Naomba kufahamishwa juu ya verification of application

ngotho

Senior Member
Jun 18, 2021
142
110
Wakuu habarini za saa hizi.
Husika na mada tajwa hapo juu... Mimi ni miongoni mwa walioomba mkopo, lakini kuna swala linanitaniza kidogo..
Juzi siku ya Jumatatu, nilipokuwa natembelea GOOGLE, kitu cha kwanza nilichokutana nacho kilikuwa kinasema hivi.. (YOUR APPLICATION FORM WAS VERIFIED AND FOUND TO BE COMPLETE, PLEASE WAIT FOR THE FURTHER PROCESSES)..
Ilinibidi niitembelee account yangu ya HESLB..
Niliitembelea ila nilikuta form inasema hivi.

Screenshot_20210923-124040.png

View attachment 1949430

Lakini cha kushangaza, kila nimuulizaye, wengine wanasema form zao tayari, wengine wanasema THE FORM IS IN THE VERIFICATION STAGE.
Swali langu,
MBONA MIMI NAAMBIWA ETI (APPLICATION VERIFICATION HAS NOT YET STARTED) wakati wengine their forms have been verified and some are in the process??

Naomba anaejua anijuze, au form yangu ndo hivo tena..
Kila siku toka Jumatatu mpaka leo alhamisi nikiangalia naikuta tu hivyo hivyo..
 
Feedback ya kwanza ni kwamba your form was verified wamekupatia wenye tovuti ya bodi ya mikopo na sio GOOGLE

Mifumo mingi inayopokea taarifa za mteja ina utaratibu wa kutoa mrejesho pale taarifa zinapokuwa zimetumwa na makosa au zinapokuwa sahihi.

Fomu yako au taarifa zako ulizotuma naweza sema zimefika sehemu zilipo tumwa ila bado watu wa bodi hawajazishughulikia ili wakupe mrejesho.

Kwahyo endelea kuangalia kwenye account yako mara kwa mara kuona ni feedback gani watukupatia

Sema jambo ambalo inabidi ulieleze vizuri ni hili hapa, kwamba umetembelea google mara ya kwanza alafu ukawa notified kwamba your application has been verified? Hapana man hili haliwezekani. Labda ulifanya maombi kwanza kabla ya kupata hii notification au nadanganya?
 
Feedback ya kwanza ni kwamba your form was verified wamekupatia wenye tovuti ya bodi ya mikopo na sio GOOGLE

Mifumo mingi inayopokea taarifa za mteja ina utaratibu wa kutoa mrejesho pale taarifa zinapokuwa zimetumwa na makosa au zinapokuwa sahihi.

Fomu yako au taarifa zako ulizotuma naweza sema zimefika sehemu zilipo tumwa ila bado watu wa bodi hawajazishughulikia ili wakupe mrejesho.

Kwahyo endelea kuangalia kwenye account yako mara kwa mara kuona ni feedback gani watukupatia

Sema jambo ambalo inabidi ulieleze vizuri ni hili hapa, kwamba umetembelea google mara ya kwanza alafu ukawa notified kwamba your application has been verified? Hapana man hili haliwezekani. Labda ulifanya maombi kwanza kabla ya kupata hii notification au nadanganya?
Hapana mkuu.. siufanye ombi lolote juu ya hiyo notification.
NILIIKUTA KWENYE TOVUTI YAO NDIYO lakini nilipoitembelea account yangu nikakuta (APPLICATION VERIFICATION HAS MOT STARTED..) kama form inavyosema hapo juu.
Sasa najiuliza..
Hii process of verification haijaanza kwangu tu?? Maana wengine form zao zimasa tofauti na ya kwangu..

HELP PLIZ..
NAPUMULIA GESI WAKUU..
NISAIDIENI PLEASE.
 
