Suala la kuyumba kwa yanga liondoe akilini mwako, Kama ndio ndogo unayoitegemea ifute kwa wino mweusi, yanga keshaweka mifumo makini ya kufanya isimame imara ndio maana ya transformation, kwaiyo usiitegemee yanga ya bakuli kurudi tena
Mbona povu linakutoka sana shida Nini? Stress au kitu Gani...
Hii sio afya kwa mafanikio ya wenzetu mbumbumbu, muda mwingine inabidi kuwapa ushauri tu ambao mnaweza kuchukua ama kuuacha ikiwapendeza kwa maana akuna Yanga Bora bila Simba imara na akuna Simba Bora bila yanga imara!
Aiwezekani makocha ndio wawe mbuzi wa kafara Kila mara pindi mambo...
Makombe yanajulikana bwana mbona unayakosea adabu? Makombe ni NBC premier league na CRDB confederation cup usiweke mabonanza ya hisani kwenye mtiririko wa makombe kwa maana ata michuano ya kugombea mbuzi nayo Yana kombe!!!
Tumeona furaha ya wanachama wenu ikiwa kubwa kule Zanzibar baada ya kutwaa kikombe Cha muungano baada ya kucheza mechi 2 na kubeba ndoo iyo, Mmewapa wanachama wenu walichokitaka kwa msimu mzima ni mafanikio ya kupigiwa mfano kabisa!
Ukiongeza Yale mafanikio ya wasap channel pamoja na ngao ya...
Mangungu na try again wapewe 5 Tena kwa maana wamevunja rekodi ya mafanikio kwa kubeba kikombe Cha muungano na milioni 50 juu!
Iyo itaongezeka kwenye mafanikio ya klabu ya msimu mzima baada ya wasap channel kuongoza kwenye mafanikio ayo! Milioni 50 wataweza kushusha vyuma vya maana kwenye...
Ni moja ya mafanikio yenu msimu huu pamoja na wasap channel kwa maana iyo mangungu na try again msiwapigie kelele Tena ni moja ya viongozi wenye mafanikio sana kuliko wote🤣
Mpaka Simba ije kukaa sawa kwa kubadilisha makocha Kila mara Kama vile unabadilisha boxer za kuvaa yanga watakuwa washatwaa ndoo mara 10 mfululizo, wanadhani kubadili makocha Kila msimu ndio suluhisho la matatizo yao!
Baada ya Kuona anafundisha timu yenye wachezaji wenye vichwa vigumu kumuelewa hatimaye kocha la makombe limeamua litumie njia mbadala kujiondokea baada ya kudai linaondoka kutokana na matatizo ya KIFAMILIA🤣🤣
Ikumbukwe ni majuzi tu baada ya kutandikwa na yanga alikiri mwenyewe kuwa tokea aanze...
Umemaliza Kila kitu, kitakwimu, kiuwezo, kiutawala, performance na kiufundi yanga kamuacha Simba mbali, akuna namna unaweza kuitumia kwenye sayansi ya mpira kusema unaipa Simba nafasi ya kushinda iyo mechi zaidi ya kusema labda washinde kwa kutumia ushirikina, rushwa na siasa, ubora wa timu...
Mbumbumbu akili zenu ziko makalioni Yani kiufupi amjitambui mpo mpo tu Kama manyumbu, unaposema singida anaitengenezea yanga point za bure kwani kabla ajakutana na yanga kashinda mechi ngapi alipocheza na timu nyingine wanazolingana ubora? Yani apigwe na timu wanazolingana ubora alafu kwa yanga...
Unajua mashabiki wa Simba, wanachama na wadau wa michezo wanashindwa kutambua kwamba gape la ubora aliloset yanga ndio linaifanya Simba ionekana mbovu, pia ushindani wa ligi kwa sasa akuna timu ambayo inaingia uwanjani kinyonge Kama zamani, timu zinao udhamini wa Azam Kila timu inakunja kibunda...
Akuna mchezaji anayejitambua wa kigeni anayeweza kubaki kwenye timu isiyokuwa na malengo, timu imewekeza kwenye kombe la propaganda tu na kusajili wachezaji wa buku buku uku wakipiga porojo za mdomoni nani abaki hapo? Kila la kheri che malon umejitambua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.