dickchiller
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,843
- 3,144
Habari zisizo rasmi inasemekana kua sportpesa watakua wadhamini wa klabu kongwe hapa nchini zinaenda mbali zaidi kua yanga wamepata mkataba mnono kuliko simba . Je yule aliesema tatizo ni umbumbumbu yuko sahihi