Je simu yako inatumia laini moja?

emma115

Senior Member
Apr 28, 2012
135
167
Jipatie Unlock code kwa Tshs.7000

Huawei Ascend Y220 Y221 Y320 Y321 Y360 Y511 Y520 Y600 G500


Vodafone Smart VF695 V695 V785 VF795 V795 V200 VF300

Kwa mawasiliano piga 0757426730
tembelea TOP SERVICE CARE
 
Amjaelewa nn,,kama simu yako inakulazimu kutumia mtandao mmoja yy ana zi unlock kwa gharama ya 7000 ili zituie mitandao yte,,,kitu kidgo km hcho unashindwa kuelewa halaf mnataka serikali iwape mikopo aisee itakua inajichimbia kaburi kuwapa mikopo vlaza
 
Amjaelewa nn,,kama simu yako inakulazimu kutumia mtandao mmoja yy ana zi unlock kwa gharama ya 7000 ili zituie mitandao yte,,,kitu kidgo km hcho unashindwa kuelewa halaf mnataka serikali iwape mikopo aisee itakua inajichimbia kaburi kuwapa mikopo vlaza
Wewe manyoko unaona kila mtu wa kusoma humu eh?wengine baba zako na tunasomesha wajukuu ! uwe na adabu nyambaf we? Nani unamwita kilaza hapa?
 
Amjaelewa nn,,kama simu yako inakulazimu kutumia mtandao mmoja yy ana zi unlock kwa gharama ya 7000 ili zituie mitandao yte,,,kitu kidgo km hcho unashindwa kuelewa halaf mnataka serikali iwape mikopo aisee itakua inajichimbia kaburi kuwapa mikopo vlaza
Mzee umetisha sana speech ya kibabe kama ya Mukulu
 
Mzee umetisha sana speech ya kibabe kama ya Mukulu
Hapana dogo anafikiri kila mtu ana hela ya kuunga unga ununue simu locked ya bei rahis then uje kutoa lock mleta hoja katuacha sehemu tata hatukujua kqma ana unlock au ana kitu kwq simu za laini tofautisha line na mtandao angesema mtandao mmoja tungemuelewa ila huyu mshehereshaji anqyejifanya kujua ilhali hajui tofauti ya simcard na mtandao wa simu anaonesha ufedhuli na ushenzi wake kuita watu vilaza
 
Wewe manyoko unaona kila mtu wa kusoma humu eh?wengine baba zako na tunasomesha wajukuu ! uwe na adabu nyambaf we? Nani unamwita kilaza hapa?
Una dhihirisha ulivyokua kilaza,,haya manyoko yanatoka wap? Kero ni kitu kdgo halafu huelewi sasa kusomesha kwako wajukuu ndio kunakufanya usielewe?babu mzima huelewi ktu kdogo tu hicho hao wajukuu si unawapoteza kabsa
 
Hapana dogo anafikiri kila mtu ana hela ya kuunga unga ununue simu locked ya bei rahis then uje kutoa lock mleta hoja katuacha sehemu tata hatukujua kqma ana unlock au ana kitu kwq simu za laini tofautisha line na mtandao angesema mtandao mmoja tungemuelewa ila huyu mshehereshaji anqyejifanya kujua ilhali hajui tofauti ya simcard na mtandao wa simu anaonesha ufedhuli na ushenzi wake kuita watu vilaza
Hapana soma uzi mistari miwili ya mwanzo halaf umlaumu mleta uzi hujaelewa
 
Una dhihirisha ulivyokua kilaza,,haya manyoko yanatoka wap? Kero ni kitu kdgo halafu huelewi sasa kusomesha kwako wajukuu ndio kunakufanya usielewe?babu mzima huelewi ktu kdogo tu hicho hao wajukuu si unawapoteza kabsa
Wewe kweli ta.ko yaani maana ya kusomesha wajukuu hujui?tena bado unaendelea kuita watu vilaza! Am dome with bozo!
 
Hapana dogo anafikiri kila mtu ana hela ya kuunga unga ununue simu locked ya bei rahis then uje kutoa lock mleta hoja katuacha sehemu tata hatukujua kqma ana unlock au ana kitu kwq simu za laini tofautisha line na mtandao angesema mtandao mmoja tungemuelewa ila huyu mshehereshaji anqyejifanya kujua ilhali hajui tofauti ya simcard na mtandao wa simu anaonesha ufedhuli na ushenzi wake kuita watu vilaza
Bora unyamaze maana unazid kuaibisha taaluma ya watu,,sio kila simu ya bei rahis inatumia mtandao mmoja,,unaweza kuta simu ya bei ghali lakin umenunua kwa shop centre zao kama airtel,tigo,voda zinatumia mitandao husika tu,sasa yy ana zi unlock kwa 7000 ili ile ya voda uweze kutumia hata halotel,,we unakuja kuzid kujiaibisha hadharan kwa usichoelewa.. Tulia au kama mvua imekunyeshea lala
 
Wewe kweli ta.ko yaani maana ya kusomesha wajukuu hujui?tena bado unaendelea kuita watu vilaza! Am dome with bozo!
Thank you kwa uelewa wako na kuondoka. Hizo ndio sifa za mtu muelewa,,unaondoka unaacha kuonyesha ukilaza wako hadharan
 
Sijaelewa chochote

JE SIMU YAKO INATUMIA LAINI MOJA?

Je ukiweka laini tofauti kwenye simu; Moja ya haya maneno yanajitokeza ?

Network Unlock Code
SIM Unlock code
Enter SIM Me Lock
Enter NP Code


Jipatie Network unlock code ya Simu Kwa bei nafuu TSHS.7000

SIMU YAKO ITAWEZA TUMIA LAINI YEYOTE ILE

HUAWEI ASCEND Y220 Y221 Y320 Y321 Y360 Y511 Y520 Y600 G500

VODAFONE SMART VF695 V695 V785 VF795 V795 V200 VF300
 
JE SIMU YAKO INATUMIA LAINI MOJA?

Je ukiweka laini tofauti kwenye simu; Moja ya haya maneno yanajitokeza ?

Network Unlock Code
SIM Unlock code
Enter SIM Me Lock
Enter NP Code


Jipatie Network unlock code ya Simu Kwa bei nafuu TSHS.7000

SIMU YAKO ITAWEZA TUMIA LAINI YEYOTE ILE

HUAWEI ASCEND Y220 Y221 Y320 Y321 Y360 Y511 Y520 Y600 G500

VODAFONE SMART VF695 V695 V785 VF795 V795 V200 VF300
Sasa nimeelewa, Ahsante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom