Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,406
So sad ila naamini marubani watafanya kila juhudi ili waweze kutua kwa dharura eneo watakapopata mawasiliano. Sijui kuhusu sheria za anga kimataifa inapotokea dharura kama hii, wataalam wa aviation tusaidieni ufafanuzi.
mara nyingi huwa ni janga
Itakuwa,sinu zimeisha betri
Sinu ndo kifaa gani hicho???
Ndivyo ulivyoandika, hata mi nimeona hivyo!Nani kaandika sinu? Hujui kusoma kumbe soma vizuri dogo kabla huja comment
Nani kaandika sinu? Hujui kusoma kumbe soma vizuri dogo kabla huja comment
Kigogo!! Muogope Mungu wako
Ndivyo ulivyoandika, hata mi nimeona hivyo!