Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,813
Mwanajeshi wa JWTZ kutoka shule ya Uongozi TMA Monduli, Muhidin Kimaro amenyofolewa pua baada ya kufumaniwa na mke wa askari mwenzake nyumbani kwake ambapo anaishi na wanawe watatu baada ya kutengana na mke wake kwa muda, Neema Kimaro.
Kimaro anadaiwa kuwa na tabia kujihusisha na uhusiano na mke wa mtumishi mwenzake pale mumewe anapokuwa kazini usiku.
Jamaa wamepeana adhabu kama wako vitani Congo, mambo ya kujiua kama Mwanza akaona hapana 🤣🤣 Sijui mwenzie atanusaje maadui sasa.
Kimaro anadaiwa kuwa na tabia kujihusisha na uhusiano na mke wa mtumishi mwenzake pale mumewe anapokuwa kazini usiku.
Jamaa wamepeana adhabu kama wako vitani Congo, mambo ya kujiua kama Mwanza akaona hapana 🤣🤣 Sijui mwenzie atanusaje maadui sasa.