Search results

  1. King Muchachu

    Madaktari wanaumia google kusoma vipimo

    Kunachangamoto sana kwa madaktari wa sasa, serikali inabidi waweke mpango vizuri kuhakikisha wanafuatiliwa, ili kujiridhisha na utendaji kazi wao. Binafsi nimekuwa muhanga mara mbili kupitia mtoto wangu wa miaka miwili, aliandikiwa ameze paracetamol 500mg kutwa mara tatu, Daktari huyo amefanya...
  2. King Muchachu

    SoC03 Kwanini mtu huyu haguswi?

    Kuna majukumu mengi ambayo napaswa kuyatekeleza katika nchi yangu, mengine ni kwa mujibu wa sheria na mengine ni yakutumia busara lakini yote ni kwasababu ya kuwasaidia wananchi wangu, kikundi au jamii niliyo apa kuitumikia kwa mujibu wa sheria lakini sifanyi hivyo na siwajibishwi, muda mwingine...
  3. King Muchachu

    SoC03 Ufanisi mzuri katika huduma za afya

    Serikali imekuwa ikijitahidi kuboresha huduma za afya ikiwemo kuja na sera mbalimbali zinazohusu huduma za Afya lakini bado imeonekana kuna changamoto ambazo hazijapatiwa ufumbuzi ambazo zinaendelea kuathiri wagonjwa ambao wengi hali zao za kipato ni duni. Upatikanaji wa huduma bora za Afya...
Back
Top Bottom