Hapana mkuu.. siufanya ombi lolote juu ya hiyo notification.
NILIIKUTA KWENYE TOVUTI YAO NDIYO lakini nilipoitembelea account yangu nikakuta (APPLICATION VERIFICATION HAS MOT STARTED..) kama form inavosema hapo juu.
Sasa najiuliza..
Hii process of verification haijaanza kwamygu tu?? Maana wengine form zao zimasa tofauti na ya kwangu..

HELP PLIZ..
NAPUMULIA GESI WAKUU..
NISAIDIENI PLEASE.
Ondoa shaka ndugu yangu, maombi yako bado hayajaanza kufanyiwa uhakiki hii hutokana na uchelewaji wa kutuma maombi.

Muda si mrefu, utapata ujumbe mzuri usikate tamaa, yajayo yanafurahisha.
 
Hapana mkuu.. siufanya ombi lolote juu ya hiyo notification.
NILIIKUTA KWENYE TOVUTI YAO NDIYO lakini nilipoitembelea account yangu nikakuta (APPLICATION VERIFICATION HAS MOT STARTED..) kama form inavosema hapo juu.
Sasa najiuliza..
Hii process of verification haijaanza kwamygu tu?? Maana wengine form zao zimasa tofauti na ya kwangu..

HELP PLIZ..
NAPUMULIA GESI WAKUU..
NISAIDIENI PLEASE.
Dah pole! Sema naomba unijibu maswali haya kwa usahihi na utulivu.
1.Umefanya maombi ya mkopo kupitia tovuti ya bodi ya mikopo?
2.Kama jibu ni ndio? je uliomba mwenyewe au kuna mtu alikusaidia kufanya maombi?
3.Ulitumia kifaa kipi na browser ulitumia ipi?(sio swali la muhimu sana)
4.Mwisho kabisa ulihakikisha kwamba taarifa zako zimejazwa sahihi na ukazituma au uliishia njiani katika mchakato wa kufanya maombi?(Jibu swali hili kama utakuwa umefanya maombi)
NOTE: Nimeuliza haya maswali kwa maana nimeshindwa kuelewa ujumbe wako.Na kuhusu validation ya fomu ni kwamba fomu inakuwa validated mara moja inapotumwa na unapewa mrejesho au inawezekana unapokuwa ukijaza fomu vile vile validation process ikawa inafanyika
 
Ondoa shakha ndugu yangu, maombi yako bado hayajaanza kufanyiwa huhakiki hii utokana na uchelewaji wa kutuma maombi.

Muda si mrefu, utapata ujumbe mzuri usikate tamaa, yajayo yanafurahisha.
Sawa mkuu ila mimi mambo ya mkopo niliyafanya wiki moja baada ya dirisha kufunguliwa.. yaani nashangaa hadi ambao wametuma forms zao mwezi wa tisa huu tayari form yao imeshakuwa verified..
 
Dah pole! Sema naomba unijibu maswali haya kwa usahihi na utulivu.
1.Umefanya maombi ya mkopo kupitia tovuti ya bodi ya mikopo?
2.Kama jibu ni ndio? je uliomba mwenyewe au kuna mtu alikusaidia kufanya maombi?
3.Ulitumia kifaa kipi na browser ulitumia ipi?(sio swali la muhimu sana)
4.Mwisho kabisa ulihakikisha kwamba taarifa zako zimejazwa sahihi na ukazituma au uliishia njiani katika mchakato wa kufanya maombi?(Jibu swali hili kama utakuwa umefanya maombi)
NOTE: Nimeuliza haya maswali kwa maana nimeshindwa kuelewa ujumbe wako.Na kuhusu validation ya fomu ni kwamba fomu inakuwa validated mara moja inapotumwa na unapewa mrejesho au inawezekana unapokuwa ukijaza fomu vile vile validation process ikawa inafanyikakij
Mkuu.. niliomba mkopo kupitia ONLINE LOAN APPLICATION SYSTEMS (OLAMS),
Maombi nilifanya stationery.. kuhusu yule aliyenifanyia maombi, ana experience ya miaka mingi tu, yaan kama miaka minne hivi. Na hata tulioomba nao wameshapata marejesho chanya...( Your form is in the process, Your form has been verified) ila yangu bado kabisa...
Mkuu taarifa zangu nilizihakiki mimi mwenyewe, tena nilichukua kama lisaa limoja kuhakiki taarifa zangu.
 
