Habari wandugu,
Eti wapi naweza pata refregeration container hapa Tanzania? Kwa ajili ya kufreez samaki au kutengeneza ice.
Kwa mwenye information nijuze tafadhali.
Wakuu salama? kwa anaejua namna ya kuflush vodafone moderm hii IMEI: 3565117032175237, S/N: 320892712528.
Naomba anisaidie. Voda maeneo yangu inasumbua sana hai connect kabisa.
Inaonyesha wazi wewe UKIMWI huuogopi, lakini kwa kuwa unaogopa mimba kiasi hicho basi zingatia kutumia kinga. Ndo maana inaitwa kinga,! kinga unachokiogopa.
Wana JF msaada jamani, Voda na Airtel wananiibia nimechoka. kazi yao kuniambia wamekata 400 mara 210 eti gharama ya caller tunes. Naomba msaada namna ya kujitoa kwa anayejua
Kiganyi, usijali sana. Ungekuwa muujiza wa kisiasa kama kada/shabiki/Nazi wa CCM huko UK angetoa makala tofauti na hii. Ukimfutatilia sana alivyofikafika huko utajuwa ni kwa nini. Labda tu, siijui affiliation yako kisiasa! uko huru kama mie?
Mkuu, mimi napata shida kidogo. Wengi wanafikiri just kuitoa CCM madarakani ndo suluhisho la matatizo, lakini mi nafikiri lengo should be changing the system. System yetu iko loose, ndo maana yeyote yule aweza kuwa fisadi na kufanya kama CCM wanavyofanya au hata zaidi kwa ubaya. kwa sasa unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.