bashungwa

Innocent Lugha Bashungwa (born May 5, 1979) is a Tanzanian Minister of Industry and Trade and a member of the Chama Cha Mapinduzi political party. He was elected MP representing Karagwe in 2015. He was appointed Deputy Minister of Agriculture by President John Magufuli on 10 November 2018. On November 13, 2018, he was sworn in as Deputy Minister.

View More On Wikipedia.org
  1. Sifi Leo

    Bashungwa ni Waziri wa ulinzi hapo kijijini kwake amesaidia vijana wangapi wajiunge na JESHI la POLISI au wapate ajira?

    Niliwai ishi Kijiji kinaitwa itongo wilaya ya muleba kata ya Nshamba miaka ya 95, Kuna mgombeza ubunge sijawai msaau alikuwa anatokea itongo ulipofika wakati wa uchaguzi alitoka Dsm na kurudi kijijini kugombea ubunge Alipofika alinunua ng'ombe 100 sukari mchele na sukari Kampeni zilivyoanza...
  2. MUONAJI

    Huyu ndie Rais wa 2030 anayetafutwa

    Tanzania inatafuta Rais bora zaidi ya wote kwa muhula wa 2030-40, Je vyama vyetu vya Siasa vitatupa wagombea tunaowataka sisi au kinyume chake? ==== 1. Rais ajae lazima awe ni mtu ambae ukiitazama staili yake ya maisha anayoishi ukihusianisha na hali na umasikini wa nchi yetu utakubaliana...
  3. Roving Journalist

    Bashungwa: Serikali itaendelea kulinda maslahi ya Wakulima wa Kahawa, Polisi washughulikie wizi wa kahawa

    Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kusimamia sera nzuri na mifumo madhubuti ya usimamizi na uuzaji wa kahawa, kwa lengo la kuhakikisha wakulima wa zao hilo wanaendelea kunufaika kwa kupata bei nzuri na yenye tija. Kauli hiyo imetolewa na Waziri...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Kasheshe Somanga! Alipoenda kukesha Bashungwa na helkopta kumefurika tena, sasa ni zamu ya Ulega kutafuta kura

    Tarehe 05 Mei 2024 aliyekuwa waziri wa ujenzi Innocent Bashungwa alifika katika eneo la Somanga - Mtama mkoani Lindi ambapo barabara ilikatika kutoka na mvua kubwa zilizobatana na kimbunga Hidaya, na kusimamia ujezi wa muda ili njia ipatikane. Kumbe ilikuwa geresha tu Sasa leo Waziri wa Ujenzi...
  5. Mkalukungone Mwamba

    Bashungwa: Nawakumbusha vijana kuendelea kutumia vizuri kipindi cha mvua kwa ajili ya kilimo

    Huyu baba siku hizi amekuwa anavijitabia fulani ambavyo mimi sivielewi au ndiyo kujipigia kampeni kuelekea 2025 Nawakumbusha vijana kuendelea kutumia vizuri kipindi cha mvua kwa ajili ya kilimo kwani kila zao hivi sasa ni zao la biashara. Bei nzuri na sera nzuri ya zao la kahawa kwa mkoa wa...
  6. Knock life

    Bashungwa hii tabia ya kuigiza unawapenda wananchi itakucost?

    Bashungwa Ana mfumo wake wa kizamani Sana . Anazunguka vijjini na kuwapiga picha watu waliochoka na kukata tamaa ya maisha na kuwarusha mitandaoni Kwanza unafany kosa kubwa Sana na kudhlilisha watu Pili ungekuwa smart ungepambana kuondoa umasikini huko vijijini.
  7. M

    RC Chalamila kaonewa bure ruhusa ya magari binafsi kutumia barabara ya mwendokasi, Mchengerwa angepambana na Bashungwa

    Wakuu, siku ya jana Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa alimtolea povu Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam kuwa hana mamlaka ya kutoa ruhusa ya magari kutumia njia ya mwendokasi. Ilikuwa kama udhalilishaji fulani njia aliyotumia waziri huyo kufikisha ujumbe. Soma karipio la Mchegerwa Mchengerwa...
  8. Roving Journalist

    Mahakama yawezesha magereza 10, usikilizwaji wa mashauri kwa njia ya mtandao

    Mahakama ya Tanzania imekabidhi makasha 10 ya kisasa ya Mahakama Mtandao kwa Jeshi la Magereza, yatakayowezesha usikilizaji wa mashauri kwa njia ya mtandao ili kusaidia utoaji haki kwa wakati, kupunguza msongamano wa wahalifu magerezani pamoja na kupunguza gharama za usafirishaji wa wafungwa na...
  9. Roving Journalist

    Bashungwa amwakilisha Biteko, ufunguzi wa Mkutano wa Bodi ya Kimataifa ya EITI

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, amemwakilisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, katika ufunguzi wa Mkutano wa 62 wa Bodi ya Kimataifa ya Uhamasishaji wa Uwazi na Uwajibikaji katika Usimamizi wa Rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi Asilia (EITI)...
  10. Roving Journalist

    Bashungwa atoa angalizo kwa Maafisa wa Uhamiaji wanaoingiza Wahamiaji Haramu Nchini

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amewataka Maafisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji kutekeleza majukumu yao kwa uzalendo, uadilifu na kujiepusha na vitendo vya rushwa ambavyo vinaweza kupelekea uingiaji wa wahamiaji haramu nchini. Bashungwa ameeleza hayo, leo Machi 04, 2025...
  11. Roving Journalist

