biharamulo

Biharamulo is a town in northwestern Tanzania. It is the district headquarter of Biharamulo District. Biharamulo used to be a German administrative center in colonial times. Biharamulo Game Reserve is located north of the town.

View More On Wikipedia.org
  1. USSR

    PreGE2025 Mbunge wa Biharamulo afanikisha malipo wa waliopisha mradi wa umeme jimboni

    FIDIA KWA WALIOPISHA MRADI WA UMEME WA KUTOKA GEITA KWENDA NYAKANAZI. Kulikuwa na mgogoro mkubwa wa wananchi wa kudai fidia kwa wananchi waliopisha mradi mkubwa wa umeme kutoka gaita hadi kituo kikubwa cha kupozea umeme cha nyakanazi na hasira ya wanachi ilikuwa juu ya serkali yao hasa taasisi...
  2. USSR

    PreGE2025 Chilewesa: Mradi wa uchimbaji wa visima vya maji utaongeza upatikanaji wa maji Biharamulo

    MRADI WA KUCHIMBA VISIMA KATIKA BAADHI YA MAENEO-BIHARAMULO. Wakati wakazi wa maeneo tofauti tofauti wilayani biharamulo wakisubilia kwa hamu kubwa mradi wa maji wa ziwa victoria bado mbunge wa biharamulo Eng Ezra Chiwelesa anasisitiza na kutilia mkazo uchimbaji wa visima katika baadhi ya...
  3. USSR

    PreGE2025 Jumla ya shilingi bilioni 98 zimeletwa wilaya ya Biharamulo kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo

    JUMLA YA SHILINGI BILIONI 98 ZIMELETWA WILAYA YA BIHARAMULO KUTEKELEZA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA MIAKA 04 YA UONGOZI DKT SAMIA SULUHU HASSAN. Na S.L.T Waziri wa Sheria na katiba Dkt Damas Ndumbaro amesema kuwa kwa Kipindi Cha miaka 04 ya uongozi wa Raisi Samia Wilaya ya...
  4. USSR

    PreGE2025 Mbunge wa biharamulo amehakikishiwa kujengwa miradi wa maegesho ya magari eneo LUSAHUNGA kuinua mapato ya wilaya

    MBUNGE WA BIHARAMULO ATAKA UHARAKA WA UJENZI WA MAEGESHO YA MAGARI KATIKA CENTRE ZA BIHARAMULO, LUSAHUNGA, NYAKAHURA NA BIHARAMULO MJINI (NYAMAHANGA) ILI KUKUZA PATO LA JIMBO. Leo 6.5.2025 bungeni Dodoma mbunge wa biharamulo Eng Ezra John Chiwelesa ameitaka serikali kutoa majibu ya kwanini kuna...
  5. USSR

    PreGE2025 Serikali kujenga ghala kubwa la kuhifadhi tumbaku wilayani Biharamulo

    SERIKALI KUJENGA GHALA LA KUHIFADHI TUMBAKU -KALENGE BIHARAMULO. Bajeti ya wizara ya kilimo inayoendelea katika mjadala bungeni Dodoma inajibu swali na shauku ya muda mrefu ya kujenga ghala la kuhifadhi tumbaku ghafi wilayani biharamulo katika kijiji cha kalenge. Mbunge wa biharamulo Eng Ezra...
  6. USSR

    PreGE2025 Serikali kujenga soko la kimkakati na ghala la kuhifadhi nafaka wilayani Biharamulo ili kuhudumia nchi za maziwa makuu

    VIDEO FUPI : leo tarehe 21/5/2025 Mbunge wa biharamulo amehakikishiwa kujengwa kwa soko la mazao ya chakula katika kata nya LUSAHUNGA wilayani kwetu biharamulo. Kupitia mchango wako bungeni katika bajeti ya wizara ya kilimo mh mbunge wa biharamulo Eng Ezra John Chiwelesa amesema bajeti hiyo...
  7. USSR

    PreGE2025 Biharamulo kupata bwawa kubwa la ujazo wa lita bilioni 13 kwa ajili ya kipimo

    KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO 31,5,2025 SERKALI KUPITIA BAJETI YA WIZARA YA KILIMO IMEMUHAKIKISHIA MBUNGE WA BIHARAMULO ENG EZRA JOHN CHIWELESA KUWA : 1.Ujenzi wa Bwawa la mwiruzi lenye ujazo wa lita bilioni 13 ,litakalo jengwa katika ushoroba wa mto mwiruzi katika kata ya nyanza na rusahunga...
  8. USSR

    PreGE2025 Ujenzi wa barabara za lami kata ya Biharamulo Mjini

    UJENZI WA BARABARA ZA LAMI KATA YA BIHARAMULO MJINI. Kuna kazi ya kasi bado inaendelea kutekelezwa jimboni biharamulo kata ya biharamulo mjini kuakikisha barabara zote za mjini zinajengwa kwa kiwango cha lami tangu mbunge wa biharamulo Eng Ezra Chiwelesa awe mbunge wetu . Barabara hii ni mfano...
  9. USSR

    PreGE2025 Mbunge wa Biharamulo na usimamizi bora wa ujenzi wa shule mpya jimboni

    UJENZI WA MRADI MKUBWA WA SHULE MPYA YA MSINGI KABINDI B ILIYOPO KATA YA KABINDI - BIHARAMULO. Shule hii ni mpya ,haikuwepo kabla hapa kuna juhudi za mbunge wa jimbo la biharamulo Eng Ezra Chiwelesa, serkali ya awamu ya sita ya Mh rais Samia suluhu Hasan na wananchi wa kata ya kbindi . Ujenzi...
  10. Just Pray

