act wazalendo

Alliance for Change and Transparency (ACT) (Swahili: Chama cha Wazalendo, lit. 'Party of Patriots') is a political party in Tanzania. It received its permanent registration in May 2014.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Waziri Mkuu Kivuli, KC (ACT Wazalendo) wanaongoza Uchambuzi wa Bajeti Kuu ya Serikali 2025-2026

    https://www.youtube.com/live/CSYHcygl-bk UTANGULIZI Juni 12, 2025 Serikali iliwasilisha Bungeni Bajeti yake ya mwaka 2025/2026. Hii ni Bajeti ya Tano kusomwa tangu Rais aingie madarakani na Waziri wa Fedha Mheshimiwa Mwigulu Nchemba. Matarajio yetu ilikuwa kuwa sera za bajeti za mwaka huu...
  2. R

    PreGE2025 Wanachama 2567 wa CUF wamejiunga na ACT wazalendo kumfuata Maftaha Nachuma Mbunge mstaafu wa Mtwara Mjini

    Katibu Mkuu wa ACTwazalendo Ado Shaibuado amesema kuwa jumla ya wanachama wapya 2567 wamesajiliwa kwenye mfumo wa kusajili wanachama wa "ACT Kiganjani" tangu Mbunge Mstaafu wa Mtwara Mjini Ndugu Maftaha Nachuma awasiliane na uongozi wa Chama kwa ajili ya kutangaza kujiunga. Ado Shaibu...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Polisi wafika Ofisi za ACT Wazalendo kumkamata Janeth Rithe kwa agizo la ZCO

    Shangwe Ayo, Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma wa ACT Wazalendo na Waziri Kivuli wa Utumishi wa Umma na Utawala Bora, kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), ametangaza kuwa Polisi wamevamia ofisi za chama hicho na kumkamata Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa, Janeth...
  4. BLACK MOVEMENT

    Daraja la Magufuli ni moja ya White Elephant Project kubwa sana katika nchi hii. Daraja litakuwa la kupigia picha na kurekodi Movie

    Hakuna Volume ya magari ya mizigo kwenye Barabara ya Geita Mwanza, na nature ya uchumi wa Tanzania Volume zinatoka Bandarini Dar kuelekea Mikoani na kutoka Mikoani kuelelekea Dar, Sasa mkoa wa Geita una Volume ya mizigo? ya kupitiapale kwenda Dar? hakuna zaidi ya dhahabu labda tusafirishe...
  5. R

    PreGE2025 Makamu Mwenyekiti wa CUF Maftah Nachuma akihama chama na kujiunga ACT Wazalendo

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini na Makamu Mwenyekiti wa chama cha CUF, Maftaha Nachuma amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT Wazalendo Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi...
  6. Just Pray

    Emmanuel Ntobi ateuliwa Naibu Waziri kivuli wa habari ACT Wazalendo

    Kada wa ACT Wazalendo, Emmanuel Ntobi ameteuliwa kuwa Naibu Msemaji wa Sekta ya Habari, Mawasiliano na TEHAMA kwenye Baraza Kivuli la ACT Wazalendo. Uteuzi huo umefanywa leo Juni 17, 2025 na Kiongozi wa Chama Dorothy Semu. TAARIFA KWA UMMA Kiongozi wa Chama, Ndugu Dorothy Manka Semu leo Juni...
  7. DuaZaMama

    Peter Madeleka ateuliwa Waziri kivuli wa katiba na sheria

    Mwanasheria na Mwanaharakati mashuhuri nchini Wakili Peter Madeleka ametuliwa kuwa Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria katika Baraza Kivuli la Mawaziri la ACT Wazalendo. Uteuzi huo umefanywa leo tarehe 17 Juni na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Dorothy Semu.
  8. R

    PreGE2025 Wakili Peter Madeleka: ACT ikiingia Madarakani, Tutahakikisha kila Askari anamiliki Ghorofa na Land Cruiser

    Wakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser
  9. W

    PreGE2025 Ado Shaibu akiri anawaogopa CCM na vyombo vya dola watawaibia kura zao

    Wakati akijibu alipoulizwa na mtumiaji mmoja wa X kuhusu operesheni yao ya #lindakura kwamba wanaogopa nani ataiiba alijibu; "CCM na vyombo vya dola! Oktoba"
  10. W

    PreGE2025 Zitto atoa shule kwa lugha nyepesi kuhusu operesheni yao kwa ambao hamkuelewa

    Zitto anazidi kutoa shule huko X kwa wananchi wanaohoji ni kwa vipi watafanikiwa na operereshin yao ya #lindaKura "Kwa lugha nyepesi: tutalinda kura kwenye kituo cha kupigia kura kwa kupiga kura, kusimamia ikihesabiwa na matokeo kubandikwa. hakuna kura bandia itaingia kituoni hakuna wakala wa...
  11. W

    PreGE2025 Sativa awashukia ACT-Wazalendo na kampeni yao ya 'Linda kura'

