Chalamila: LATRA isikilize maoni ya wamiliki wa magari

Chalamila: LATRA isikilize maoni ya wamiliki wa magari

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
419
Reaction score
553
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wameielekeza Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA) kusikiliza maoni ya wamiliki wa magari baada ya kupanda kwa gharama za mafuta.
Chanzo: Swahili Times
 
Chalamila asifikiri kila mtu kasoma RUCO...mtanisamehe mliosoma hapo ..
Issue ni kwamba huo mzigo ulioanza kuuzwa tarehe moja na bei mpya umeletwa kabla ya vita.... hii ni kulingana na taarifa iliyotolewa kabla...sasa ikawaje ukabatizwa bei mpya?....ndio maana wadau wanapiga kelele kwamba kuna wizi
 
Kwani si walishasikilizwa? au anataka bei zipandishwe kwa kauli hii, aache uhuni, mafuta yaliyonunuliwa miezi minne kabla ya vita yako wapi?
 
Back
Top Bottom