billion

A billion is a number with two distinct definitions:

1,000,000,000, i.e. one thousand million, or 109 (ten to the ninth power), as defined on the short scale. This is now the meaning in both British and American English.
1,000,000,000,000, i.e. one million million, or 1012 (ten to the twelfth power), as defined on the long scale. This is one thousand times larger than the short scale billion, and equivalent to the short scale trillion. This is the historical meaning in English and the current use in many non-English-speaking countries where billion and trillion 1018 (ten to the eighteenth power) maintain their long scale definitions.American English adopted the short scale definition from the French (it enjoyed usage in France at the time, alongside the long-scale definition). The United Kingdom used the long scale billion until 1974, when the government officially switched to the short scale, but since the 1950s the short scale had already been increasingly used in technical writing and journalism; the long scale definition still enjoys some limited usage in the UK.Other countries use the word billion (or words cognate to it) to denote either the long scale or short scale billion. (For details, see Long and short scales § Current usage.)
Milliard, another term for one thousand million, is still found occasionally in English, and is very common in most other European languages. For example, Bulgarian, Catalan, Croatian, Czech, Danish, Dutch, Finnish, French, Georgian, German, Hebrew (Asia), Hungarian, Italian, Norwegian, Polish, Portuguese, Romanian, Russian, Serbian, Slovak, Slovene, Spanish, Swedish, Persian, Turkish and Ukrainian — use milliard (or a related word) for the short scale billion, and billion (or a related word) for the long scale billion. Thus for these languages billion is thousand times larger than the modern English billion. However, in Russian, while milliard (миллиард) is used for the short scale billion, trillion (триллион) is used for the long scale billion.

View More On Wikipedia.org
  1. Fufua Tumaini Jipya

    JamiiForums Tanzania Akili za mtu mweusi zinashangaza , unanunua jengo la Billion 1.6 baada ya hapo unasema hauna hela ya uchaguzi!.

    Chama Chadema kuna watu waliokosa maono . Tundu lissu , yupo sahihi kutokubali kukichangia hiki chama I agree with him. Mimi nachojua life is about priority Maisha ni swala la vipaumbele zaidi . Kulikuwa kuna haja gani ya kununua jengo la billion 1.6 wakati tunashindwa kugharamikia uchaguzi...
  2. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Elon Musk Told The U.N. If They Could Show A Plan For Ending World Hunger He'd Donate $6 Billion – 'I Will Sell Tesla Stock Right Now And Do It'

    In a world where hunger kills more people each year than malaria, tuberculosis and AIDS combined, Elon Musk's bold proposition in October 2021 sparked an unusual yet critical conversation. The tech billionaire, known for electrifying industries and aiming for Mars, turned his attention back to...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Matunda Matamu Ya Siku 150 Za DP World Bandarini, Serikali Yakusanya Billion 325

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Mama ameifungua Nchi na Sasa Asali na Maziwa vinatiririka na kumiminika Tu hapa Nchini.kwa hakika kila mmoja analamba asali Kiganjani mwake.Embu nisiwachoshe na kuwapunguzia Utamu . soma hapo chini👎 Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matunda ya...
  4. Mpigania uhuru wa pili

    JamiiForums Tanzania Unatumia usd billion 7+ kujenga mradi wa train ya umeme halafu unampa mtu amabye hana uzoefu wowote wa kusimamia hiki ni kichekesho

    Ukituatilia mambo mengi ya serikali yaavyoendeshwa utakubaliana na mimi hii nchi mambo mengi yanaendeshwa kimchongo Watu walioko serikalini hawana uwezo wa kufikiria miaka 3 mbele itakuaje maamuzi yao mengi ni watapata nini wakati huu ni mwendo wa shortcut Mfano TRC wanataka kununua engine za...
  5. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Tanzania yasaini Mikataba Minne (4) Yenye Thamani ya Billion 323.4

    Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo La Ufaransa (AFD) wamesaini mikataba minne (4) yenye jumla ya euro milioni 118.8 sawa na takriben shilingi bilioni 323.4 kwa ajili kutekeleza miradi mbalimbali nchini ikiwemo Awamu ya Pili ya mradi wa nishati jua wa Kishapu Mkoani Shinyanga, pamoja na...
  6. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Ferrari wamezindua Ferrari F80, inayouzwa Tsh Billion 10.5 tu! Na ata kama unayo iyo pesa, huwezi nunua kwasababu yameshauzwa yote!

    Ni tabia ya Ferrari kuzindua racing-inspired supercar kila baada ya miaka 10, na last time 2013 tuliletewa Ferrari LaFerrari, na sasa mrithi wake amefika. Ferrari F80 ni supercar. Ni racing car. Ina DNA za Ferrari 499 na SF NB: Ferrari 499 ni hypercar iliyoshinda LeMans mara mbili. Na SF...
  7. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

    Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine...
  8. kali linux

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Elon ni genius sijawahi ona ulimwengu huu. Aliwekeza takribani dola milion 118 kwenye kampen za Trump ila ndani ya siku moja tu kapata dola billion 26

    Elon Musk ni kichwa sana yule jamaa. Yeye ndie investor mkubwa kwenye rally ya Trump na inasemekena kwa ujumla aliwekeza dollar million 118. Lakini baada ya Trump kushinda utajiri wa Elon ambae kwa sasa ndio tajiri namba moja umeongezeka kwa dollar billion 26 ongezeko hilo likitokana na...
  9. winnerian

    JamiiForums Tanzania ETHIOPIA IS FAR AHEAD! WHY NOT TANZANIA? WHAT IS A STRONG BARRIER AGAINST US?

