Juzi kuna mdada jirani yangu alikuwana anataka simu ya Samsung A series.
Yule dada kufika anaambiwa simu ni laki 7. Akanipigia simu kuniuliza. Nikamuambia hiyo simu asking price ni laki 5 ila hadi 4 na 60 unapata, nikampa na namba ya muuzaji. Kumbe yule jamaa alitega sikio akidukua mawasiliano...
Nilishawahipeleka gari inawaka taa ya ABS, fundi akakimbilia kutoa fuse ya ABS. Bahati nzuri nilimuona nikamuambia irudishie tu hiyo fuse, maana shida haipi hapo
Simba katoka kama kanuni ya mchezo tu kuhitaji mshindi mmoja ila sio kuzidiwa mbinu na mpinzani. Kudos kwa Wachezaji, bench la ufundi, wanachama na mashabiki kwa ujumla
Was she suffering before marrying her? She wanted to be free as she was before not to be rich and free. Mostly the woman in the scenario was after Hakimi's possession. What if a man files for a divorce, would he have allowed to split half of woman's property? These western exploitative feminist...
Ungejengea hoja za msingi hili bandiko lako ingekaa poa zaidi mkuu. Ila hili suala unaweka tu bandiko kama unakimbizwa ni kama kupoteza watu maboya.
Weka hoja, maelezo na mifano katika kuipa nguvu hoja yako. Haukimbizwi. Kaa tulia weka bandiko lenye maana
Wewe ndio umeongea. Samsung anawin katika vioo hasa katika simu zake za upper Mid range hadi high end. Kwenye lower budget phones hamna kitu ukilinganisha ba simu za budget kama Honor series, Redmi na Oppo.
Kingine ambacho Sammy anasimama ni camera ila nje ya hapo stock UI yake ni ya kawaida sana
1. Split Screen.
2. Float Screen.
3. Guest Account (unakuwa na accounts kibao ndani ya simu na zinajitegemea)
4. Touching gestures za kutosha with the screen off
Na vitu vingine viingi ambavyo kwenye Samsung sikuviona.
Nimetumia Samsung S10+ na ndio nikahamia Oppo
Oppo Reno5 F nategemea kuipokea Android 13 February 2023 na ndio itakuwa my last android update. Mwakani inabidi niset budget nichukue Oppo au Xiaomi. Samsung nilishatoka nq sitegemei kurudi. Kuna features na functionality nazipata huku Oppo na pia zingine naziona Xiaomi ambazo kwa Samsung ni...
Taarifa haijitoshelezi hii. Watumia operating system gani? Je kabla ya hii hali kuna mabadiliko uliyafanya katika simu yako kama vile software update au installation. Hiyo shida ni kwenye apps zote au baadhi au web browser au wapi?
Ukija na majibu ya hayo maswali ndio watu tutajua tuanzie wapi...
Kama ina hali nzuri basi ni boooonge moja la gari, 5A engine ni moja ya engine bora kuundwa na Toyota.
Gari ina spare kibao na inahimili sana misukosuko. Bodi ni gumu na mwendo upo. Ndani unakaa comfortable tu.
Kama ina hali mzuri basi iendee tu mkuu.
Wewe naona wataka ofisi ikae ki-executive sanaaaa ndio maana. Ila ukianza tararibu ukawa na nidhamu ya pesa na malengo utafika unapopatarajia aisee. Kuna watu wako nje ya fremu hapa Buguruni ukijumlisha kila kitu ana around laki 3½ ila kila siku yupo na anasomesha. Nataka nikaanze hii bizney...
Ahsante kwa thread hii mkuu. Japo hizo movies ulizosuggest nimeziona zote ila ngoja niipakue app hiyo ili nione napata nini.
Thanks for sharing and caring. Kudos kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.