Habari zenu wanajamvi!
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya, na mnaendelea na shughuli za kila siku za kuijenga nchi yetu ya Tanzania.
Bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika hapo juu.
Mwanzoni mwa mwezi wa pili mwaka huu nilifanya manunuzi ya kompyuta mpakato kwa...
MAFUTA YA UBUYU
(BAOBAB SEED OIL)
Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini. Mafuta ya ubuyu yana ubora kuliko mafuta mengine ya kupikia, yana vitamin A, B, C, D na F. Pia yanatibu...
MAFUTA YA UBUYU
(BAOBAB SEED OIL)
Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini. Mafuta ya ubuyu yana ubora kuliko mafuta mengine ya kupikia, yana vitamin A, B, C, D na F. Pia yanatibu...
HABARI JF MEMBA,
Mimi natafuta bidhaa inayofanana na hizo picha ili niweze kuangalia tv channel kupitia mawimbi ya satelite kwenye kompyuta yangu. Naomba kwa yeyote anayefahamu sehemu ambayo naweza pata hiyo tv tuner device hapa Tanzania anisaidie.
Natanguliza shukran!
Meli inayofahamika kama Bahara. Iliyokuwa imebeba mafuta lita elfu 50,000 za dizeli. Mali ya TANESCO. Chanzo cha moto ni gari iliyokuwa imebebwa ndani ya meli hiyo. Inasemekana kuwa wakati wanaifanyia testing gari hiyo sparks zilitoka na kusababisha moto.
Habari wana JF! Nafikiri wengi tutakuwa tumeona katika maeneo mengi ya nchi hii watu wakusanya vyuma chakavu na plastiki kwa ajili ya kurecycle na kutengeneza vitu vilivyo bora zaidi.
Hapa sehemu ninayoishi nimegundua uwepo wa taka nyingi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.