Najiuliza kama tusingetawalia kimabavu Africa nila ukoloni tungekuwa wapi leo hii, je teknolkjia ingetupita ? au elimu ingekaa kando nasi?
Napata jibu kuwa bila Africa hamna nchi yoyote ambayo ingesonga mbele, kwamba wote wanategemea mali asili na malighafi zetu wate wanaiba teknolojia yetu na...
Hello guys naomba msaada wa kimawazo katika course hizi mbili interms of area of specialization, job opportunities, vyuo vinavyotoa hizi course na ada (tuition fees).
Hi Guys! Poleni kwa majukumu ya siku, kwa taasisi au yeyote anae itaji waalimu (with outstanding performance and competent in) Physics, Biology, Chemistry and Geography we are competent enough to teach O-LEVEL to A-LEVEL as well as Diploma level.
Mawasiliano +255767936477. We are available 24/7
Dunia haiko kama unavyoiona, Kuna agenda ya siri sana, na wahanga wakubwa watu, weusi, lazima uamke ili uione picha kubwa...ukifanya hivyo, utajikuta uko vitani mtu mweusi, karibu tuko hapa maaskari wenzio kukufungua macho yako....uamke kutoka msukuleni. Hapa tunakufunulia mambo yaonekanayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.