akili

Akili (Persian: اكيلي‎, also Romanized as Āḵīlī) is a village in Emamzadeh Seyyed Mahmud Rural District, Sardasht District, Dezful County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its existence was noted, but its population was not reported.

View More On Wikipedia.org
  1. kikoozi

    Naomba kujua maeneo mazuri kwaajili ya chakula na kupumzika ndani ya Morogoro

    Habari za uzima ndugu zangu, ndio tunaumaliza mwaka huu kwa kishindo, baada ya kujichanga ndani ya mwaka huu, nimetenga bajeti ya Tsh. laki 5 kwaajili ya kubadilisha maandhari na kuatafakari mambo mapya kwa mwaka ujao wa 2024. Baada ya kutafuakari kwa kina nimeona niende Morogoro (wanasema mji...
  2. Morning_star

    Jamani hivi nini kazi ya akili?

    Kuna kazi nyingine sidhani kama wahusika zilizomo zimo! Ukishuka kwenye usafiri wa umma mbezi mwisho na ikatokea ukawa na kabegi, jinsi ambavyo unadakwa na wapiga debe sio poa! (si mwanaume si mwanamke)! Daaah! Wengine wakiona gari la mbagara wanaanza kugombania abiria wakiwa ndani ya basi...
  3. A

    Kubet ni kazi ya watu wenye akili kama huna akili nenda kijijini ukalime viazi mbatata huko

    Watu wengi wanaliwa sana maana wanataka kutajirika kwa pesa ndogo, yani MTU anaweka 500/ odds 300 hapo probability ya kushinda ni ndogo sana tajiri, Weka team zako chache tia mzigo wa kutosha, utanishukuru badae Niwakumbushe kwa mfano match ya Singida Fountain Gate na KMC kwenye ukurasa wa...
  4. Kiplayer

    Binadamu wote hatuna akili timamu

    Tunazidiana tu ukubwa wa changamoto hiyo. Uthibitisho tunaupata hapahapa.
  5. Termux

    Mpenzi nimekuwa Kaka, kuweni nao kwa akili

    Habari JF, Juzi nmekutana na kitu kizito kwa mchepuko. Baada ya kuniomba a download whatsapp GB katika simu yangu na kuanza kuchati baadae alipotoka akaniachia simu yangu bila kufuta. Ikaingia txt na nikasema nifungue nikakutana na kitu kizito. UPDATES CHAT : Tunaendelea: Baada ya...
  6. matunduizi

    Biblia ndio kitabu pekee chenye uwezo wa kukupa afya ya akili?

    Asilimia kubwa ya watu duniani ni wagonjwa kiakili kwa kujua au kutokujua. Bahati mbaya watu hawa ambao wengi ni Maprofessionals, Maprof, Wasanii, wachungaji feki (gospelpreneurs), Wanasiasa na wafanya maamuzi ya dunia ndio wanaoaminiwa sana na watu. Hii imepelekea mlipuko mkubwa wa janga la...
  7. Tajiri Tanzanite

    Mwanaume mwenye akili afungi ndoa na mwenye akili zaidi haoi!

    Hapo vip? Huu ni utafiti niliofanya muda mrefu. Nimegundua wanaume wenye akili hawafungi ndoa na wanawake, mfano Ronado, Micky Tyson, Alon Musk huyu nitajiri wa kwanza Duniani,R.kelly,50 cent n.k Na wenye akili zaidi hawahoi wala hawataki kufanya mapenzi, mfano; Galie Galie, Sir Issack Newton...
  8. F

    Tumjadili huyu Mstaafu hapa wakuu tuone ana akili timamu au sio mzima

    Katika kazi zangu za saidia fundi kuna hiki kisanga bwana mdogo alikua analalamika kuhusu mzazi wake wa kike. Mama yake kastaafu alikua mtumishi serikalini halmashauri moja Arusha. Miaka yote ya utumishi hakuwahi kujenga alipopata hela ya kustaafu kiinua gongo ndiyo akajenga nyumba yake ya...
  9. Samia atosha tukutane2030

    Ukweli mchungu: Kama unaishi Tanzania halafu wewe ni maskini huna akili timamu

    Please uzi huu naomba ukae jukwaani angalau kwa mwaka mmoja. Vijana wanalia njaa huku wamezungukwa na vyakula, waamke wale. Hili ndilo hitimisho langu na ndio ukweli wenyewe. Najua maskini watanijia juu wakitamani kuniua kwa kuwaambia ukweli. Lengo sio kuwaumiza mioyo, lengo ni kuwaamsha...
  10. PharaohMtakatifu

    Nabii Malisa aelezea jinsi alivyomfufua mama yake mzazi mara 3

    MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA "Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki halafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa Hata hivyo mama...
  11. Ricky Blair

    Je, Mahusiano gani mtu anatakiwa kuwa na familia yake?

