benjamin netanyahu

Benjamin Netanyahu (; Hebrew: בִּנְיָמִין נְתַנְיָהוּ‎ ; born 21 October 1949) is an Israeli politician serving as the prime minister of Israel since 2009, having previously served in that role from 1996 to 1999. Netanyahu is also the chairman of the Likud – National Liberal Movement. He is the longest-serving Israeli prime minister in history and the first to be born in Israel after its Declaration of Independence.Born in Tel Aviv to secular Jewish parents, Netanyahu was raised both in Jerusalem, and for a time in Philadelphia in the United States. He returned to Israel upon graduating from high school in 1967 to join the Israel Defense Forces, shortly after the Six-Day War. Netanyahu became a team leader in the Sayeret Matkal special forces unit and took part in many missions, including Operation Gift (1968) and Operation Isotope (1972), during which he was shot in the shoulder. Netanyahu fought on the front lines in the War of Attrition and the Yom Kippur War in 1973, taking part in special forces raids along the Suez Canal and then leading a commando assault deep into Syrian territory. Netanyahu achieved the rank of captain before being honorably discharged. After graduating from the Massachusetts Institute of Technology with a Bachelor of Science (SB) and a Master of Science (SM), Netanyahu became an economic consultant for the Boston Consulting Group. He moved back to Israel in 1978 to found the Yonatan Netanyahu Anti-Terror Institute, named after his brother Yonatan Netanyahu, who died leading Operation Entebbe.
In 1984, Netanyahu was appointed as Permanent Representative of Israel to the United Nations by Prime Minister Yitzhak Shamir, a role he held until 1988. On his return to Israel, he was elected to the Knesset, and in 1993 was elected as the Chairman of Likud. He went on to lead the party to victory at the 1996 election, and was appointed as Israel's youngest-ever Prime Minister. After serving a single term, Netanyahu and Likud were heavily defeated in the 1999 election by Ehud Barak's One Israel party; Netanyahu chose to retire from politics entirely, and entered the private sector. However several years later, after his successor as Likud Chairman, Ariel Sharon, became Prime Minister, Netanyahu was convinced to return to politics, and served as Minister of Foreign Affairs and Minister of Finance. As Finance Minister, Netanyahu initiated major reforms of the Israeli economy that were credited by commentators as having significantly improved Israel's subsequent economic performance. Netanyahu later clashed with Sharon, eventually resigning over disagreements regarding the Gaza disengagement plan.
Netanyahu returned to the leadership of Likud in December 2005 after Sharon stepped down to form a new party, Kadima. Although Likud finished second in the 2009 election to Kadima, Netanyahu was able to form a coalition government with other right-wing parties and was sworn in as Prime Minister for a second time. He went on to lead Likud to victory in the 2013 and 2015 elections. After the April 2019 election resulted in no party being able to form a government, a second election in 2019 took place. In the September 2019 election, the centrist Blue and White alliance, led by Benny Gantz, emerged slightly ahead of Netanyahu's Likud; however, neither Netanyahu nor Gantz was able to form a government. After continued political deadlock, this was resolved when Likud and Blue and White reached a coalition agreement following the 2020 election. Under the terms of the agreement, the premiership would rotate between Netanyahu and Benny Gantz, in which Gantz was scheduled to succeed Netanyahu in November 2021. In December 2020, this coalition collapsed and a new election was held in March 2021. Netanyahu has led Israel’s response to the COVID-19 pandemic and the 2021 Israel–Palestine crisis.
Netanyahu made his closeness to Donald Trump central to his political appeal in Israel from 2016. Since December 2016, Netanyahu has been under investigation for corruption by Israeli police and prosecutors. On 21 November 2019, he was indicted on charges of breach of trust, bribery and fraud. Due to the indictment, Netanyahu is legally required to relinquish all of his ministry posts other than the prime minister position.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Simba akitokea mahali lazima wanyama wengine wakimbie, ndo kilichotokea UN baada ya Waziri Mkuu wa Israel kusimama

    SIMBA ni simba Kama huwezi kushindana naye Bora utimue mbio Mtu mwenye uwezo kushindana naye huna haja ya kumkimbia Asilimia kubwa ya mataifa ya kiarabu Yana historia ya kuchapwa na Israel. Kwa hiyo Kwa aibu imebidi WAKIMBIE Netanyahu God bless Israel
  2. Echolima1

    Hotuba ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu huko UNGA itaonyeshwa Mubashara Gaza!

