boxer

Lim Yo-hwan (born 4 September 1980), known by the ID SlayerS_`BoxeR` (usually shortened to BoxeR), is a former professional player of the real-time strategy computer game StarCraft. He is often referred to as The Terran Emperor (Korean: 테란의 황제), or simply "The Emperor", and is widely considered to be one of the most successful players of the genre as well as an esports icon. In late 2010, he retired from StarCraft: Brood War and founded the StarCraft II team SlayerS. Since the disbanding of SlayerS, he briefly returned to SK Telecom T1 (SK T1) as a coach before retiring due to health related issues. He is currently a professional poker player.
Lim has a record of 548 wins and 416 losses (56.80%) in his professional career. He is one of the highest-paid professional gamers, with annual earnings that exceed $400,000 US Dollars and endorsement contracts that bring in an additional $90,000 per year.

View More On Wikipedia.org
  1. haszu

    Kuna mwanaume mida hii kalala na boxer aliyoshinda nayo mchana…

    Boxer umezunguuka nayo wee, usiku unaoga, unarudia boxer hiyo hiyo, mkiulizwa mnasema mwanaume unakuaje na boxer nyingi, je hicho sio kichaa? nyie ndio mnaumwa fungus kisha mkikutana na wadada mnawaambukiza. Mwanaume usafi, kua na boxer za kutosha and keep your closed parts clean and dry...
  2. Mshana Jr

    Boxer HD 150 wanaweza kumpa ubalozi

    Katika hali isiyo ya kawaida kijana "Brown Antony" amevuka kilometer takribani 900 ndani ya masaa 10 kutoka Mbeya-Dar Es Salaam kwa Pikipiki boxer HD 150... Hii inakuja kutokana na ubishi kuzuka sehemu yao yakazi na kupelekea kuweka shindano la kushinda pikipiki endapo atafanikiwa kufika Dsm...
  3. J

    INAUZWA BoxerCc 125Bei 1.3milioni Mbeya

    Boxer Cc 125 Bei 1.3mln Mbeya 0769103506
  4. DuaZaMama

    PostGE2025 Picha: Polisi wampandisha mtuhumiwa kizimbani kusomewa mashtaka akiwa na BOKSA

    Kijana huyu amesimama kizimbani akiwa na vest na boksa—baada ya kunyimwa hata ruhusa ya kupiga simu kuomba nguo za kubadilisha. Ni miongoni mwa vijana walioshtakiwa pamoja na Niffer kwenye kesi ya uhaini. Taarifa zinaeleza kuwa Jeshi la Polisi lilimzuia kuwasiliana na familia yake, hata kwa...
  5. jeneralikevin

    INAUZWA Pikipiki Aina ya Boxer 150HD inauzwa

    Boxer 150HD Motorcycle Strong and reliable engine Excellent condition — ready to ride Ideal for town or upcountry use Location: Ilemela, Mwanza Call / WhatsApp: 0768196647
  6. fufumajeusi

    Hii Pikipiki (boxer) imenishinda, fundi mtabe njoo hapa unisaidie

    pikipiki yangu inatoa moshi, kila nikitepeleka kwa fundi anabadili piston kits, na bla blaa kibao kwamba imepona. after few period inajirudia tatizo lile linajirudia!
  7. Jackpiano

    WAKUU HIZI PIKIPIKI AINA BOXER ZA Bm 125 HD150 JE

    Wakuu hivi zile pikipiki aina ya boxer bm150 gear 4 kweli zimezuiliwa nchini au ni story za watu wenye experienc mje mtoe ushuhuda na je zile bm150 gear 4 zilikua balaa kuzidi izi boxer HD 125 na HD 150 za sasa
  8. Jackpiano

    Pikipiki aina ya boxer bm150 gear 4 kweli zimezuiliwa nchini au ni story tu?

    Wakuu hivi zile pikipiki aina ya boxer bm150 gear 4 kweli zimezuiliwa nchini au ni story za watu wenye experienc mje mtoe ushuhuda na je zile bm150 gear 4 zilikua balaa kuzidi izi boxer HD 125 na HD 150 za sasa
  9. Mme Mwenza

    Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    Hakika ipo gudi sana. Inanipa kilometer 135 kwa mafuta ya elfu 6,000. Ukiachana na vipuri vyake adimu kuvipata ila hizi pikipiki zipo vizuri sana Ukijali umwagaji wa oil na filter kubadili kwa muda mwafaka, kwa fundi matengenezo mengne utayasikia tu kwa wengine.
  10. The last don

    Boxer 125 HD inauzwa

    NAUZA PIKIPIKI AINA YA BOXER 125 HD...Nilinunua kwa matumizi binafsi..uendeshaji wa pikipiki kwenye Jiji la Dar Es Salam umenishinda... IMETUMIKA KWA KIASI KIDOGO SANA...USED LIKE NEW FOR ONLY 2M.. 0621973591 Dar
  11. Mwafrika mmoja

