"Siku za mwanadamu zinapangwa na Mungu, zikiisha zimeisha, hata kama ungetibiwa na watu milioni moja, zikiisha zimeisha. Siku zako kabla hazijaisha, wakuwinde na vyombo vya ajabu hautapatikana", - Ask. Gwajima.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akizungumza katika Ibada...
Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, leo katika Ibada kanisani kwake ametoa ushuhuda wa binti aliyepigwa risasi Oktoba 29, 2025 na kupona baada ya oparesheni nne.
Askofu Gwajima pamoja na muumini huyo pia wanaeleza alipigwa risasi lakini hakuwa kwenye maandamano bali alikuwa...
Suala la kusema one single church la Ufufuo na Uzima kipindi limefungwa kwamba limeibiwa vitu na fedha vyenye thamani ya fedha za Kitanzania sh. Billioni 2.7 ni uongo mkubwa ambao unapaswa kutoka kinywani mwa shetani baba wa uongo pekee.
Kwanini niseme kuwa huu ni uongo mtakatifu tena haupaswi...
Wakuu
Huyu hapa Gwajima anaelezea bila kificho kuwa kwenye ule mkesha wa mwaka mpya wakati wanakagua baadhi ya waumini walikutwa na bastola
Hao "waumini" walipoulizwa kwanini wana bastola walisema ni kwa ajili ya kulinda
"Siku ya mkesha wa mwaka mpya wakati wanakagua kagua wakakuta kuna...
Anasikika juzi kwenye ibada ya mwaka mpya akisema kuwa kuna watu ameaacha mahala wamewekwa kizuizini
Amesema atataja aseme mapema ili tujue kama watu bado wapo hai ambao tunadhania walishauwwawa.
Please Askofu sema ukweli ulikuwa wapi?
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dkt. Josephat Gwajima, amesema ataendelea kushiriki ibada kanisani hapo kila Jumapili bila woga wowote, akisisitiza kuwa hawezi kuepuka kusimama hadharani kwa sababu ya vitisho au hofu.
Akizungumza katika ibada ya mwaka mpya iliyofanyika usiku wa...
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amesema Kanisa halitayumbishwa wala kujadiliana katika masuala yanayohusu imani yake, akisisitiza kuwa yuko tayari kuisimamia imani hiyo kwa gharama yoyote.
Akizungumza katika ibada ya kufunga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka 2026...
Askofu Gwajima kushiriki ibada kesho Desemba 7, 2025 kanisa la ufufuo na uzima lililopo eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Itakuwa ni ibada ya pili kufanyika tangu kanisa hilo kufunguliwa ambapo Novemba 24, 2025, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, alitoa...
Nimeshanga sana kusikia kuwa Mch Hananja ana mwanae anayesoma Udsm. Alipigwa risasi Mgongoni na ana jeraha kubwa.
Huko nyuma alimtakia
Askofu Gwajima kuwa aache matusi madhabahuni. Kisa tu anakemea utekaji na maovu.
Hapa tunajifunza nini? Tusitetee maovu.
Walahi miye sijui hehee. Gwajima nilipokea shukrani zako miye sina baya wanijua. Walahi usingehama pale wangekukula kichwa.
Leo nimepita mule Tengeru mayii wanahaha. Wapagawa vile vibaya. Kesho tuwe Babati bro. Wajua nafulahi mini. Kesho desemba. Nye nye nye poti wakagua id Kila road. Usitoke...
Kwamba hayupo nchini?.Yupo nchini? Jeshi la Polisi lenye dhana na askari polisi wenye mafunzo ya hali ya juu hawajui Askofu Gwajima yupo wapi?
Kwamba hawana uwezo wa kupata taarifa mtu maarufu kama huyu yupo wapi?
Hadi leo wanamtafuta kwa uchochezi?
Je wataweza kujua vibaka na wavuta bangi...
Askofu popote ulipo naamini uko salama
Sisi Watanzania tunasubiri uje utoe ushauri wako wa mwisho kabla ya kufika Dec 9 kama ulivyo fanya kabla ya tarehe 29 October
Watakao puuzia ushauri wako wasije wakalia badae tunakuomba usimame utimize jukumu lako kabla ya tarehe tajwa .
Kwa wanaowajua vizuri matapeli na wachumia tumbo wachuuzao na kuuza roho yaliyokata tamaa, kufunguliwa kwa duka la Gwajima ni ushahidi tosha kuwa lao ni moja.
Hivyo, sitashangaa serikali ikipiga fedha yetu kulipa fidia ili wagawane nasi tupigwe. Iweje 'makosa' yasamehewe bila adhabu wala...
Ikiwa serikali inaamini kuwa kanisa la askofu Gwajima walikuwa na kosa why walifungulie kanisa hilo?
Hili sio suala la “favor” isipokuwa ni kukandamizwa kwa uhuru wa kuabudu kulikofanywa na waliozuia huduma za kanisa hilo kuendelea wakati ule.
Ukandamizaji ulifanywa na sasa wanarudishiwa pawa...
Salaam!
Mtu huyu wa Mungu, ameonyesha njia Katika kipindi hiki kigumu na Yuko tayari kulipa Gharama.
1.Alipotekwa Roma Mkatoliki, alipaza sauti kukemea.
2. Clouds media walipovamiwa, alitoka kukemea.
3. Alipoonewa Lissu na wananchi waliotekwa kuuwawa na kuumizwa, alitoka mbele kukemea.
Kwa...
Zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, ghafla anaibuka mwanasiasa ambaye pia ni Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima na kutoa msisitizo wa baadhi ya mambo yanayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu.
Katika hotuba yake...
Ame share mhanga wa watekaji:
TAARIFA KWA UMMA.
KUHUSU WAPI TUTAKUTANA KWENYE MAANDAMANO YETU.
Kila mtu atoke nyumbani kwake aende ilipo BARABARA KUU, hapo ndipo tutakapo kutaniana kila mkoa nchi nzima.
Baada ya kukutana BARABARA KUU tutaanza kuelekea MJINI. Kila mkoa upo Mji ambapo zipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.