Habari za wakuu
Mimi ni kijana wa kiume nina bachelor ya business adminstration based in accounting, nina uzoefu wa kufanya kazi benk lakin mkataba uliisha na sikua tayari kuongeza tena kwa sababu zangu binafsi, baadae nilipata kazi kweny kiwanda, mkoani kama mhasibu msaidizi lakin bahati mbaya...
Habari za kazi wakuu
Naomba kuuliza kama kuna wadau wameanza kufanyiwa phone interview kutoka kwenye hiyo kampunu hapo juu
Nilifanya application nikajibiwa mail kwamba nitapiguwa simu kwa ajili ya oral interview kupitia simu
Inaenda wiki ya pili sasa naona kimya so kama kuna yoyote ambae aliomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.