Programmer atengeneze app ya kuzuia kudownload pic au video moja zaidi ya mara moja maana picha ya lissu nishafikisha 1gb kwa picha ile ile. Nadhani itanunuliwa hiyo app
Wakati gharama ya kodi, umeme na maji kuwa bado changamoto leo watu serikali ya mitaa wamepita wanasema kesho ni deadline kunagharama ya ulinzi shirikishi sasa polisi wanafanyakazi gani? Kodi tunazolipa zinakazi gani? Hapo sijaweka gharama za takataka . Serikali wawaangalie jinsi ya kujikimu...
Kuna baadhi ya watu wameokoka na hawakosi kanisani jumapili na mara nyingine jioni lakini nafsi zao sijui zikoje maana roho mbaya pamoja na kupenda hela kupita kiasi ukiwa mtoaji yeye anakuona bora.
Kwenye mazungumzo utasikia mi mlokole hadi mtu unashang'aa. Jamani dini ni matendo sio...
Imekua kawaida kulipia kifurushi kulipia ksumbuzi kila mwezi bila kuangalia uhalisia kuna kipindi kirefu unakua hauko maeneo ya nyumbani na wakati mwingine hakitazamwi kabisa na baada ya mwezi unaitajika kulipa tena.
Msingi wa lalamiko langu ni kwa visumbuzi visiwe zinahesabu muda kwa maana...
Boss wa ACACIA anasema wazi kuwa mikataba tuliyoingia nao ilikuwa legal lakini haikuwa ya faida kwa Tanzania.*
“The industry can be its own worst enemy when it sits down and agrees these terms, it’s gonna come back and bite us. And in this case it has,” Gordon says. Those early arrangements...
Habari zisizo rasmi inasemekana kua sportpesa watakua wadhamini wa klabu kongwe hapa nchini zinaenda mbali zaidi kua yanga wamepata mkataba mnono kuliko simba . Je yule aliesema tatizo ni umbumbumbu yuko sahihi
Kipa wa Mbao FC, Erick Ngwengwe amesimamishwa kuitumikia timu hiyo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za kuhujumu timu katika mechi yao dhidi ya Simba.
Mechi hiyo ilichezwa juzi Jumatatu kwenye uwanja wa CCM Kirumba ambapo Simba ilishinda mabao 3-2.
Baada ya mechi hiyo kuliibuka taarifa za kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.