Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharik, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ametembelea Miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Wizara yake na taasisi zilizo chini ya Wizara jijini Arusha.
Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mount Kilimanjaro...
Mgeni Rasmi ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo akipokepelewa na viongozi wa Serikali pamoja na uongozi wa Benki ya CRDB katika hafla ya uzinduzi wa kihistoria wa Ofisi ya Uwakilishi ya Dubai, tukio linaloashiria upanuzi wa...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo akifuatilia majadiliano ya Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Afrika na Urusi maarufu kama “Russia-Africa Partnership Forum” unaoendelea jijini Cairo nchini Misri.
Katika mwendelezo wa mazungumzo na wadau mbalimbali muhimu katika kukuza uhusiano baina ya Tanzania na Marekani, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki alikutana kwa mazungumzo na Mhe. Jonathan L. Jackson, Mbunge wa Bunge la Wawakilishi...
afrika
afrika mashariki
akutana
balozibalozimahmoudthabitkombo
bunge
jackson
kamati
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
marekani
mashariki
mazungumzo
mbunge
mjumbe
ndogo
nje
thabitkombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
wawakilishi
waziri
waziri kombo
Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anafanya ziara Rasmi ya kikazi jijini Washington, D.C., nchini Marekani.
Katika ziara yake hiyo, Mhe. Waziri Kombo atakukutana na wadau Mbali mbali muhimu katika kuimarisha uhusiano wa baina ya...
afrika
afrika mashariki
balozibalozimahmoudthabitkombo
kiapo
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
mashariki
nje
thabitkombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
waziri
afrika
afrika mashariki
balozibalozimahmoudthabitkombo
diplomasia
kiuchumi
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
mashariki
nguvu
nje
thabitkombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
wizara
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amewasili jijini Kigali, Rwanda, kushiriki Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na Rwanda.
Mhe. Kombo amepokelewa na Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameipongeza Msumbiji kwa kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru.
Pongezi hizo amezitoa kwenye hafla iliyoandaliwa na Ubalozi wa Msumbiji nchini Tanzania na kufanyika katika Ukumbi wa Polisi uliopo Masaki...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Morocco nchini Tanzania Mhe. Zakaria El Guomiri,
Kikao hicho kimefanyika leo Julai 02, 2025 kwenye ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam, ambapo...
https://www.youtube.com/watch?v=DHqu2q18Qzg
"Kukamilika kwa mapitio ya Sera ya Mambo ya Nje, Toleo la 2024, iliyoambatana na mkakati wa utekelezaji wake, ikiwa ni pamoja na matumizi ya Kiswahili kama nyenzo ya diplomasia."
"Katika Mwaka wa Fedha 2024/2025, Wizara iliidhinishiwa jumla ya...
afrika
afrika mashariki
balozibalozimahmoudthabitkombo
bunge
bunge la 12
dodoma
kikao
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
mashariki
mei
mkutano
mkutano wa 19
nje
tarehe
thabitkombo
ukumbi
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
waziri
Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, atashiriki Africa Day Marathon Tarehe 25 Mei, 2025 itakayofanyika JNICC, Dar es Salaam, Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amehitimisha ziara yake katika Jamhuri ya Kisoshalisti ya Viet Nam.
Katika ziara hiyo ameshiriki Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano wa Taifa hilo na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu...
afrika
afrika mashariki
balozibalozimahmoudthabitkombo
jamhuri
katika
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
mashariki
nje
thabitkombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
waziri
ziara
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amehitimisha ziara yake ya kikazi Umoja wa Ulaya (EU)
Katika ziara hiyo amefanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa umoja huo akiwemo Rais wa Tume ya Ulaya na Mwakilishi wa Juu wa Masuala ya...
Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng aliyefika kujitambulisha katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam baada...
Waziri Kombo akutana na Mwakilishi wa UNFPA nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na kuzungumza na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA), Bw. Mark Schreiner katika ofisi...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe Balozi Mahmoud Thabit Kombo akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa pamoja EAC- SADC unaojadili masuala ya amani nchini DRC.
afrika
afrika mashariki
balozibalozimahmoudthabitkombo
eac
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya nje
mashariki
mkutano
nje
pamoja
thabitkombo
ufunguzi
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
wakati
waziri
Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Czech wameahidi kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa zinazopatikana katika nchi hiyo kwa manufaa ya nchi na wananchi.
Ahadi hiyo wameitoa Januari 18, 2025 walipofanya kikao na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.