Kachanga karata zake vizuri azidi mkoleza tu maana mwamba yuko hoi ...... hapa bongo wengi wanazungukana tu wenyewe kwa wenyewe kuishia kuchambana .....Heko kwa mobetto amdange kisawasawa
Mi nadhani muda sahihi unaendana na priority ya mtu husika pia ,inaweza kuwa ukawa na uwezo lakini priority zako zisiwe kwenye kujenga na inaweza ukawa kwenye nyumba ya kupanga na priority ulizoset zikawa zinakuendea vyema tu na ukajanga kujanga mara moja tu kama kumsukuma mlevi
Sasa hivi imezuka tabia ya DAWASA kukata maji hivyo kwa wateja wao bila hata ya mteja husika kuwa na deni la moja.
Bill wanamtumia mteja tarehe 17 na tarehe 30 wanamkatia maji tena kwa dharau kubwa ya kutuma vijana wao wanakupigia simu na kusema "tunakata maji" kwa dharau kabisaaa, TABIA HIYO...
OS Cordis
silverland wanauza broiler?na kama sio silverland naweza nunua wapi ili kupata matokeo bora zaidi?
kati ya broiler na kuloirer(kwa mayai) kama mtaalam unamshauri mtu afanye option ipi?
unawaongeleaje sasso?mkuu pm....🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.