bei ya jumla

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Nani aniuzie simu kwa bei ya jumla

    Habari zenu wana jukwaa la Biashara. Nasafiri naenda Mbeya. Wilaya ninayokwenda hakuna maduka makubwa ya simu kama Kariakoo, ila watu wanapenda sana hizi smartphone. Sasa natafuta muuzaji wa simu ambae ataniuzia simu kwa bei nafuu (bei ya jumla). Nataka ninunue simu mbili tu kabla sijasafiri...
  2. M

    INAUZWA Nauza viatu vya kike bei ya Jumla

    Habari ndugu. Jipatie viatu vya kike kwa bei ya jumla ya TZS18,000 tu kuanzia pieces 10 chini ya hapo tunauza kwa TZS20,000 tuu. Tunapatikana Ubungo Msewe - Dar es Salaam WhatsApp: Share on WhatsApp Simu: 0759891571 Karibuni sana.
  3. gkasambo

    Wapi wanauza desktop na laptop kwa bei ya jumla?

    Habari za mchana, Ninaomba kwa anayefahamu sehemu duka/ kampuni/ kiwanda ambapo ninaweza pata desktop na laptop kwa bei ya jumla au ya chini zaidi. Ninahitaji destop 300 na laptop 50 kuna mahali zinatakiwa kuwekwa.
  4. M

    INAUZWA Fikiria unapata nguo Kama hizi kwa 5000 tu Bei ya jumla

    Kichwa cha habari kinajieleza, niunganisheni wadau.. nguo kali mno, nicheki kwa 0738664971 tunauza jumla na rejareja. Mfanyabiashara usipate tabu ya kufungiwa usichojua kuna nini ndani, nimekurahisishia nguo Kali kwa bei poa
  5. M

    INAUZWA Nguo mtumba za watoto zinauzwa elfu 3000 tu

    Karibuni mjipatie mtumba mzuri kwa bei ya jumla ya shilingi elfu 3 tu ukichukua nguo kuanzia 20.. Rejareja ni elfu 6 ... Namba kwa mawasiliano zaidi ni 0738664971 Ukurasa wangu wa instagram ni bnl_clothes_shoes_bags
  6. EL ELYON

    Nahitaji LED TV inch 32 kwa bei ya jumla

    wakuu nahitaji piece 5 ya led tv ziwe star x OG, RISING, SOLAR MAX BEI IWE 290,000 - 300,000 KAMA UNAZO NICHECK 0629 945 110
  7. Pierre2017

    Wapi nitanunua vocha za jumla na mimi niuze jumla kwa Dar es Salaam?

    Habari wa JF Nataka kufanya biashara ya kuuza vocha za jumla lakini sijajua nanunua wapi hizo vocha,ukiwauliza wauzaji wa jumla kila mmoja anapiga chenga wengine wanasema hazina faida..mimi naomba kupata taarifa sahihi either kwa anaefanya hii biashara au anaejua taarifa sahihi! Nawasilisha!
  8. Ray of light

    Wapi naweza kupata Pipi na Big-G kwa bei ya jumla

    Habarini wanajukwaa. Nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza pipi na Big-G, je wapi naweza kupata pipi kwa bei ya jumla? Nimetembelea Kariakoo na Manzese ila nimeona bei ni zile za wanaouziwa wafanyabiashara wengine na sio super supplier.
  9. Airmanula

    Chimbo la bidhaa za Mobile Accessories kwa bei ya jumla

    Business as Usual! Msaada wa haraka unahitajika kupata connection kwa hapa bongo Dar wanapouza bidhaa za jumla za simu kama *Screen Protectors *Cover za simu *Power Banks *USB Cables / Charges *Chaja za simu *Memory Cards Aluta kontinua!
Back
Top Bottom