UTAKAPOKUWA ASKARI; USISAHAU MAMBO HAYA.
Anaandika Robert Heriel.
Na endapo utaamua kuwa Askari, iwe wa Kulinda Amani, au wa kulinda Mali, au kulinda na kusimamia sheria au amri Fulani, iwe kulinda utawala au viongozi.
Tena ukiwa Askari wa upelelezi, au kuongoza misafara ya Magari au vyombo...