airport

An airport is an aerodrome with extended facilities, mostly for commercial air transport. Airports often have facilities to park and maintain aircraft, and a control tower. An airport consists of a landing area, which comprises an aerially accessible open space including at least one operationally active surface such as a runway for a plane to take off and to land or a helipad, and often includes adjacent utility buildings such as control towers, hangars and terminals. Larger airports may have airport aprons, taxiway bridges, air traffic control centres, passenger facilities such as restaurants and lounges, and emergency services. In some countries, the US in particular, airports also typically have one or more fixed-base operators, serving general aviation.
An airport solely serving helicopters is called a heliport. An airport for use by seaplanes and amphibious aircraft is called a seaplane base. Such a base typically includes a stretch of open water for takeoffs and landings, and seaplane docks for tying-up.
An international airport has additional facilities for customs and passport control as well as incorporating all the aforementioned elements. Such airports rank among the most complex and largest of all built typologies, with 15 of the top 50 buildings by floor area being airport terminals.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Congolese-French rapper, Gims (Gandhi Djuna) arrested upon his arrival at Paris-Charles de Gaulle airport

    According to information from Africa Intelligence, Gandhi Djuna, the singer's real name, was arrested while passing through customs at Paris-Charles de Gaulle airport on 25 March. He is implicated in an investigation being led by the French authorities involving a network of financial...
  2. Traxtion

    Drones za Iran zavamia Dubai International Airport

    Leo, March 1 2026 Video inaonyesha uharibifu ndani ya jengo la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai baada ya shambulio la droni kutoka Iran kuwajeruhi watu wanne. Ofisi ya mawasiliano ya Dubai Airports imesema timu za dharura zilikuwa activated mara moja kwa kushirikiana na...
  3. Waziri Mayai Wa Maradhi

    Kenya To Build A New Airport

    Kenya is planning to build a new Ksh 264Billion airport in Nairobi, with construction anticipated to begin in mid-2026 to boost trade and tourism. President William Ruto announced this effort, which comprises a new terminal and runway, with the goal of expanding capacity to 63 aircraft movements...
  4. O

    Airport Workers Call Off Strike After Two-Day Disruptions of JKIA, Other Airports

    Airport workers have ended their two-day strike, bringing an end to the agony of hundreds of travellers who have had flight delays and cancellations since Monday. The decision followed negotiations with the Ministry of Transport, Davis Chirchir, the Ministry of Labour, the Kenya Airports...
  5. Think2

    Airport ya Arusha ni local sana kuliko uhalisia wa jiji lenyewe

    Sis watanzania na Serikali yetu hii yaani jiji la Arusha linakuwa na uwanja wa ndege wa ajabu ajabu namna ile mapato ya utalii yanaenda wapi? Kwanini serikali isiupanue uwanja na kuwa wakimataifa zaidi. Just imagine AFCON2027 itakuaje kama kiwanja cha ndege ndo kile ukitoa hako kajengo...
  6. Fbn

    Airport ya Chato fanyeni chuo cha urubani .Naeleza tena

    Mimi roho ina niuma sana jinsi ukipita chato unaona kabisa alafu NIT wanataka wakajirundike Airport ya dar na hapo hapo wawe na chuo kikubwa. kwa nini msichukue hapo.😔
  7. T

    Kwanini Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mwanza ulisitishwa?

    Nian̈ze kwa kuonyesha masikitiko yangu ya dhati kuhusu kusuasua kwa mradi wa uwanja wa ndege wa Mwanza, kulikoni? Hivi itawezekana kweli huu uwanja kuanza kutumika mwaka huu. Sisi wananchi wa kanda ya ziwa tunaomba majibu na ufafanuzi kabla ya oktoba. Mimi ni mwana CCM ninapata shida sana...
  8. figganigga

    KERO Kuanzia airport Mbeya mpaka Songwe njia imefunga

    Kuanzia airport mbeya mpaka songwe njia imefunga Tunaotumia barabara hiyo tuwe wapole 13|12|2025 sababu ya foleni ni ajali ya lori hii hapa 👇
  9. appoh

    Sitosahau nilivyoumbuka airport

    Kwa kweli sitosahau siku hii nilivyoumbuka julias nyerere international airport HIi siku kuna watu walinitazama kama gaid wengine kama punda mbeba ngada Maana nilifika vizur had getin picha linaanza kinaitajika kitambulisho chochote niweze kuingia sikua nacho nikarudisha mara nikaambiwa niwahi...
  10. stakehigh

    Kituo kipya cha abiria katika Uwanja wa Ndege wa Tabora kimekamilika kwa asilimia 98

