ACT wazalendo bado hamjachelewa jitoeni kwenye uchuguzi kwa upande wa Bara.
Hamna chochote mnatakachopata kwenye uchaguzi huu, mbele ya hii CCM maslahi.
Mtapigwa kila pembe hadi mchakae.
Tunajua muhasisi wenu Zitto anawapelekesha kwenye chama chenu, lakini kwa hali inavyokwenda ni vyema...