Wakati dunia inapokabiliwa na changamoto za kuongezeka kwa hatua za upande mmoja na kujilinda kibiashara, Maonyesho ya 8 ya Uagizaji Bidhaa ya Kimataifa ya China CIIE yamefunguliwa tarehe 5 kama ilivyopangwa huko Shanghai. Likiwa jukwaa muhimu la kukuza uhusiano wa kiuchumi na kibiashara kati ya...
Ukimya wa kushangaza umeikumba Afrika kufuatia uchaguzi wenye utata uliomrejesha Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania, baada ya kutangazwa mshindi kwa karibu asilimia 98 ya kura.
Kwa kawaida, ushindi mkubwa kama huu huambatana na salamu nyingi za pongezi kutoka kwa viongozi wa mataifa...
TAARIFA YA AWALI KUHUSU UCHAGUZI MKUU WA TAREHE 29 OKTOBA 2025 KATIKA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Leo, tarehe 31 Oktoba 2025 - Sambamba na dhamira yake ya kukuza chaguzi za kuaminika, amani, huru, na haki kupitia uangalizi wa kikanda usio na upendeleo na uchambuzi kote Afrika Mashariki na...
afrikaafrika mashariki
amri
huduma
huduma za intaneti
intaneti
kurejesha
kutotoka nje
mashariki
mtandao
nje
serikali
serikali ya tanzania
tanzania
uchaguzi
waangalizi
kuna scenario 3 endapo protest haitafanikiwa
1.Mauaji ya polisi kushika kasi
2.Mauaji ya viongozi wa chini wa chama tawala wenye viti wa mtaa na wajumbe
3.Matukio ya kigaidi kuihujumu serikali
Kwenye Scenerio ya 1&2, kawaida human nature ya binadamu, akishindwa ku-attack wale wanaoonekana ni...
Mfuko wa Maendeleo wa China na Afrika (CAD-Fund) ulianzishwa kwenye juni mwaka 2007, kwa lengo la kuitikia mahitaji ya ukosefu na fedha na uwekezaji kwenye miradi ya maendeleo katika nchi za Afrika. Katika muda wa miaka 18 tangu kuanzishwa kwake, mfuko huo umetatua changamoto nyingi za kifedha...
Wakuu nimekutana na hiki kipande cha video kilichoambatanishwa na ujumbe kuwa
"Hi Ndiyo Ile Tulisema Bala La Africa litajigawa, naona dalili zimeanza, tuliosoma Civics hii kitu tunaijua kitambo"
Cameroon
Yaani kwa mujibu wa wananchi waliofuatiilia wizi wa kura, waliojiandikisha kupiga kura serikali wameweka wapiga kura hewa na picha moja inayoonekana ya mpiga kura ni ya Mo Salah 😀 jamani kweli?
Seriously?
Africa
Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake umefanyika wiki hii mjini Beijing kufuatia wito wa rais Xi Jinping wa China, na kuweka hatua mpya muhimu katika historia ya maendeleo ya wanawake.
Miaka 30 iliyopita, Mkutano wa Nne wa Dunia wa Wanawake wa Umoja wa Mataifa pia ulifanyika Beijing, ambapo Azimio...
Nchi nyingi za Afrika zimekuwa zikikabiliwa na changamoto kubwa za huduma za afya, ikiwa ni pamoja na uhaba mkubwa wa wataalamu na ukosefu wa miundombinu. Licha ya msaada mkubwa wa kimataifa, juhudi za Timu za Madaktari wa China katika kushughulikia masuala ya afya barani Afrika si jambo la...
Thomas Sankara ni fupi lakini yenye nguvu, akijulikana kama "Che Guevara wa Afrika." Alikuwa rais wa Burkina Faso (hapo awali iliitwa Upper Volta) kuanzia mwaka 1983 hadi 1987.
Alikumbukwa kwa harakati zake za kupinga ubeberu, kuunga mkono uhuru wa Afrika, na kwa kuanzisha mabadiliko makubwa ya...
Huwezi ukataka kushusha thamani ya mtu mwingine alafu tukakukalia kimya eti kwasababu ya cheo chako, hilo haliwezi kutokea. Na tutakuthibitishia kuwa haliwezi kutokea.
Nchi yetu imejengwa kwenye misingi ya kuheshimu mtu bila kujali kabila lake au dini yake, ila leo mnataka kuleta mgawanyiko...
Ukiwasikia na kuwasiliza kwa makini, watawala wanavyowahadaa na kuwadanganya watawaliwa unashangaa na kujiuliza. Je tuna uongozi au uongo?
Nafikiri na kuwaza kimya kimya baba yenu nyote.
Akili Mnemba (Artificial Intelligence au AI) hutumia kompyuta kufanya kazi ambazo kwa kawaida zingehitaji akili ya binadamu. Siku hizi AI inatumika katika maisha ya kila siku, mfano wasaidizi wa benki wa mtandaoni, roboti za kiafya zinazojibu maswali, magari yanayojiendesha yenyewe, hata...
Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 yanayotarajiwa kufanyika nchini Morocco kuanzia tarehe 21 Desemba 2025 hadi 18 Januari 2026, yamefungua rasmi milango ya volunteering program. Takribani watu 4,000 wanahitajika kushiriki katika maandalizi na uendeshaji wa mashindano haya...
Naamini hilo bila shaka Mtwara ndiyo ilipaswa kuwa makao makuu ya nchi hii na business center kwa nchi hii ila tu uroho,ubinafsi na chuki ya viongozi wa nchii hii kutokana na ukanda wao tu hivi kitu gani ambacho kwenye nchii hii Mtwara hakuna madini mtwara yapo,eneo la Bahari lenye kina kirefu...
Chaguzi 2025 Barani Afrika: Orodha
Hizi ndizo chaguzi zijazo kwa muundo wa orodha.
Januari 2025
12 Januari 2025: Comoro – Bunge la Muungano
Februari 2025
2 Februari 2025: Togo – Seneti [imeahirishwa]
Februari 2025: Togo – Rais
Machi 2025
5 Juni 2025: Burundi – Bunge la Taifa
Agosti...
Afrika inaamka sasa hizo kanuni za mihula miwili mbona zilikua kabla ya Chargpt!! Wananchi wa Malawi wameona Chikwera hawafai na katika uchaguI na wa haki sanduku la kura limeamua kuwa term yake moja madarakani inatosha.
Ni wakati wa kurudisha thamani ya kura na muamuzi Mkuu wa nani...
Kila Mwafrika, akidhamiria, anaweza kuwa milionea au bilionea. Mimi nakataa dhana kwamba Waafrika tumelaaniwa. Kama ni laana, kwanini mabilionea hawa wa Afrika hiyo laana haijawaathiri?
Hawa hapa baadhi tu ya mabilionea Waafrika na mali zao (net worth in billions of dollars):
1. Aliko Dangote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.