    Kituo kipya cha abiria katika Uwanja wa Ndege wa Tabora kimekamilika kwa asilimia 98 na kimekusudiwa kuanza kufanya kazi, ikiwa ni maendeleo muhimu katika miundombinu ya usafirishaji wa mkoa. Waziri wa Usafirishaji Prof. Makame Mbarawa alikagua na kutembelea kituo hicho, akionyesha kuridhishwa...
  11. mwehu ndama

    Askari waliovalia kombati za JWTZ waonekana airport Entebbe

    Page ya Instagram ya wananchiforum imeripoti kuonekana kwa Askari jeshi , waliovalia kombati za JWTZ katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe , Uganda.
  12. mwehu ndama

    Hapo Airport pananipa mashaka, Maadui wanatoroka

    Ukiingia kwenye website ya flightradar, kulionekana ndege yetu , mali ya wananchi (air Tanzania) imeruka mapema asubuhi, lakini hivi sasa Kuna nyingine iko scheduled kuruka saa nane mchana.. MAADUI WANATOROKA kupitia airport, yawezekana jeshi limewaruhusu watoroke!!.. AIRPORT PASALIMIWE
  13. Samia atosha tukutane2030

    Nyerere Road (Barabara ya mjini -Airport ) usiku huu imechangamka. Gari heavy za polisi zinafanya movement isiyo kawaida

    Haya wazee wa CC timu mtueleze kuna nini leo. Wazee wa CCM mikataba ya Kimataifa imewashinda na hii convoy ya Nyerere road iwashinde? Kunani leo? Maana hizi gari za heavy duty mara nyingi tunaziona moja moja tu lakini leo nne tano zimeongozana.
  14. Yoda

    Kwa nini watu huwa wanatakiwa kuvua viatu kwenye scanners za ukaguzi Airport?

    Kwa watu wanaofahamu masuala ya usalama, Kwa nini watu hutakiwa kuvua viatu kwenye scanners za viwanja vya ndege wakati wa ukaguzi wa kuingia ndani ?
  15. and 998 others

    Kigoma Airport yang'ara duniani

    Uwanja wa Ndege Kigoma umetajwa kama Uwanja Bora kabisa duniani kwa miundombinu Rafiki kwa watu wenye mahitaji Maalum. KIGOMA HATUNA DENI
  16. K

    Process ni zipi ili kusajili gari ya biashara pale airport (JKNIA)?

    Process ni zipi ili kusajili gari ya biashara pale airport (JKNIA)?
  17. P J O

    KERO Airpor Terminal 2 kunatoa harufu. Serikali ishughulikie

    Kuna siku nilikutana na jamaa mmoja mfanyabiashara anasafiri sana nje, anasema alikutana na mzungu siku Moja akamwambia Tanzania pananuka. Yeye anasema aliona kama Yuko offended lakini alipata nafasi kufikiria na Kwa experience ya safari zake alikiri ni kweli. Anyways, KIla mwezi hua natembelea...
  18. B

    Madereva bodaboda wa mtandaoni walia kuzuiwa kuingia airport ya Dar es salaam

    Maafisa usafiri almaarufu madereva wa bodaboda mtandaoni walia kuwa uwanja wa Kimataifa wa Ndege jijini Dar es Salaam una eneo kubwa hivyo nao waruhusiwe kuingia. https://m.youtube.com/watch?v=3H3igt7-owI Bodaboda wasema kama teksi maalum zinaruhusiwa kuingia, kwanini wao bodaboda wabaguliwe...
  19. The Palm Beach

    KTN News: Martha Karua aeleza kwa undani sababu za kuzuiliwa kuingia Tanzania akiwa Airport na kisha kuwa "deported" kurudi Kenya

    https://youtu.be/5HU2fES7Es0?si=ZkHkhXfQQh61TLt3 Mahojiano yamefanyika Kwa lugha ya Kiingereza.. Kwa ufupi sana Martha Karua anasema: • Tulitoka Kenya na wenzangu kwenda DSM Tanzania ili kufuatilia kesi ya Tundu Lissu... • Tulipofika Airport DSM, tulikuwa detained hapo hapo Airport. Hatukuwa...
  20. H

    Kama Ilivyo, Hakuna Uhuru Usio na Mipaka, Watawala Pia Wajue Hakuna Mamlaka Yasiyo Na Mipaka. Kilichofanyika Airport, ni Ushenzi

    Watawala, pamoja na jeshi la polisi, siku zote wamekuwa wakipenda kutoa kauli kuwa: 1. Tii sheria bila shuruti. 2. Hakuna uhuru usio na mipaka Jambo la kujiuliza, hawa wanaotoa hizi kauli ambazo ni sahihi, wao wenyewe wapo mstari wa mbele katika kuzitekeleza ili kuweka mfano mzuri kwa...
Back
Top Bottom