    Waziri Bashungwa: Wanaolalamika kuibiwa Simu wanakutana na Nenda rudi nyingi kituo cha Polisi

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema wananchi wamekuwa wakilalamikia ucheleweshaji wa upelelezi wa simu zilizoibiwa, hali inayowafanya wahalifu kuepuka kukamatwa kwa wakati ambapo ameagiza Jeshi la Polisi kushughulikia changamoto hiyo kwa haraka. Bashungwa amesema...
  12. Roving Journalist

    Bashungwa: Wafungwa kuanza kupewa ujuzi gerezani na vyeti vinavyotambuliwa na VETA

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amelitaka Jeshi la Magereza kusimamia kikamilifu mpango wa kuwapa ujuzi na mafunzo ya ufundi stadi Wafungwa wanapokuwa Gerezani na watakaohitimu mafunzo kutunukiwa vyeti vinavyotambuliwa na VETA wakati wanapomaliza vifungo vyao ili kuwajengea...
  13. Carlos The Jackal

    Watu aina ya Mpina, Lissu, Gwajima, Ndugai, Bashiru, Makonda ,Bashungwa, Heche, Biteko Mwabukusi ,wakiongoza Nchi , Kila Raia atakua na Furaha !!.

    Na Nchi itakua na Maendeleo makubwa sana Kwa nyanja zote . Hawa watu unapofatilia Maisha yao , Utendaji wao wa kazi Kwa nafasi zao, Maono yaliyo Ndani ya hotuba zao, Kanuni, Imani ,falsafa na Itikadi zao kulihusu Taifa hili , utagundua kua Tuna watu tunaopaswa kujivunia kua nao kama Taifa. Ila...
  14. chiembe

    PreGE2025 Msako wa kura za Kanda ya Ziwa kuongozwa na Wasira, Dotto Biteko, Musukuma, Bashungwa, na Mabula's. Ni kivumbi!

    Hao ni baadhi tu ya watakaolitimua vumbi kuzisaka kura za CCM kanda ya ziwa. Watasaga sore za viatu kuzisaka kura za mama samia na wagombea wa CCM kupitia a very sophisticated campaign network iliyoanza kusukwa miaka mitatu iliyopita mpaka ngazi ya vitongoji. Huwezi amini kwamba Mzee Wasira...
  15. Roving Journalist

    DAR: Bashungwa aingia mtaani kujionea Polisi ilivyoimarisha usalama mkutano wa nishati

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amepita baadhi ya maeno Jiji la Dar es Salaam kujionea namna Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Usalama wanavyotekeleza majukumu yao wakati Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ukiendelea katika Kituo cha Kimataifa cha...
  16. Roving Journalist

    Miili ya wavuvi 8 yapatikana Ziwa Rukwa, Bashungwa aeleza operesheni ya ukoaji inaendelea

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Kikosi maalum cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa Kushirikiana na Wananchi kinaendelea na Operesheni ya kuwatafuta na kuwaokoa Wavuvi katika Ziwa Rukwa ambapo kufikia leo tarehe 25 Januari 2015 saa tisa mchana, miili ya Wavuvi...
  17. second9

    PreGE2025 Je, Innocent Bashungwa anaandaliwa kuwa Waziri Mkuu?

    Wakuu nimejaribu kutafakari kidogo kwa haraka, pamoja na uwepo wa Mheshimiwa Doto Biteko kama msaidizi wa waziri mkuu wa sasa Mheshimiwa Kassim Majaliwa. Naona bado kuna namna Mheshimiwa Bashungwa anaandaliwa kwa nafasi ya uwaziri mkuu. Nikiangalia ni kama anapitishwa hizi wizara mbalimbali ili...
  18. ngara23

    Waziri Bashungwa umenasa kwenye mtego

    Waziri wa mambo ya ndani, home boy kabisa, nilikutabiria utakuja kuwa Rais wa Tanzania Ulivoteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani ilifanya kazi njema ya kutuliza uhalifu wa utekaji holela na wasiojulikana Leo Uhamiaji wapo wanakutia doa na upo kimya Wanagawa uraia ambao unatuacha gizani sisi...
  19. J

    Wavuvi 540 waokolewa, 10 wanatafutwa ziwa Rukwa kufuatiwa kukumbwa na upepo mkali

    Wavuvi 540 waliokuwaa wanafanya shughuli za Uvuvi katika Ziwa Rukwa wameokolewa na Wavuvi 10 wanaendelea kutafutwa kufuatia upepo mkali uliotokea mnamo tarehe 23 Januari 2025 katika ziwa Rukwa Wilayani Sumbawanga Mkoani Rukwa. Soma Pia: Mvua ilivyoharibu miundombinu ya Barabara Sumbawanga -...
  20. R

    Mnaotaka kumchafua Mhe. Bashungwa kupitia uraia wa wachezaji wa Singida leteni ushahidi wa sahihi yake

    Kuna watu wameanza kuleta hoja yakumtuhumu Mhe. Bashungwa kwamba ametoa uraia kwa wachezaji wa Singida. Nikiangalia aliteuliwa lini na toka ateuliwe anafanya nini naamini bado hana sahihi yake kwenye uraia. Ndio kwanza anajitambulisha kwa taasisi anazoongoza . Naamini kwa umakini alionao...
Back
Top Bottom