    Sativa amewakalia kooni ACT wazalendo 😂. Kupitia ukurasa wake wa X anaandika "Kanuni zinasema ukipiga kura NENDA nyumbani. Haisemi ukae mita 200. Kwahiyo ACT WAZALENDO watalinda kura kutokea nyumbani.🫵🏾😂 KM ADO SHAIBU ebu toa shule kwa vijana wako. Hawakuwepo Dodoma wakati una mwaga wino...
  12. W

    PreGE2025 Zitto: Wizi wa kura ni uhuni

    Zitto kabwe kupitia ukurasa wake wa X alipokuwa akimjibu Sativa ameandika kuwa "Kanuni imehalalisha wizi wa kura? Wizi wa kura ni uhuni. Mtu anayefanya uhuni na hatendi kwa mujibu wa sheria hushughuliki naye kinyonge na kwa mujibu wa sheria. Oktoba #LindaKura Tunayo njia. #MuhuniHasusiwi"
  13. Q

    PreGE2025 ACT na Operation LINDA KURA wakati umesaini 'Ukishapiga Kura Nenda Nyumbani Kalale'

    Kwa mujibu wa kanuni za maadili ya uchaguzi ambazo ACT Wazalendo wamesaini na kuridhia ni kuwa, ukishapiga kura rudi nyumbani kasubiri matokeo, na hata wakala wako haruhusiwi kuingia na simu kukujulisha kinachoendelea hata kama mabox ya kura feki yanaingizwa, sasa utalindaje kura ukiwa chumbani...
  14. Papaa Mobimba

    PreGE2025 Dorothy Semu: Tukisusia uchaguzi tutakuwa tunaimarisha hujuma dhidi ya demokrasia. ACT Wazalendo tutaikabili CCM itakavyokuja

    Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Bi Dorothy Semu akizungumza katika mkutano wa hadhara Temeke ameendelea kusisitiza kuwa chama chao kitashiriki uchaguzi ili kuing'oa CCM Madarakati. Amesema ''Tumeona na tumejifunza tunaposusia uchaguzi, tunaendelea kuimarisha hujuma dhidi ya demokrasia, CCIM...
  15. Roving Journalist

    Viongozi wa ACT Wazalendo wanazungumza, Sheikh Ponda yupo jukwaani,leo Juni 14, 2025

    https://www.youtube.com/live/5wOiet9d56M
  16. M

    PreGE2025 CHADEMA, ACT Wazalendo wamtaka Luhaga Mpina jimbo la Kisesa

    Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameendelea na mikutano ya hadhara jimboni humo, akihutubia wananchi wa Kijiji cha Mwabusalu, Juni 13, 2025. Katika mkutano huo, wanachama na Viongozi wa vyama vya upinzani, akiwemo Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Kisesa, Tekla James, na mwanachama wa...
  17. R

    PreGE2025 CHAUMMA yasepa na kijiji Kigoma Kusini, nyomi lake lawashtua CHADEMA, ACT na CCM

    Wakuu Ni muendelezo wa C4C ya CHAUMMA na muitikio umekua mkubwa Pengine sera zao za ubwabwa zinavuta wananchi uchaguzi wa October 2025 ==== Mapokezi ya Mwenyekiti wa CHAUMMA Taifa Mh. Wakili Msomi Hashim Rungwe kwenye eneo la Sunuka, Jimbo la Kigoma Kusini ambapo ameambatana na Makamu Bara...
  18. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Lushona Mathia achukua fomu ya ubunge ACT WAZALENDO Jimbo la Chato Kusini

    Uongozi wa chama cha ACT WAZALENDO Jimbo la Chato Kusini umemkabidhi Fomu ya Ubunge Lushona Mathias mkazi na Mzaliwa wa wilaya ya Chato ili kwenda kupeperusha Bendera ya chama hicho huku akiahidi kwenda kutatua changamoto za wakulima , wafugaji pamoja wafanyabiashara wa Jimbo la hilo. Kupata...
  19. Waufukweni

    PreGE2025 Aliyekuwa Mwenezi wa NCCR Mageuzi, Elisante Ngoma ajiunga rasmi na ACT Wazalendo

    Katibu Mwenezi wa NCCR Mageuzi, Elisante Ngoma ametangaza kuhamia Chama cha ACT- Wazalendo huku akitaja sababu ni chama chake kupoteza dira katika kupambana na chama tawala, Chama cha Mapinduzi (CCM). Ngoma amekuwa miongoni mwa vigogo waliohamia kwenye chama hicho hivi karibuni, akitanguliwa na...
  20. BLACK MOVEMENT

    Shehe Ponda yuko ACT Wazalendo kwa mission Maalumu hasa kipindi hiki, na hio mission kaianza jana.

    Shehe ponda pale Act Wazalendo kapelekwa kwa kazi maalumu ya ku convice watu wa imani washiriki uchaguzi, na hio kazi kaianza jana kupitia tamko la shura ya Maimam na ataendelea nayo kwa muda mrefu sana. Na kuanzia Jana na kuendlea tegemea Shehe Ponda kuwa na ukosoaji soft soft kwa Watawala...
Back
Top Bottom