Said Salim Awadh Bakhresa (born 1949 in Zanzibar), is a Tanzanian business tycoon.
He is the founder and the chairperson of the Bakhresa Group Of Companies. He is a well-known industrialist in the mainland of Tanzania and the island of Zanzibar. With a humble beginning as a small restaurateur in the seventies, he created the business empire within a span of three decades. At the age of 14, he dropped out of school to become a potato mix salesperson and would later go on to become a successful African businessman. Bakhresa Group; is a conglomerate of various companies and is the largest milling company in East Africa with operations in Tanzania and five other countries.
Kweli Kampuni hii imejipambanua katika kuzalisha vyakula kwa matumizi ya binadamu ulimwenguni.Wakati nikiwa Uholanzi/Amsterdam niliweza kukutana na bidhaa km unga, biscuits nk zenye nembo ya Azam/Bakhresa Tz.Nilifurahi na kupongeza juhudi za mwekezaji mzawa.
Tofauti na nilivyotarajia kuona...
Jina la Saeed Abdullah Bakhresa litaibuka kila wakati Uwanja wa Lusail wenye uwezo wa kuchukua watu 80,000 huko Doha, ambao ni uwanja mkuu, ukitajwa.
Mhandisi Bakhresa, mmoja wa wafanyakazi wengi wasio wazawa wa Qatar walioajiriwa ili kutoa kile kilichoonekana kama kazi isiyowezekana kwa wakati...
Hayati mmoja mwanasiasa akiwa waziri wa fedha aliongea kwa jeuri sana kauli iliyomfuata hata baada ya kifo chake, pale aliposema ndege ya Rais ni lazima itanunuliwa ikibidi hata wote tule majani!. Kauli ile ilileta mijadala mingi miongoni mwa wafuatiliaji wa siasa za nchi hii.
Ilikuwa ni jeuri...
Ligi yetu ya NBC sasa inaonesha kuwa na ushindani mkubwa na malengo ya kufika mbali. Hii inachagizwa sana na jeuri na nguvu ya pesa kutoka kwa matajiri wetu wa Bongo.
Battle ya fedha sasa inaonekana kwenye soka, hii sio tu inaleta raha na ushabiki kindaki ndaki katika soka, pia imezidi kufungua...
Msanii wa Bongo Flava, Harmonize ameandika kupitia mtandao wake wa instagram sifa za Bakhresa na kusema Bakhresa ni mchapa kazi na hachagui biashara yoyote na kumsifia zaidi kwa kusema hana hulka ya kutembea na wafanyakazi.
Msanii huyo aliandika ujumbe mrefu wa kuelezea maana ya wimbo wake...
Serikali ya Tanzania tarehe 04/12/2021 inatarajia kupokea zaidi ya wawekezaji 300 kutoka nchini Misri ambao watawekeza nchini katika sekta za Usafirishaji, ujenzi, uzalishaji wa bidhaa za petroli, kilimo, kemikali, ujenzi na madawa.
Haya yote ni matokeo ya Diplomasia ya Uchumi ya Tanzania chini...
Ndugu Gharib, Mzee Bakhresa na Mo Dewji
Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nanyi
Nichukue fursa hii kukupongezeni kwa jitihada zenu za kuinua michezo, hakika uwekezaji wenu utasaidia kuinua michezo nchini, kutoa ajira kwa vijana wetu wanaoshiriki ligi n. k
Lakini pamoja na hayo, naomba niongee na...
Ifike mahali hawa Forbes wadhibutiwe wawe na vyanzo vya ukweli kumuita mtu Tajiri zaidi Tanzania,Tunapenda Tanzania yenye matajiri kakini sio utajiri wa kusifiana usio na ukweli , Mo anawezaje kumzidi Bakhresa wakati inasemekana mali zake ni share ya familia mean za kurithi?
Bakhresa ana...
MANARA anadai eti bilioni 223 za mkataba wa Azam na TFF zinaweza kupanga elfu kumi kumi zikafika brazil na kurudi
umbali wa kutoka dar es salaam hadi brazil ni kama kilometa 9000 na kurudi ni karibu kilometa 18000
Noti moja ya shilinigi elfu kumi ina urefu wa sentimita 14
unahitaji noti za...
Baada ya Super dupa staa Diamond kuingiza Cadillac escalade nyingine kwa ajili ya wasaidizi wake kwenye msafara ataokuwa akienda kwenye matukio mbalimbali. Mji umesimama kila mtu anasema la kwake wenye roho mbaya wamepata muhaho.
Nawashauri tu wasanii wa kibongo msishindane na Simba huyo...
Kwa jina la Muumba na kwa upendo JMTanzania.
Mwarabu huyu ametuonesha uzalendo na upendo wa dhati kwa Taifa letu adhimu.
WanaMichezo na wanaHabari na wadau wengi watafaidika kwa njia mbalimbali ktk MKATABA na TFF ULIYO WA KIPEKEE hapa Barani Afrika.
Waswahili husema mcheza kwao hutunzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.