Wakuu habari za muda huu. poleni na pia hongereni kwa majukumu ya kila siku
Kama ulivyoweza kusoma kicha hapo juu, leo nitaenda kukujuza maujanja ambayo inawezekana ulikuwa hujui kuhusu laptop. Maujanja haya yatakusaidia sana pale unapotaka kununua laptop hasa hapa nchini Tanzania.
Ukweli ni...
9-6-2019
Next
14:00pm Molleker Rudolf Vs Robredo Tomy 1. 1.63 x115,000 =187,450
Faida 72,450
Tukutane baada ya matokeo
Game nyingine saa moja analysis zinaendelea kufanyika
Mambo yameenda vizuri kama tulivyotegemea kumbuka tumeanza na Tshs 150,000
Leo hii baada ya matokeo yote tumefikisha Tshs 237,500
Tukutane kesho asubuhi baada ya analysis za mechi zenye possibility kubwa 90% ya kushinda.
Target ni kufikisha angalau Tshs 900,000 Mwezi huu
Kumbuka tumeanza na...
8-06-2019
Tunaanza na mtaji wa Tshs 150,000/=
16:00 Iceland Vs Albania. 1. 1.65. X Tsh 50,000 =82,500
16:00 Croatia Vs Wakes 1. 1.59 X Tsh 50,000=79,500
11:30am Robredo T -Vavassori 1 1.51 X Tsh 50,000=75,500
Mategemeo ni kupata Tshs 237,500
Ambapo faida itakuwa Tshs 87,500...
Baada ya vita vya pili vya dunia na kuundwa kwa vyombo vya kuunganisha mataifa duniani kama umoja wa mataifa, mataifa yaliyokuwa na nguvu yalifikia maazimio ya kusaidia nchi ambazo zimekuwa na hali ngumu. Na njia bora ya kusaidia nchi hizi ilionekana ni kutoa misaada.
Hivyo tangu miaka ya...
UCHAMBUZI WA KITABU; (Jinsi Watu Wanavyofanya Makubwa Bila Ya Kuwa Na Majina Makubwa).
Kwenye jamii zetu, imezoeleka kwamba kiongozi ni mtu ambaye anafanya maamuzi makubwa, maamuzi magumu na hatari sana. Kwa kufanya maamuzi hayo na matokeo yakawa mazuri, kiongozi hupata sifa kutoka kwa kila...
1. Bangi ni Halali kabisa nchi nzima, na haichukuliwi kama ni kitu cha kulewesha /drug.
2. Ndio nchi pekee duniani hadi sasa amabayo imewahi kuiteka meli ya kivita ya wamarekani.
3. Wakati dunia nzima leo ni 2017 kwao ni mwaka 106 wakihesabu kuanzia kifo cha kiongozi wao Kim il-Sung.
4...
Je una simu au mobile wi-fi , wireless router ?
Je inatumia SIM CARD ya mtandao mmoja tu?
je unataka itumie mitandao yote bila kubagua?
JIPATIE UNLOCK CODE KWA BEI NAFUU KABISA
POPOTE ULIPO HUDUMA ITAKUFIKIA.
Bei zetu hazina punguzo.
Je kipi nifanye ili kupata hizo unlock code za simu...
Je una simu au mobile wi-fi , wireless router ?
Je inatumia SIM CARD ya mtandao mmoja tu?
je unataka itumie mitandao yote bila kubagua?
JIPATIE UNLOCK CODE KWA BEI NAFUU KABISA
POPOTE ULIPO HUDUMA ITAKUFIKIA.
Bei zetu hazina punguzo.
Je kipi nifanye ili kupata hizo unlock code za simu...
Kampuni ya utengenezaji magari ya Toyota, ambayo imefadhili utengenezaji wa gari inayoruka angani ikiwa ni mradi uitwao Cartivator Project, yamepanga kuzinduliwa mwaka 2020 katika mashindano ya Olimpiki.
Watengenezaji wa magari hayo wanatarajia kuyakamilisha mwishoni mwa 2018 na yataonekana...
JE SIMU YAKO INATUMIA LAINI MOJA?
Je ukiweka laini tofauti kwenye simu; Moja ya haya maneno yanajitokeza ?
Network Unlock Code
SIM Unlock code
Enter SIM Me Lock
Enter NP Code
Jipatie Network unlock code ya Simu Kwa bei nafuu TSHS.7000
SIMU YAKO ITAWEZA TUMIA LAINI YEYOTE ILE
HUAWEI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.