Ndugu zangu. Kwanza Mungu awabariki. Kuna ndugu yangu ameanza mahusiano na binti mwanasheria miezi kadhaa iliyopita. Kuna tetesi kwamba hawa viumbe huwa ni wakorofi na huwa hawataki kushindwa. Kuna mtu anayeweza kuthibitisha hili? Na tabia gani nyingine wanazo? Jamaa yangu anataka kujua.
Ndugu zangu. Kwanza Mungu awabariki. Kuna ndugu yangu ameanza mahusiano na binti mwanasheria miezi kadhaa iliyopita. Kuna tetesi kwamba hawa viumbe huwa ni wakorofi na huwa hawataki kushindwa. Kuna mtu anayeweza kuthibitisha hili? Na tabia gani nyingine wanazo? Jamaa yangu anataka kujua.
Nimekuwa nikisoma mara kwa mara katika taarifa za habari kuhusu Wizara ya Fedha. kinachonishangaza utakuta wameandika Mwigulu Nchemba ndiye naibu, ama wanaandika Adam Malima. Sasa naomba kufahamishwa yupi ndiye Naibu waziri rasmi? Ama Inaruhusiwa kuwa na manaibu wawili? mnaojua hili naombeni...
Habari wandugu. nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana kuhusu huu utitiri wa makampuni ya ulinzi tanzania, kila kukicha linaanzishwa jingine. baada ya hii issue ya Red brigade, nikaona niilete hii mada tuijadili. Itakuwaje pale mtu atakapoamua kuanzisha kampuni zaidi ya moja ama mbili za ulinzi...
Ingekuwa ni nchi zenye kuamini Katika Demokrasia na haki. basi waziri wa Ulinzi angekuwa ameshajiuzulu kutokana na uzembe katika kifo cha malaika huyu huko Tarime. Lakini kwa vile nchi yetu imejaa wababaishaji wasiopenda maamuzi magumu, tusitegemee haki kutendeka.
Hamjambo?
Wengi wenu nadhani mtakuwa mmeiona mara kwa mara orodha ya ahadi kede kede alizowahi kutoa mheshimiwa Jakaya kikwete katika kampeni zake za kuingia Ikulu kwa ngwe ya pili. Ahadi nyingi hazijatekelezwa, mpaka inafikia kipindi watu wanakuna vichwa na kujiuliza kwamba , hapa Mh, Kikwete...
Habari wanajamvi. natafuta wimbo unaoitwa Kibera acha chuki, umeimbwa na kassongo Mpinda kama sikosei. kama kuna mtu anajua tafadhali auweke humu ama aniambie wapi nitaweza kuupata. asanteni sana.
You read that right. These female condoms are designed to be worn by women who are at high-risk of being assaulted. And any man who assaults a woman wearing this will never assault anyone again.
CHADEMA wana oganaizesheni ya mafunzo ambayo mkurugenzi wake ni Benson Kigaila. nachotaka kujua je haya ni mafunzo ya darasani ama mafunzo ya namna gani hasa?. ni hilo tu linaloniumiza kichwa. wanachadema naomba mnifahamishe.
Asanteni .
Wasalaam!
Hapa nilipo ninaandaa hadithi inayomhusu mwandishi wa habari za kichunguzi ( Investigative Journalist ). Binafsi sina uelewa wowote kuhusu uandishi wa habari , bali nina mapenzi na kuandika hadithi.
Mambo ninayotaka kujua ni haya :
1. Ni ipi miiko ya uandishi na ufuatiliaji wa habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.