Yale ni maigizo na mtu aliumia ni bahati mbaya mwenzake anakua kaosea walichopractice. Karibu MMA uangalie real fight ukizubaa sekunde mtu kashakupasua tena haswa zile za UFC Ndo kali zaidi
Nakumbuka Bongo kabla mikataba ya gesi haijasainiwa hali ilikua tete mara mabomu Arusha kanisa mara zenji fujo tupu ilivosainiwa hali ikawa shwari kabisa. Shkamoo wazungu
Waafrica tutaweza kuzishinda propaganda za wenzetu inabidi tuwe na viongozi kama the late Gaddafi na mzee yule alohonga nchi kwa wife ila hawa wapenda kulamba miguu ya wazungu vita haitaisha Africa abadani
Boko haram wale wahuni sana wanateka mabinti wanawabaka shubaaaamittt wale jamaa wahawez kua na dini wale ni wapagani kabisa huez kua muislam unateka watoto wa shule wakat katk jihad hutakiwi kuua mwanamke wala mtoto plus hutakiwi kuharibu mazingira wale jamaa wasingefanya hayo at least...
Mjini ubabe ubabe tu kesi zinazoenda polisi chache sana nyingi zinaisha kimjini mjini nimekupiga nenda gym kajipange unakuja tunazichapa tena hvo hvo mpk tunakua marafiki ukienda kila siku polisi unaonekana boya watakubebea hadi mkeo. Sema siungi mkono kuchukua sheria mkononi ni mambo tu ya mjini
Saidi ndo alikua mwizi hilo linajulikana alimuibia mdogo ake scorpion kibabe sasa jamaa akaenda kumuadabisha sema kazidisha adhabu so akale mvua tu hamna namna
Mungu akuzidishie mkuu umenipa moyo sana nlidhan ni tatzo kubwa sana asante sana kiukwel walikula pumba tu wiki nzima bila mchngnyko wowote na walikaa ndani wiki nzima bila kutoka haya kdg nilisafiri nikaacha mtu ambaye hakuweza kuwatafutia chakula kinachofaa.
Wakuu kuku wangu wana hali mbaya wanatokewa vidonda kichwani macho yanafumba hawaoni wanakosa nguvu ni kuku wa kienyeji wapo hamsini wote wakubwa wamefikisha miezi saba nifanyeje hapa akili imevurugika kabisa nmewaunua laki sita wote.
Eneo kutoka kwenye nyumba yenye umeme ni kama mita 250 hadi 300 kwa makadirio kutoka kwangu ila katikat ya huo umbali zimekatiza hizi series za towers mpya zinazosafirisha umeme wenye 400,000 volt sasa kikubwa nachotaka kujua ili nguzo za kawaida zipite chini ha huu umeme wa masafa nini...
Nipo singida, mimj nataka kuvuta umeme mteja mpya ila nazungushwa naambiwa service line haiwez kupita chini ya huu umeme wa hizi towers line mpya zenye malaki ya kilowatt zilizopita Singida kwenda Mwanza.
Ssa naomba kujua nifanye nini ili niweze kupata mapema iwezekanavyo huduma ya umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.