    Njoo uchukue BOXER X 125 "DRD"

    Pikipiki makini ya kupiga kazi hii hapa. BOXER X 125 "DRD" 🔥🔥🔥 Unaipata kwa 1,880,000/= Tu Napatikana Mbezi Beach, Dar es Salaam na kama uko mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa. CALL/WHATSAPP 0683535699
  12. Afisa Mteule Drj 2

    Wakuu nahitaji kujua bei ya pikipiki Boxer BM 150 HD

    Kwa mlioko dar es Salaam naombeni mnisaidie kufahamu bei ya hizi pikipiki mpya hasa BM 150 HD ile ambao mud guard yake ya mbele haijanyanyuka
  13. Magical power

    Mwanamke mmoja huko Mtwapa amlima makonde Jirani yake kisa ameanika chupi zake karibu na boxer za mmewe

    Mwanamke mmoja huko Mtwapa amlima makonde Jirani yake kisa ameanika chupi zake karibu na boxer za mmewe. Kulingana na taarifa ni kwamba mama huyo alifua boxer za mmewe na kuzianika ila baadae alipoenda kuziondoa alimpata Jirani yake ameanika chupi zake karibu na boxer hizo.
  14. W

    Boda boda Boxer iliyotumika inauzwa 1.3M

    Boda boda use inauzwa , bei ni 1.3M. Boxe BM , inamarekebisho yatahitajika kama laki 4. Ipo Dar es salaam , kitunda. Namba ya simu/ whatsapp 0754200363
  15. ESCORT 1

    Hizi kalamu kwenye boxer huwa za nini?

    Sijawahi kueleww lengo la kuweka kalamu kwenye boxer! Lengo ni nini hasa?
  16. G

    chupi / boxer za mitumba zipigwe marufuku, ni bidhaa zinazoshusha utu kuliko kuyamudu maisha kiuchumi

    Elimu ndogo ya boxer (Me) na chupi (Ke) Chupi / Boxer inafyata nabidi ifyatuliwe Matone ya mkojo hudondokea Kwa wanaume zinachafuliwa na manii (Bao) Kwa wanawake zina zinagusa Period Chupi ni nguo ya kwanza kupokea hewa chafu Bora uende dukan ununue chupi / boxer za bei chee kuliko original...
  17. ELI COHEN

    Mnamkumbuka Tong Po yule ambae Van Damme alimkuta anapiga ukuta hadi unatiksika kwenye movie ya kick boxer 😂. Kumbe hakuwa Mthailand wala nini!

    https://youtube.com/shorts/gTEMno7Z2-U?si=xSlG6kfVeuVYMh01 Kumbe jamaa ana asili ya morocco. Ila Kwenye filamu alitengenezwa ili afananie kama mthailand. Ila jamaa ni mtalaam wa martial arts pia ni muaandaji wa filamu za zinazohusiana na martial arts. Kickboxer ni moja ya classic movies...
  18. nipo online

    Napenda pikipiki TVS lakini eneo nililopo wateja wanapenda BOXER. Naomba ushauri.

    Nimepita vijiwe kadhaa hapa nimechunguza kisha nikaona pikipiki nyingi ni boxer ikabidi niulize wadau hapa majibu yao ni kua TVS humpakii mtu haya maeneo TVS nenda mbeya au dsm. Lakini hakunitajia sababu kwa nini wateja wanapenda BOXER.
  19. baba aura

    INJINI YA BOXER KUTOA MLIO WA KUGONGA

    Habar wakuu,Nina pikpik aina ya boxer bm 150 sasa hii pikpiki huwa inatoa mlio wa kwenye injinimlio huwa huwa kama Luna kitu kinagonga gonga ndani ya injini Kwa mafundi nimepeleka na wamebadili kila kitu Ila baada ya Sikh tu kamlio kanaanza tena Je shida nini wakuu?
  20. steve_shemej

    AGIZA PIKIPIKI BOXER KWA TSH 2200000 TU

    KARIBUNI WATEJA AGIZA PIKIPIKI BOXER 125 KWA 2200000 TU PIKIPIKI NI MPYA UTAPATA NDANI YA SIKU 15 UNALIPIA MILIONI 1850000 PIKIPIKI YAKO IKIFIKA UTALIPIA PESA ILIYOBAKI KAMA USAFIRI NA KODI UKIFIKA UTAPEWA MKATABA NA RISITI TUPO MBEZI MSIGANI KARIBU NA KIWANDA CHA MABATI UNALIPIA OFISINI...
Back
Top Bottom