    Tanzania na Hungary kushirikiana kujenga mradi wa maji Biharamulo

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmound Thabit Kombo(Mb.) akiambatana na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Mwajuma Waziri, ameongoza ujumbe wa Tanzania kutembelea Mradi wa Kutibu Maji wa wilayani Csepel jijini...
  11. Ojuolegbha

    Tanzania na Hungary kushirikiana kujenga Mradi wa Maji Biharamulo

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmound Thabit Kombo(Mb.) akiambatana na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Mwajuma Waziri, ameongoza ujumbe wa Tanzania kutembelea Mradi wa Kutibu Maji wa wilayani Csepel jijini...
  12. Stephano Mgendanyi

    Zaidi ya TZS Bilioni 70 zatengwa Ujenzi wa mradi wa maji Biharamulo

    Kufatia kuwepo kwa kero ya muda mrefu ya maji katika wilaya ya Biharamulo moani Kagera, serikali imetenga Zaidi ya shilingi Bilioni 70 kwaajili ya kuanza ujenzi wa maji kutok ziwa Victoria. Kauli hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mhandisi Ezra Chiwelesa wakati alipokuwa akiongea...
  13. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Awajulia Hali majeruhi Ajali Biharamulo, Abiria 11 Wapoteza Maisha na Majeruhi 16

    BASHUNGWA AWAJULIA HALI MAJERUHI AJALI BIHARAMULO, ABIRIA 11 WAPOTEZA MAISHA NA MAJERUHI 16 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amefika eneo ilipotokea ajali ya basi la abiria lenye namba za usajili T857 DHW, katika eneo la Kabukome katika Kata ya Nyarubango wilayani Biharamulo...
  14. USSR

    Biharamulo, Kagera: Ajali ya basi la KABCO yaua watu 11 eneo la mlima Simba

    Ni ajali kubwa sana kwa takribani miaka 10 haijawahi kutokea ajali kama hii ambapo watu kadhaa wanadiwa kufa nita update taarifa, baada ya kufika hospitalini Ni basi la kampuni Kabco ambayo hufanya safari zake kati ya kigoma na bukoba Inadaiwa sababu mwendo kasi na dereva kushindwa kulimudu...
  15. A

    DOKEZO Baadhi ya maduka ya bidhaa za chakula Biharamulo yanauza bidhaa zilizoliwa na kukojolewa na panya

    Baadhi ya maduka ya bidhaa za chakula Biharamulo ni machafu sana kiasi kwamba yamekuwa ni makazi ya panya. Wauzaji kwa makusudi pasipo kujali usalama wa walaji wanauza bidhaa zilizoliwa na panya na wanakuwa wakali pindi mteja anapolalamika. Tunaomba mamlaka husika kuhakikisha usafi wa maduka...
  16. K

    Natafuta Shamba la Kufugia Kigoma(Kasulu DC au TC, Uvinza au Kibondo), Karagwe au Biharamulo au Kahama. Kukodi au Kuuziwa Kabisa.

    Habari wanajamvi. Kama mada tajwa hapo juu. Natafuta shamba lenye ukubwa wa kuanzia hekari 20 hadi 100 kwa ajili ya kufugia. Vigezo! 1. Liwe na miti ya asili au vichaka au maotea/chipukizi za miti 2. Lisiwe na mgogoro wa aina yoyote 3. Muuzaji awe tayari kuonyesha nyaraka halali za umiliki wa...
  17. J

    Tuondoleeni utata huu wa taarifa za kifo cha mke wa Askofu wa Anglikana Biharamulo

    Taarifa zinasema kuwa Mke wa Askofu Vitalis Yusuf, wa kanisa la Anglikan Dayosisi ya Biharamulo mkoani Kagera, maziko yake yatafanyika leo Jumamosi nyumbani kwao wilayani Chato mkoani Geita. Maziko hayo yanafuatia, kifo cha mke huyo Monica Zablon mwenye umri wa miaka 45, kilichotokea usiku wa...
  18. USSR

    Tangu uhuru mpaka leo ndio Biharamulo inapata hospitali ya wilaya

    Jitihada za mbunge wa Biharamulo Ezra CHIWELESA amefanikisha ujenzi wa hospitali ya wilaya ambayo ndio imeanza kutoa huduma za awali Biharamulo ni wilaya kongwe zilizoanza tangu ukoloni ziwa kundi moja na Nairobi, Handeni na n.k ila sasa ndio inapata hospitali ya wilaya huku wilaya mpya kama...
  19. B

    Walinzi wa Ranchi na maeneo ya ufugaji ya familia ya JPM huko Chato na Biharamulo waondolewa rasmi. Je, ufugaji utaendelezwa na Mama Janeth?

    Mhe JPM aliwekeza kwenye ufugaji wa ng'ombe nakuanzisha Ranchi yake iliyokuwa inasimamiwa Kwa kiasi kikubwa na Dola, Sasa hivi naambiwa walinzi wa umma waliokuwa wanalinda rasilimali hizi wamerejea serikalini na hivyo familia kubaki na jukumu la kusimamia miradi hii. Je, familia ya Mama Janeth...
  20. K

    Kwakuwa ukakasi ni kuitwa mkoa wa Chato, basi uitwe mkoa wa Biharamulo

    Ndugu wanajamvi kwa kuwa wahaya wote wanapinga mkoa wa Chato kwa vigezo hapana sifa eti wilaya ni mpya basi mie napendekeza uundwe mkoa wa Biharamulo na maeneo yake iwe wilya ya Ngara, Biharamuo, Chato. Je, Wahaya hili watalikubali? Kama watalikataa basi ina maana hoja ya kusema Chato bado...
Back
Top Bottom