application

  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Mobile Application Developer at ICAP

    Job no: 496269 Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Dar es Salam Categories: Strategic Information/Surveillance/Monitoring & Evaluation ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City...
  2. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Android Application Development.

    Wakuu natumaini mu wazima wa afya, karibu hapa tujadiliane kidogo kuhusiana na maswala ya Android application development. Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakihitaji kuingia kuna Android Development lakini wanakosa pa kuanzia sasa hapa nazani patawafaa sana. Natambua kuna nyuzi kadhaa zimewahi...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania CVAC Client Service Assistant (Canada Visa Application Centre) at IOM

    POST DESCRIPTION I. POSITION INFORMATION SVN IOM/DAR/009/2022 Position title CVAC Client Service Assistant (Canada Visa Application Centre) Position grade G4 Duty station Dar es Salaam Durations Six (6) Months Special Short-Term with possibility of extension Position number N/A...
  4. Candela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba muongozo wa kutengeneza desktop application yenye hivi

    Habari wadau, nahitaji muongozo wa kutengeneza desktop application yenye sifa zifuatazo. Iwe networked . Aina ya database nayoweza kutumia. Na vitu vingine muhimu katika flow nzima. Nafanya project ya kuhitimu. Nawasilisha na asanteni.
  5. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Kazi ya Muda - Computer application

    Habari za mwaka mpya waungwana. Natafuta msichana wa kufundisha watoto basic computer application. Hakuna masharti mengi ni haya tu. 1. Uwe Dar es salaam 2. Ujue computer applications (Basic) 3. Uwe na uwezo kumuelekeza mtoto Kazi ni ya muda tu ila panapo majaaliwa inaweza kuwa ya kudumu...
  6. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiswahili in microsoft office application

    Habari wadau Hivi nifanye nini ili niweze kuandika kisahili vzr katika Microsoft Office application km ms word nakadhalika ukidownloadi Kiswahili languange pack na ukiiweka humo bado maneno mengi hayamo je kuna extension yoyote inaweza kusaidia katika hili Natanguliza shukrani za dhati...
  7. X

    JamiiForums Tanzania HESLB Four Days For 2982 Applicants To Complete Loan Application Procedures

    HESLB Four Days For 2982 Applicants To Complete Loan Application Procedures The Higher Education Student Loans Board (HESLB) has given four days from October 4-7, this year to 2,982 students who applied for loans in 2021/2022 to make adjustments to complete their application procedures. For...
  8. ngotho

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa juu ya verification of application

    Wakuu habarini za saa hizi. Husika na mada tajwa hapo juu... Mimi ni miongoni mwa walioomba mkopo, lakini kuna swala linanitaniza kidogo.. Juzi siku ya Jumatatu, nilipokuwa natembelea GOOGLE, kitu cha kwanza nilichokutana nacho kilikuwa kinasema hivi.. (YOUR APPLICATION FORM WAS VERIFIED AND...
  9. KijanaHuru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kazi ambazo zimeshindikana ama ulishindwa kuzifanya

    Habari ya mchana, Kwa wana it wote lakini kwa upande wakutengeneza mambo haya Mobile Application Desktop Application Website Kama umewahi kutana na changamoto ya kazi kushindikana kwa vitu hivyo au unayo kazi imeshindikana au umetafuta mtu akufanyie kazi ikashindikana. Basi weka komenti yako...
  10. Mwakitombeo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada application kudownlod movie kwenye iphone

    Mimi sio mzoefu kwenye simu za iphone naitaji download movie msaada wa aplication nzuri au website
  11. Kasomi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kujua Application zinazotumia Data na kuweka ukomo

    Kujua aplikesheni zinazotumia zaidi data. Nenda sehemu ya settings(Mipangilio) Kisha bonyeza kitufe cha Network & internet/connections(mtandao na miunganisho) Kisha bonyeza Data Usage(Matumizi ya data) kisha Mobile data usage(matumizi ya data ya simu). Kudhibiti matumizi. Nenda kwenye...
  12. 0

    JamiiForums Tanzania Msaada: Napotuma maombi ya chuo namba ya uthibitisho (Verification number) inakataa

    Habari zenu , wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma. Kwa o level nilikuwa nna c tatu na...
  13. raoka kubanda

    JamiiForums Tanzania Naomba kusaidiwa kwa anayejua tovuti inayotumika kwenye maombi ya ualimu

    Naomba kusaidiwa kwa anayejua tovuti inayotumika kwenye maombi ya ualimu tafadhali.
  14. AsteryBoy

    JamiiForums Tanzania SOFTWARE Classic And International Adroind And iOS Mobile Application

    ...deleted
  15. Mt Paulo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Application ya Kutafsiri sauti ya lugha za kwenye Video

    Habari ya mda huu wana JF Kama kichwa kinavyojieleza wadau Hivi hakuna application inayoweza kutafsiri sauti ya kwenye video au audio ya kwenye video
  16. Petro Frank Kinyonge

    JamiiForums Tanzania DENTAL THERAPY APPLICATION

    hello people,,naombeni msaada wa kupata link ya application kwenye chuo cha mbeya school of dental therapist au hata official website yao maana mtandaoni siwaelewi elewi
  17. Last sentinel

    JamiiForums Tanzania Basic Computer Application

    Hellow wanajamii?Habari,Ninatafuta kazi ya kufundisha soma la Basic Computer Application katika vitu vifuatavyo. 1.Introduction to Computer 2.Microsoft Word 3.Microsoft Excel 4.Microsoft Publisher 5.Microsoft Powerpoint 6.Microsoft Excel 7.Internet and email Pia nafundisha na basics of...
  18. SAFCo_Academy

    JamiiForums Tanzania Inventory mgt spreadsheet application

    Karibu sana ujipatie mfumo huu madhubuti kwa bei nafuu kabisa.. Tunza biashara yako na epuka kuibiwa!! Ni mfumo mrahisi sana kuutumia.. Ni Mfumo wa Microsoft Excel uliotengenezwa kwa kutumia Visual Basic for Applications (VBA)
  19. Deejay nasmile

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa kuhusu Shazam application

    Yaani kwa kifupi kichwa kinaniuma hapa Kuhusu hii app..inafanyaje kazi Inakuaje mpaka nyimbo karibia nusu ya zote..zinajulikana katika hii app. Je, ni msanii anaweka? Je, ni bloggers Au Ni hatua gani zinatumika wimbo upatikane kwenye hii app Msaada please.
  20. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vitabu vya software application development

    Habari za mda huu wadau, ningependa kujua ni wapi naweza kununua au kupata vitabu vya programming language kama javascript na java kwa Dar es Salaam, Nimejaribu kutafuta maduka mbalimbali ya vitabu bila mafanikio. Yeyote anayeweza kunisaidia tafadhali
Back
Top Bottom