Hawa jamaa hawana database nzuri ndio kabisa kwani mie mwenyewe wamenikata weeee mpaka sasa nimebakiza miezi miwili kumaliza deni lao wanasema mie ni mdaiwa sugu, yaani hawana data za watu wanaodaiwa, walioanza kulipa na hata waliomaliza kabisa. Vile vile ukiangalia katika majina waliorodhesha...
Huo ndio ukweli kwani unaweza ukapata mkopo kwa kuweka bond ya kiwanja chako, then marejesho yako utayatorea wapi? Kwani kwa mabenki mengi marejesho ni kila mwezi, so lazima uwe na chanzo kingine cha mapato kaka!!
Hivi ni kweli profesa au ni uzushi tuu,maana sidhani kama hata akiamua kurudi kufundisha wanafunzi wake watamuelewa anachokifundisha aisee!!! Na sijui kwa nini maprofesa wenzie hawamshauri kwa ujinga anaoufanya hadharani hivi. Aibu kwako profesa.
Mbaya zaidi ktk mshahara wa mwezi huu badala ya nyongeza, sasa kuna punguzo ambalo sijui ni la nini teana maana mimi kwangu nimekatwa 56,000 sijui ndio nachangia malipo hayo ya ndege iliyonunuliwa juzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.