Wakuu,
Diwani mteule wa Chama cha ACT Wazalendo, Juma Mzee Shaban, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kigoma pamoja na wenzake kumi, wakikabiliwa na kesi ya ujambazi wa kutumia silaha, kinyume na kifungu cha 287 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16, Marejeo ya 2023).
Kwa mujibu wa hati ya...