Mkuu.. niliomba mkopo kupitia ONLINE LOAN APPLICATION SYSTEMS (OLAMS),
Maombi niliifanya stationery.. kuhusu yule aliyenifanyia maombi, ana experience ya miaka mingi tu, yaan kama miaka minne hivi. Na hata tulioomba nao wameshapata marejesho chanya...( Your form is in the process, Your form has been verified) ila yangu bado kabisa...
Mkuu taarifa zangu nilizihakiki mimi mwenyewe, tena nilichukua kama lisaa limoja kuhakiki taarifa zangu.
Kama ni hivyo basi usiwe na shaka mda ukifika watukapatia feedback.Jambo la muhimu ni kuwa unaingia kwenye account yako mara kwa mara. Pili, ukiwa unapata mda tembelea tovuti ya bodi ya mikopo kuona kama kuna matangazo mapya.

Mwisho kabisa kuhusu feedback ni kwamba kuna ambazo zinatengenezwa na mfumo. Kwamfano, ukituma maombi alafu taarifa zikawa sio sahihi system itakupa feedback au yakiwa yamepokelewa vile vile system itakupa feedback
Aina nyingine ni ile ambayo utapatiwa baada ya nyaraka zako kuwa zimekaguliwa na tayari kupatiwa mkopo au maelezo mengine.Nadhani aina hii inaweza kutumia mda kidogo

NOTE:Ukiona mda unaenda na hakuna mabadiliko jaribu kuwasiliana na watu wa bodi ya mikopo watakupatia maelezo mazuri.Mawasiliano yao yanapatikana katika tovuti yao au katika ukurasa ulipo fanyia maombi(fanya hivi endapo utaona mambo hayako sawa)

Kila la kheri
 
Kama ni hivyo basi usiwe na shaka mda ukifika watukapatia feedback.Jambo la muhimu ni kuwa unaingia kwenye account yako mara kwa mara. Pili, ukiwa unapata mda tembelea tovuti ya bodi ya mikopo kuona kama kuna matangazo mapya.

Mwisho kabisa kuhusu feedback ni kwamba kuna ambazo zinatengenezwa na mfumo. Kwamfano, ukituma maombi alafu taarifa zikawa sio sahihi system itakupa feedback au yakiwa yamepokelewa vile vile system itakupa feedback
Aina nyingine ni ile ambayo utapatiwa baada ya nyaraka zako kuwa zimekaguliwa na tayari kupatiwa mkopo au maelezo mengine.Nadhani aina hii inaweza kutumia mda kidogo

NOTE:Ukiona mda unaenda na hakuna mabadiliko jaribu kuwasiliana na watu wa bodi ya mikopo watakupatia maelezo mazuri.Mawasiliano yao yanapatikana katika tovuti yao au katika ukurasa ulipo fanyia maombi(fanya hivi endapo utaona mambo hayako sawa)

Kila la kheri
Daah!! Asante mkuu!!
Kwani mkopo unaanza kutolewa lini kwa wanafunzi???
 
Daah!! Asante mkuu!!
Kwani mkopo unaanza kutolewa lini kwa wanafunzi???
Asee siku nyingi nimeshughulika na haya mambo lakini nadhani watakupatia baada ya kuwa post zenu za vyuo zimetoka.

Jambo la muhimu sana kuwa unatembelea tovuti ya bodi ya mikopo ama jaribu kuwa unauliza kwa wenzako ambao mmefanya maombi, fuatilia taarifa za habari nadhani siku ikifika utafahamu. Kama sijakosea sana nadhani mda unaweza kuwa ndo sasa au badae kidogo
 
Back
Top Bottom