Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,138
- 49,560
Mkuu naomba unitumie pic za bidhaa unazouza...hasa hayo maziwa
Mie siuzi maziwa Ila yapo kwenye maduka yanayouza bidhaa za dukani
Watu wa hali ya chini hununua kwa mbadala wa Yale ya kopo
Mimi nauza unga wa lishe