa za Wananchi takribani miaka 3 iliyopita. Baadhi ya nyumba zilishapata huduma, ila kuna wengine bado hatujapata hiyo huduma. Tukaambiwa kwamba sisi...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ambazo watumishi wapya Wilaya ya Buhigwe tunakabiliana nazo kwa muda mrefu bila kupatiwa ufumbuzi

    Tunapenda kuwasilisha changamoto ambazo watumishi wapya katika Wilaya ya Buhigwe tumekuwa tukikabiliana nazo kwa muda mrefu bila kupatiwa ufumbuzi: 1. Uingizaji Usio Sahihi wa Taarifa za Kitaaluma kwenye Mfumo Kumekuwepo na uzembe katika kuingiza taarifa za watumishi wapya kwenye mfumo wa...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Dkt Mpango aiomba Benki ya CRDB kutoa elimu ya fedha wakati akizindua Tawi Buhigwe

    Buhigwe. Tarehe 27 Agosti 2025: Akizindua tawi la Benki ya CRDB wilayani Buhigwe pamoja na kupokea madarasa mawili ya shule ya sekondari, Makamu wa Rais, Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango ameisifu Benki ya CRDB kwa jitihada zake za kutanua huduma jambo linalosaidia kuongeza ujumuishaji wa...
  6. Kigoma Region Tanzania

    JamiiForums Tanzania Hawa sasa ndio wanakijiji cha Kigogwe Buhigwe mkoani Kigoma

    BUHIGWE Mwenyekiti wa Kijiji cha Kigogwe wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma ametoa wito kwa serikali kupitia wizara ya ujenzi na makampuni ya ujenzi kuweza kujitolea kukamilisha ujenzi huu ambao kwasasa unaendelezwa na wanakijiji, Ndugu Methusela Ntahonsigaye ambaye ndiye mwenyekiti ameeleza ya...
  7. mwanzo wetu

    JamiiForums Tanzania Jimbo la Buhigwe linaliwa kama mchwa

    Habari wakuu,. Poleni na majukumu , Nianze Kwa kusema kuwa Jimbo la Buhigwe ni Moja ya Jimbo ambalo linapokea Miradi mingi ya maendelo Kuliko wilaya nyingi za hapa Tanzania, na Hii ni kutokana na Jimbo Hilo kuwa eneo analozaliwa makamu wa Rais hivyo Hii imechangia sana kupata maendeleo haraka...
  8. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buhigwe asimamishwa kazi kupisha Uchunguzi

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Angellah Kairuki amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buhigwe (DED) mkoani Kigoma, Essau Ngoloka kupisha uchunguzi. Mkurugenzi huyo amesimamishwa ikiwa ni siku chache zimepita tangu, Makamu wa Rais, Dk...
  9. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Tanzania NMB wafungua tawi Buhigwe nyumbani kwa Makamu wa Rais

    Benki ya NMB yazindua tawi jipya Buhigwe nyumbani kwa Makamu wa Rais Philip Mpango. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango leo ameipa Benki ya NMB baraka zake na kuzindua Tawi jipya la Benki hiyo Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma na kuipongeza kwa uthubutu na kuwafuata Wananchi...
  10. ACT Wazalendo

    JamiiForums Tanzania Taarifa Rasmi ya Chama cha ACT Wazalendo Juu ya Chaguzi za Marudio

    Taarifa Kwa Vyombo vya Habari UZOEFU WA ACT WAZALENDO KATIKA KUSHIRIKI CHAGUZI ZA MARUDIO ZA 16 MEI 2021 Chama cha ACT Wazalendo kilishiriki katika chaguzi ndogo za marudio katika Majimbo ya Muhambwe na Buhigwe na Kata 5 kati ya Kata 17 zilizokuwa zinachagua Madiwani. Tuliamua kushiriki katika...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mlio Muhambwe na Buhigwe tupeni kinachoendelea

    Bado masanduku ya kura hawajakimbia nayo? Bado kura zilizopigwa tayari hazijatumbukizwa kwenye masanduku ya kura Bado mawakala hawajafurushwa kutoka kwenye vituo vya kupigia kura? Bado Majina ya wapiga kura wenu hayafutwa
  12. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Buhigwe ya kijani #kazi iendelee

  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Tume ya Uchaguzi yawataka mawakala wa vyama vya siasa na wasimamizi kuzingatia sheria za Uchaguzi katika Uchaguzi mdogo wa muhambwe, buhigwe na kata 5

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi imesema vyama vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe mkoani Kigoma na Uchaguzi wa Udiwani katika kata tano za Tanzania Bara, vina wajibu wa kuweka mawakala kwenye vituo vya kupigia na kujumlisha kura lakini mawakala hao...
Back
Top Bottom