Tofauti na "Ngozi nyeusi" wengi tunavyoamini au kuaminishwa, Hakuna mataifa yenye waarabu yalioyo barani africa hupenda kutambuliwa kama waafrika.
Haya mataifa hutumia uafrika tu pale kwenye maslahi Yao Fulani Fulani nyeti, Lakini ukweli wanajisikia KINYAA kujitambukisha ni Waafrika.
Mafanikio...