Wana JF msaada jamani, Voda na Airtel wananiibia nimechoka. kazi yao kuniambia wamekata 400 mara 210 eti gharama ya caller tunes. Naomba msaada namna ya kujitoa kwa anayejua
sina uhakika kwa airtel na Voda ila katika tigo unaandika ondoa kwenda 15050na hata wakikuambia tena umeupenda wimbo huu bonyeza *
acha nao ni waongo na hizo caller tune ni makampuni ambayo hayako katika kampuni hizo za simu na wameshtukiwa na wanamuziki walipotakiwa wawalipe wanamuziki. Swala hilo Zitto Kabwe aliliwakilisha Bungeni kwani wanachukua 80% ya malipo tunayokatwa kwa kusikiliza music huo na hayawafikii wanamuziki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.