    Ofisi ya Waziri Mkuu imeiagiza IDF kuweka vipaza sauti kote Gaza ili kurusha moja kwa moja hotuba ya Umoja wa Mataifa ya Waziri Mkuu Netanyahu kwa wakazi wa eneo hilo hapo say 10 jioni ya leo! Channel 12 inaripoti kuwa maafisa wa kijeshi wanadaiwa kuelezea wasiwasi wao, wakionya kuwa hatua...
  3. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ameondoka kuelekea Marekani ambako atalihutubia UN

    Akielekea New york City, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anasema atatumia hotuba ya United Nations General Assembly (UNGA) kuwashutumu viongozi wa dunia wanaoitambua Palestina Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na mkewe Sara wakipiga picha kabla ya kuondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Netanyahu: Tunakwenda Kutimiza ahadi yetu kwamba hakutakuwa na Taifa la Palestina eneo hili ni letu

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, siku ya Alhamisi alisema kuwa "hakutakuwa na taifa la Palestina." Alitoa kauli hiyo wakati wa ziara yake katika makazi ya Maale Adumim yaliyoko katika Ukanda wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu. Netanyahu alisaini rasmi hati ya kuidhinisha ujenzi wa...
  5. The Father of All

    Kwa kinachoendelea Gaza, kuna tofauti kati ya Adolf Hitler na Benjamin Netanyahu?

    Mauaji ya kimbari ya Manazi yananikumbusha haya ya sasa ya Waisraeli wakiongozwa na Hitler wao Benjamin Netanyahu. Je kweli kuna tofauti kati ya Adolf na Benjamin Hitler Netanyahu?
  6. S

    Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wacharuka kuhusu matamshi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuhusu dhana ya “Israel Kuu”

    Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE ilitoa taarifa kwa lugha kali ikilaani kabisa matamshi ya Netanyahu kuhusu “Greater Israel” ambayo yaliwezekana yakimaanisha kueneza eneo la Israel kuzidi mipaka yake iliyothibitishwa kimataifa. UAE ilisema matamshi hayo ni ukiukaji wazi wa sheria za kimataifa na...
  7. Echolima1

    Asante waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa kuirudisha Gaza Israel tena

    🇮🇱 Ofisi ya Waziri Mkuu: Baraza la Mawaziri la Usalama limeidhinisha pendekezo la Waziri Mkuu la kushindwa kwa Hamas. IDF itajiandaa kuchukua udhibiti wa Jiji la Gaza huku ikitoa misaada ya kibinadamu kwa raia walio nje ya maeneo ya mapigano. Baraza la Mawaziri, kwa kura nyingi, lilipitisha...
  8. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyau adai Gaza hakuna njaa, wamekuwa wakiruhusu misaada kipindi chote cha vita

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema hakuna mtu anayekufa kwa njaa Gaza na kwamba Israel haijawahi kuwa na sera ya kuwanyima Wapalestina chakula “Tunaruhusu misaada ya kibinadamu kuingia Gaza wakati wote wa vita la sivyo, kusingekuwepo na Wapalestina Gaza,” alisema Netanyau...
  9. dem boyz

    Netanyahu amekula chakula chenye sumu , kupumzika kwa siku tatu, ofisi yake yasema

    Inaripoti kuwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, mwenye umri wa miaka 75, ameathiriwa na food poisoning (sumu ya chakula) na kupata intestinal inflammation (uvimbe wa utumbo) pamoja na upungufu wa maji mwilini (dehydration). Ameanza kupatiwa matone ya maji moja-for-one (IV fluids) na atapumzika...
  10. 6 Pack

    Hivi Netanyahu ana elimu kweli, mbona anaendesha nchi kama viongozi wa shithole countries?

    Niaje waungwana Mtu ukiisoma na kuijadili hii thread kimihemko, na kiitikadi bila kuzingatia uhalisia wa kilichoandikwa, hakika itakuwa ngumu mno kunielewa. Lakini ukiisoma na kuijadili hii thread kisomi, kiakili na kiuweledi. I'm telling you that itakuwa rahisi mno kwako kuielewa na kufahamu...
  11. Pdidy

    Trump baba wa dunia ya sasa

    Katoa oda kesi ya Netanyahu sitaki kusikia. Hakimu kaweweseka Kahairisha Kesi. Rwanda na Congo wameitwa niwasaidiaje wakajieleza. Akaulizwa Marekani unapata nini wakajieleza. Kaahidi miundo mbinu na ndege kadhaa za kubeba malighafi kwenda wanapotaka. Nasubiria Sudan.
  12. Mlaleo