    Je, Mahusiano gani mtu anatakiwa kuwa na familia yake? Kwa kutumia akili timamu mahusiano yote yanatakiwa kuwa kama ya mfanyabiashara na kanuni za biashara kwa maana yatushirikiane na watu kwa kubadilishanamaadili tofauti yanayofanana natunayoyapenda kama ubunifu, michezo au muziki na falsafa...
  12. sky soldier

    Afrika ni uthibitisho kwamba Maendeleo yanategemea akili kuzidi uchawi, pamoja na ndumba zote hizi bado tupo nyuma sana

    Hasa kwa nchi zilizopo chini ya jangwa la sahara tulikojaa waafrika wenye skin tone nyeusi. Tena kuna makabila makubwa karibu kila familia ina mganga wake, hata hapa kwetu Tz lipo. Mambo mengi tunaamini ushirikina ndio suluhisho, mtu akiumwa anahisi karogwa, kwenye biashara mtu anaweka mikaa...
  13. kavulata

    Kuvaa jezi yenye mabango mawili yaleyale ni dalili ya afya ya akili kwa mvaaji.

    Uvaaji wa maVazi ni ishara ya jambo fulani kwa mvaaji kama vile huzuni, furaha, umoja, aina ya kazi ufanyayo na ujumbe unaotaka kuwasilisha kwa jamii. Jezi mpya ya Simba Ina mabango 2 kifuani yanayoitangaza bidhaa ya moxtra, hii inamaanisha nini kwa atakaekuwa ameivaa hii jezi, imekosewa...
  14. UMUGHAKA

    Hivi ni Kukosa akili au ndo Utandawazi?

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane! Hivi sasa kumeibuka wimbi la Vijana na wanaume kuvaa Chupi ambazo wao wanaziita "VINJUNGA" Hivi Vinjunga inapaswa uelewe mara zote zinakuwa hazizidiani sana na Boxer,yaani wewe fikiria mtu anavaa Kinjunga na anatembea bila wasiwasi mjini kote huko! Ni...
  15. Uwesutanzania

    Akili tu hauna ila mapenzi ni kitu oa sana

    Elewa hivyo Ni akili tu hauna ila mapenzi wala hayaumizi, Yenyewe wala hayanaga tabu. Ni kitu flani hivi kama unakuwa na akili yako timamu wala hayawezi kukusumbua. Habari zenu wana jamvi, Kati ya vitu vinavyosumbua sana dunia kwa sasa ni mapenzi na pesa. Pesa ni kweli kitu...
  16. M

    Kiukweli hiki wanachoita eti ni tatizo la afya ya akili hakipo. Ni dhana tu au failure of thinking deeply

    Siku hizi Kuna dhana imeibuka karibu kila Kona eti tatizo la afya ya akili. Ki ukweli hakipo kwa sababu zofuatazo. 1. Mtua amemaliza chuo kikuu na alikuwa na malengo mengi ya maisha kama kupata kazi ya uhakika lakini miaka nenda Rudi kazi inakoseka. Sasa huyu mtu akianza kuchanganyikiwa na...
  17. snipa

    Kampuni ya Microsoft yamuajili Sam Altman Kuongeza Juhudi katika Akili Bandia

    Baada ya CEO wa open AI Sam Altman kufukuzwa kazi katika Kampuni ya Open AI Microsoft imempa ajira mpya bosi huyo wa zaman wa Kampuni ya Open AI ili Kuongeza Juhudi katika Akili Bandia Chanzo CNN
  18. UMUGHAKA

    Hili Taifa Vijana wangetumia ⅓ ya Akili zao leo hii tungekuwa Taifa kubwa kiuchumi zaidi ya Taifa la Marekani!

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane! Ukiona viongozi wa Serikali wana wang'ang'ania wazee kwenye nafasi nyeti tambua ya kwamba vijana watakuwa na matatizo ya kiakili,Vijana wengi waliopewa nafasi ili waonyeshe uwezo wao wamekuwa wapumbavu kuliko hata wazee waliochokaa!. Hili Taifa la...
  19. Mhafidhina07

    Kuna uhusiano gani kati ya akili na maswali?

    Mfano mzuri darasani ukiuliza swali simple kila mtu atakuona kilaza na mjinga ila ukiuliza swali gumu utaonekana mwamba! Kwani kuna uhusiano gani kwenye hivi vitu?
  20. Miss Zomboko

    Siku ya Afya ya Akili Duniani

    Siku ya Afya ya Akili Duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 10 Oktoba. Lengo la siku hii ni kuongeza uelewa kuhusu masuala ya afya ya akili, kupunguza unyanyapaa, na kusaidia kutoa msaada kwa watu wenye matatizo ya afya ya akili. Inasisitiza umuhimu wa kujali afya ya akili kama sehemu muhimu...
Back
Top Bottom