Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.
Natanguliza shukrani
Habari wakuu,
kuna mdogo wangu mwaka jana mwezi wa kumi alipeleka maombi ya kazi katika kampuni fulani.
Maombi yake hayajajibiwa mpaka leo, lakin mwezi wa sita mwaka huu mdogo wangu alikutana na rafiki yake ambaye alimpa hongera kwa kuajiriwa katika kampuni ile ambayo hata maombi hakujibiwa...
Habari wakuu.
Naomba kufahamishwa juu ya elimu ya QT inavyotolewa.
Mfano...
Jinsi ya kujiunga.
Mahali inapotolewa.
Vigezo vya kujiunga na hiyo elimu.
Inatolewa kwa muda gani.
Mtaala unatumika.
Kwa kifupi naomba kupata maelezo yote juu ya elimu ya QT.
Natanguliza shukrani kwa wote.
###hapo kwa...
ndugu wanajamvi kama kichwa habar knavyojieleza, naomba msaada wenu wa kuvijua vyuo vya sheria kwa ngaz ya cheto coz kunamdogoangu almalza kdato cha nne mwaka 2012 xo anataka akajiunge mwaka huu na pia ntashukuru kama ntapata na contact za vyuo hucka au njia nyingne yeyote ya kuweza kupata fomu...
ndugu wanajamvi kama kicha habar knavyojieleza, naomba msaada wenu wa kuvijua vyuo vya sheria kwa ngaz ya cheto coz kunamdogoangu almalza kdato cha nne mwaka 2012 xo anataka akajiunge mwaka huu na pia ntashukuru kama ntapata na contact za vyuo hucka au njia nyingne yeyote ya kuweza kupata fomu...
Habari zenu wanajf wote,
nafikili kila mmoja anaendelea salama na shughuli zake.
Ndugu Wanajf kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu ya kwamba mwenzenu nasumbuliwa na ugonjwa wa Rheumatic fever ambao unansababishia nshndwe kabisa kufanya shughuli zangu KIKUBWA HAPA nlikuwa naomba msaada...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka ishin na ki2 natafuta marafki wa kubadilishana nao mawazo mbalimbali Umri kati ya miaka 19 mpaka 30 napendelea marafki wenye hekima na busara bila kuzingatia dini,kabila,elimu wala jinsia, aliye tayari anipm NAWATAKIA UCKU MWEMA WAPENdwa%
Habari za asubuhi ndugu zangu,jaman nina mdogo wangu anasumbuliwa na maumivu ya tumbo upande wa kulia toka mwez april nimejaribu kumpeleka hospital wanaishia kumpa dawa bila kutoa vipimo maalum,kila 2kienda hosp wanaendelea kumbalishia dawa wakat mpaka sasa hajapata nafuu badala yake anasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.