    Benjamin Netanyahu mwaka 1977, 28 age Young alitabiri haya yanayotokea sasa middle east na yeye ndie mhusika mkuu

    Kijana wa Miaka 28 https://www.youtube.com/watch?v=mdybNvneYRw 50 Years Ago! Young Netanyahu Predicted The Middle East of Today!
  13. Nyani Ngabu

    Benjamin Netanyahu ana historia ya kusema uongo hadharani

    Benjamin Netanyahu amekuwa akizungumzia mambo ya silaha za maangamizi makubwa pamoja na kubadilisha tawala za nchi kwa miaka takriban 30 sasa. Mwaka 2002 akitoa ushuhuda kuhusu silaha za maangamizi za Iraq, alidanganya na kudai kwamba Iraq inazo hizo silaha na kwamba Saddam akiondolewa kutoka...
  14. Mfalme_wa_Nyika

    Nataraji Kupata Mtoto Mwezi huu na hakia nitamwita Benjamini Netanyahu

    Huyu mwamba anastahili kabisa jina lake liendelee kuwa sehemu ya maisha ya Mwanangu ajaye... Benjamini Netanyahu ni kiongozi ambaye Israel sijui itampata lini tena baada yake... Hanaga mbambamba na hacheki na wowote linapokuja suala la kulinda uzayuni na wazayuni.... Kwa heshima namtunuku...
  15. Sigonella Island

    Tetesi: Netanyahu kakimbia Nchi kuokoa kiwiliwili chake

    Waziri mkuu wa Serikali ya magaidi ya Israel amekimbia Taifa lake baada ya Iran kutangaza vita rasmi na kupandisha bendera nyekundu. Gaidi huyo amekimbia huku akindikizwa na fighter mbili za wanamgambo wa kiyahudi. BREAKING: Netanyahu is running away from Israel for now. According to a special...
  16. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Jopo lake wakiangalia Ndege-Vita za Israel zikishusha kipondo kwa Wa-HOUTHI huko Yemen!!

    Waziri Mkuu wa Israel Mwamba Benjamin Netanyahu a.k.a.(BIBI) leo kabla ya SABATO kuanza hapo saa 12 jioni alishuhudia “LIVE” kipondo kilichokuwa kikishushwa kwa nguvu kwa Wahouth huko Yemen 🇾🇪 Inasemekana bandari zote tatu zinazomilikiwa na Wahouthi hao zimeshambuliwa vibaya sana. Hili ni jibu...
  17. Echolima1

    Jeshi la Israel kupanua mashambulizi Gaza, maelfu ya askari wa akiba waitwa

    IDF imewaita makumi kwa maelfu ya askari wa akiba kabla ya upanuzi mkubwa wa mashambulizi yake Gaza. Hatua hiyo ya kijeshi iliyoidhinishwa na Waziri Mkuu Netanyahu, inakuja ikiwa ni sehemu ya mpango mkubwa zaidi wa kuzidisha operesheni huko Gaza kwa lengo la kuishinda Hamas na kuachiliwa huru...
  18. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aibwatukia Qatar

    Baada ya Qatar kuishutumu Israel kwa kufanya mauaji ya halaiki huko Gaza na kuuita Umoja wa Mataifa "mwiba katika mradi wake wa ukoloni," Netanyahu alijibu: "Wakati umefika kwa Qatar kuacha kucheza pande zote mbili na mazungumzo yake mawili na kuamua ikiwa iko upande wa ustaarabu au ikiwa iko...
  19. Echolima1

    Lengo letu kuu ni kuishinda Hamas-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu!!

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ( BIBI ) lengo kuu la operation ya kijeshi inayoendelea huko Gaza ni kuifuta Hamas ili isije kuwa hatari kwa Israel tena. Gaza sasa itakuwa chini ya Milika ya Israel tena alipoulizwa je yuko tayari kurusu Majeshi ya kimataifa kuweko huko Gaza? Alisema...
  20. Echolima1

    Lengo kuu' la vita ni ushindi, sio kurudishwa kwa mateka- Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu

    Netanyahu anasema 'lengo kuu' la vita ni ushindi, sio kurudi kwa mateka Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anahudhuria hafla ya kumbukumbu ya serikali ya wanajeshi wa Israeli waliokufa, katika makaburi ya kijeshi ya Mlima Herzl huko Jerusalem, Aprili 30, 2025. (Marc Israel Sellem/POOL) Waziri Mkuu...
Back
Top Bottom