    🇪🇹 Ethiopia surpasses export revenue goals, reaching $1.5 billion in first quarter of the current fiscal year Ethiopia’s Ministry of Trade and Regional Integration has reported that export revenue has achieved 132% of its target, state media ENA reported. This marks an increase of over $700...
  10. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Daraja la Jangwani litajengwa kwa billion 300 au billion 97?

    Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye...
  11. Mad Max

    JamiiForums Tanzania McLaren W1 Supercar yazinduliwa. Ndio itawarithi McLaren P1 na F1. Itauzwa Billion 5.7 za Kitanzania tu!

    McLaren Automotive jana tarehe 06 October wametangaza chuma yao mpya McLaren W1 wameipa codename P18. Hii Plugin-hybrid itaanza kuuzwa mwakani 2025 na ndio itakayowarithi wakongwe P1 na F1 waliokuwepo tokea miaka ya 90s (F1) na miaka ya 2010s (P1). W1 ni 2-doors coupé itakayokuja na gull-wing...
  12. Matulanya Mputa

    JamiiForums Tanzania Sativa ni kujidanganya kulipwa Bilioni 5 na Serikali Kizembe

    Nimeona andiko la Sativa na mawakili wake akiwemo Jebra Kambole kuwa serikali kupitia jeshi la police imlipe B5 jambo ambalo binafsi haliwezekani na halitowezekana kamwe . Mf kama Tundu Lissu ambaye alikuwa mbunge alinusurika kama Sativa akapambana kulipwa staiki zake je Sativa utalipwa? Jana...
  13. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA inapokea Ruzuku ya Tsh. Millioni 107 kwa mwezi sawa na Tsh. Billion 1 na Millioni 284 Kwa mwaka!

    Ndugu zangu Watanzania, Chama kikuu cha upinzani hapa Nchini CHADEMA kinapokea Ruzuku kutoka serikalini ya takribani Millioni 107 kwa Mwezi ambayo ni sawa na Billion 1 na Millioni 284 kwa mwaka. Yaani: 107,000,000 x 12= 1,284,000,000/=. Ambapo hata hivyo CHADEMA inasema kiasi hicho ni kidogo...
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Safaricom yaweka rekodi Africa Mashariki kufikisha mapato ya dollar billion 1 kwa mwaka

    Wiki hii kampuni ya simu ya Safaricom ya Kenya imefikisha mapato ya dollar bilioni 1.07 kwa mwaka na kuifanya kampuni ya kwanza katika ukanda wa Africa Mashariki kufikisha na kupita kiwango cha mapato ya dollar bilioni kwa mwaka.
  15. Yoda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laidhinisha kitita cha $ billion 60 kwa Ukraine

    Baada ya mkwamo wa muda mrefu uliochangiwa na baadhi ya wabunge wa Marekani wenye mahaba na Putin hatimaye bunge la Marekani limepitisha kifurushi kipya cha $billion 60 kwa vita vya Ukraine. Msaada huu mpya kwa Ukraine unajiri baada ya mwaka mmoja na nusu tangu bunge lililokuwa likiongozwa na...
  16. PureView zeiss

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania USD 1.30 billion zimetumika Kwa usiku Jana kuzuia makombora ya Iran

    Vita ni kitu cha gharama Sana na ni mzigo Kwa dunia. Ebu piga hesabu Kwa usiku mmoja zimetumika USD kibao Kwaajili ya ulinzi Tu wa anga, Kwa mfano fighter jets za F-35 zilikuwa zinaruka hewani kutokea nchini Cyprus kuzuia makombora yaliyokuwa yanatoka moja Kwa moja kutoka Iran huku fighter jets...
  17. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mwanamama billionea ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la utakatishaji hela $44 billion

    Anaitwa truong my Lan umri ni miaka 67 Tajiri wa ki Vietnam amepatikana na hatua ya kutakatisha hela kwenye Bank moja kubwa Kwa zaidi ya miaka 11.ila nimeshindwa kujua hasa alifanya fraud kivipi Kwa maana hiyo hela aliichukua kama mikopo. Kesi hio Ilikuwa ni kubwa sana kiasi kwamba ilihusisha...
  18. Shining Light

    JamiiForums Tanzania 286 Billion is to be used for the construction of the new stadium in Arusha City

    A 286 billion Tanzanian shilling deal has been signed by the government and China Construction Engineering Group (CRCEG) for the building of a new football stadium in Arusha. Minister for Culture, Arts and Sports Dr. Damas Ndumbaro, stated during the signing ceremony today, March 19, 2024, in...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Natengeneza mfumo wa kukusanya kodi baada ya miaka 10 utakuwa na uwezo wa kukusanya usd billion 700+ kwa kila mwaka wa fedha

    Kama kisemacho kichwa cha habari kwa sahivi natengeneza mfumo wa kodi ambao ukiwa adopted baada ya miaka 10 utakua na uwezo wa kukusanya usd billion 700+. Nikimaliza ntawapa mrejesho.
  20. K

    JamiiForums Tanzania PSSSF ziko wapi Billion 14 za Rais Samia alizolipa kwenu kwa ajili ya Wastaafu wa ATCL

    Raisi Samia Suluhu Hassan alilipa billion 14 za mapunjo ya madai ya kustaafu waliokuwa wafanyakazi wa Air Tanzania Company Limited tarehe 27/12/2023 kwenye mfuko wa PSSSF. Hadi muda huu ni asilimia thelathini tu ya Wastaafu ndio wamelipwa wengine wanapigwa dana dana hawalipi. Hawa ni pamoja...
Back
Top Bottom